njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Magereza pesa wanayo sema ni hulka yao tu....jamaa Wana hela kufuru...sema nini.....hawapendagi kabisa kujionyesha kama wafanyavyo watu wa TISS...
Mapato... WaTanzania wengi kazini unao waona Wana maisha ya kati au maisha mazuri, inatokana na janja janja za ukwapuzi au pesa za safari za hapa na pale mikoani kikazi, lakini askari magereza ana mbinu gani za ujanja ujanja? Anasafiri kikazi kwenda wapi? Sababu kubwa ni hizo mbili tuJeshi la Magereza ni kama limesahaulika hivi au ndio mimi sijui?
Askari magereza wengi hasa wa vyeo vya chini maisha yao ni duni sana kwanzia kazini mpaka huku uraiani tunapoishi nao.
Kwanza wengi wao uniform zao ni zimechakaa na kupauka tofauti sana na majeshi mengine.
Pili makazi yao duni sana hapa nazumgumzia kota za maaskari wa vyeo vya chini.
Kuna ambao tunakaa nao huku mtaani yaani wanatupiga sana vizinga hasa tarehe kama hizi.
Kwanini maisha yao yapo duni sio kama majeshi mengine?
Kichambo cha asubusubuhi !!!!.Kutwa kuzungumzia maisha ya wengine. Mara walimu Wana shida,mara Askari magereza Wana shida. Hakuna thread nyingine za kuandika zaidi ya maisha ya watu tena wasiokuhusu?!!
Ndivyo wanavyokudanganyaMagereza pesa wanayo sema ni hulka yao tu.
Labda sijui.Ndivyo wanavyokudanganya
Waambie na ndugu zako walimu wakuskieKwa nchi za ulimwengu wa tatu kama Tanzania, mtumishi wa ngazi ya chini wa serikali ukiishi kwa kutegemea mshahara kiduchu mwisho wa mwezi; lazima udhalilike.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwenye rank za kazi wapo nafasi ya X
Sio bure utakua ni mmojawaoMagereza pesa wanayo sema ni hulka yao tu.
Buguruni pale kaah[emoji28]Inasikitisha na inaumiza haswa halafu kibaya zaidi wanawaona wenzao jwtz wana shine kila siku,jwtz wanajengwa makazi ya kisasa+allowance.
Magereza na Polisi bado wanakaa kwenye kota za mabati
DaahWafungwa hawatoi rushwa