Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi na Ask. Pengo nae hamtaki Mbowe?. Vipi yule askofu KKKT nawe aliyechangishiwa michango kanisani na Mbowe mpaka akawaarika hata COVID 19.Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Machawa na manyumbu mmeshikwa pabayaHivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Njaaa 😆😆😆😆😆😆Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Kwa Catholics ni ranks kama Lieutenant, Captain, Colonel....... mpaka unafika General(four 🌟 General) labda mpaka Field-Marshal.Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Askofu ni kaka balozi au mchungaji ama Padri yaani ataendekea kuitwa hivyo maisha yake yote.Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Mungu si sawa na binadamu.Mtafikia mpaka kuhoji ukomo wa Mungu.
Acheni laana nyie viumbe
Viongozi wa kidini hutumiwa sana na wanasiasa lakini rulling party(CCM) hukasirika sana na hata kuwatishia pale wanapo-support opposition parties.Ila wao wanataka kutumia imani ku shape politics
Kwa madhebu mengineyo YESHivi maaskofu huwa wanapigiwa kura
Kanisa kato linaongozwa kidictator mkuu. Ukihoji tu unakuwa excommunicated. Ndo mana Mungu ameamua kulisambaratisha kipitia mtumishi wake MwamposaUongozi wa kanisa si sawa na uongozi wa chama cha siasa. Mifumo tofauti kabisa
Catholic church lina utaratibu wake, na upo wazi, lutheran lina taratibu zake. Na si kweli hna limit kwneye makanisa
Tatizo hujui jinsi mifumo ya makanisa inafanya kazi