Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfadhili wao yupo matatani. Wachaga wamechanganyikiwaImagine taifa lina watu ambao uwezo wao wa kufukiri ndio huu.
where is your point!Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Hivi maaskofu huwa wanapigiwa kura?Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Kanisa ni mali ya Mungu na ndiyo maana kwenye Aagano la Kale katika watoto kumi na mbili wa Yakobo makuhani walitoka tu kwa Lawi(Levi) na si vingenevyo.Mipango ya Mungu usiifananishe na utawala wa nchi au Taifa.Kwa hiyo taasisi ikiwa na mifumo sio kosa
HAKIKAMtafikia mpaka kuhoji ukomo wa Mungu.
Acheni laana nyie viumbe
Small/little minds always discuss peopleHivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Achana naye huyo kizazi cha nyoka.Laana hiyo mkuu.
Soma post yangu kisha mtafute mtembea kwa miguu jirani yako akueleweshe namaanisha nini...
Kwa hivyo Mungu kwako ni bulicheka siyo?
Vipi kwa yule ni msemaji wa mkopo kumsemea jirani?Akili zako za kuvukia barabara tu
Haelewi hiyo atakuja kuelewa siku akiwa kaburini.Jitahidi kuficha ujinga. Kwa hiyo Uaskofu ni cheo? Kwamba Pengo anatakiwa kustaafu uaskofu wake? Unaelewa unachokizungumza?
usijaribu kuchanganya siasa (tawala za wanadamu) na mambo ya kiroho. Sisi tuliookolewa na Bwana Yesu huwa hatuna ukomo wa kumtumikia Mungu. ni hadi kifo. Angalia mitume walivomtumikia Mungu hadi ilipofika muda wa kutwaliwa na kwenda kukaa na Bwana milele. Chunguza kanisa la MATENDO YA MITUME lilivyoenenda. Hata hizi dini zinazoweka muda wa kustaafu katika kumtumikia Mungu hazijui nini maana ya kumtumikia Mungu. ni dini tu ! hopeless!!!! Once Mungu anapoiweka huduma yake ndani ya mtu, huduma hiyo haikomi, huendelea mpaka kifo. huduma kuu tano, mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji na walimu. EFESO 4:11Usipende kutafuniwa kila kitu, hasa kama una mke
Hatukubali, haiwezekani mtu yule yule amekaza sura kila sikuusijaribu kuchanganya siasa (tawala za wanadamu) na mambo ya kiroho. Sisi tuliookolewa na Bwana Yesu huwa hatuna ukomo wa kumtumikia Mungu. ni hadi kifo. Angalia mitume walivomtumikia Mungu hadi ilipofika muda wa kutwaliwa na kwenda kukaa na Bwana milele. Chunguza kanisa la MATENDO YA MITUME lilivyoenenda. Hata hizi dini zinazoweka muda wa kustaafu katika kumtumikia Mungu hazijui nini maana ya kumtumikia Mungu. ni dini tu ! hopeless!!!! Once Mungu anapoiweka huduma yake ndani ya mtu, huduma hiyo haikomi, huendelea mpaka kifo. huduma kuu tano, mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji na walimu. EFESO 4:11
Angalia mahala mtume Paulo anaongea na Timotheo kwa habari ya kifo chake, Bado alikuwa katika utumishi.
Njoo fuata bikini yakoAkili zako za kuvukia barabara tu