MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
99.5% Wana full ULIMBUKENI! Wanapenda sana kujionyesha kama wanawake wanaotafuta mabwana (kutikisa Matako barabarani).Jamaa wa TISS sasa hivi wana maisha mazuri sana.
Sasa mpaka mtihani wa taifa uje lini hiyo?Siku hizi wanasimamia mitihani ya taifaπ€£π€£
LUMUMBA WAMEIHARIBU SANA HII NCHI.Ni umaskini wa serekali
Ila nazi hata mapolisi pia wanahali NGUMU SANAJeshi la Magereza ni kama limesahaulika hivi au ndio mimi sijui?
Askari magereza wengi hasa wa vyeo vya chini maisha yao ni duni sana kwanzia kazini mpaka huku uraiani tunapoishi nao.
Kwanza wengi wao uniform zao ni zimechakaa na kupauka tofauti sana na majeshi mengine.
Pili makazi yao duni sana hapa nazumgumzia kota za maaskari wa vyeo vya chini.
Kuna ambao tunakaa nao huku mtaani yaani wanatupiga sana vizinga hasa tarehe kama hizi.
Kwanini maisha yao yapo duni sio kama majeshi mengine?
Ni kweli Tamisemi ule ni mkosi.wafanyakazi wote waserikali wanafanana haswa walioajiriwa na tamisemi maisha yao ni ya kubangaiza sana
Inasikitisha na inaumiza haswa halafu kibaya zaidi wanawaona wenzao jwtz wana shine kila siku,jwtz wanajengwa makazi ya kisasa+allowance.Ni kweli Tamisemi ule ni mkosi.
Kwa magereza wapo chini ya Tume ya Polisi na Magereza, wenzao wa mahakama tume yao imeboresha maslahi na mazingira ya kazi kwa kiasi cha kuridhisha.
wanafanya biashara gani?...jamaa Wana hela kufuru...sema nini.....hawapendagi kabisa kujionyesha kama wafanyavyo watu wa TISS...
Mmeamaliza ya walimu mmeahamia kwa magerezaJeshi la Magereza ni kama limesahaulika hivi au ndio mimi sijui?
Askari magereza wengi hasa wa vyeo vya chini maisha yao ni duni sana kwanzia kazini mpaka huku uraiani tunapoishi nao.
Kwanza wengi wao uniform zao ni zimechakaa na kupauka tofauti sana na majeshi mengine.
Pili makazi yao duni sana hapa nazumgumzia kota za maaskari wa vyeo vya chini.
Kuna ambao tunakaa nao huku mtaani yaani wanatupiga sana vizinga hasa tarehe kama hizi.
Kwanini maisha yao yapo duni sio kama majeshi mengine?
Hatari sana.
Unaweza kukaa magereza kwa miaka 20 na usipate dili hata la buku 2.
Ukiingia magereza kama hujatumia akili nyingi mwanzoni mwa utumishi wako umekwisha. Umekwisha kabisa.
Afadhali police na wanajeshi wanakuwa na allowance za ku escort mali za umma, kusimamia warsha mbalimbali.
Nadhani Askari magereza ndiye mtumishi duni kuliko wote Tanzania
Local Governmentwafanyakazi wote waserikali wanafanana haswa walioajiriwa na tamisemi maisha yao ni ya kubangaiza sana
π€£π€£π€£π€£ππππ€£π€£π€£ππSiku hizi wanasimamia mitihani ya taifaπ€£π€£