Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongozi wa kanisa si sawa na uongozi wa chama cha siasa. Mifumo tofauti kabisaHivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Kwa hiyo taasisi ikiwa na mifumo sio kosaUongozi wa kanisa si sawa na uongozi wa chama cha siasa. Mifumo tofauti kabisa
Catholic church lina utaratibu wake, na upo wazi, lutheran lina taratibu zake. Na si kweli hna limit kwneye makanisa
Tatizo hujui jinsi mifumo ya makanisa inafanya kazi
Unakosoa mifumo au taasis au unatafuta kujua kama makanisa yana mifumo hiyo?Kwa hiyo taasisi ikiwa na mifumo sio kosa
hao wote ni chadema siyo watumishi wa Mungu na sasa wanapata shida maana waliamini chadema nisehemu sahihi wao kupiga helka na sasa chadema imeparanganyika wanaona aibu sana yaani hata ukiwaangalia wanavyoongea sasa hivi yaani mtu anacheka kama anataka kulia fikiria sura inakuwaje hapo kichekeshoaHivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Umewachoka wewe mwenyewe na hawara ya bibi yako wa kambo mzaa babu yako.Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Sasa ajue ili iweje?Mpaka umri huo hujui kuuliza maswali
Mtafikia mpaka kuhoji ukomo wa Mungu.Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Sasa akiwa nayo wewe inakuwasha nini?Cheki na daktari, inawezekana kichwani ukawa na samadi ya kiti moto
Hahaha hahaha hahaha chawa wa lumumba mna vituko sana.Uje ufate sidiria yako, imekaa muda mrefu tangu uondoke
Laana hiyo mkuu.Hao bulicheka ndio unaita Mungu
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣Mwakani CCM Fomu Moja Ya RaisHivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Hao wanadamu tu mmoja anakula senene, mwingine wa Kyela huko anafakamia parachichiLaana hiyo mkuu.
Soma post yangu kisha mtafute mtembea kwa miguu jirani yako akueleweshe namaanisha nini...
Kwa hivyo Mungu kwako ni bulicheka siyo?