MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mwamakula na Bagonza ni chawa waandamizi wa Sultani Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta kwanza taarifa sahihi juu ya utaratibu wa kiuongozi wa hayo makanisa. Inaonyesha hujui chochote kabisa, bilabila. Umetumia hisia bila facts.Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
1 Wakorintho 2 (Biblia Takatifu)Kanisa ni mali ya Mungu na ndiyo maana kwenye Aagano la Kale katika watoto kumi na mbili wa Yakobo makuhani walitoka tu kwa Lawi(Levi) na si vingenevyo.Mipango ya Mungu usiifananishe na utawala wa nchi au Taifa.
Mbona wenyewe wanachanganya?1 Wakorintho 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Walakini iko hekima tusemayo kati ya wakamilifu; ila si hekima ya dunia hii, wala ya hao wanaoitawala dunia hii, wanaobatilika;
⁷ bali twanena hekima ya Mungu katika siri, ile hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiazimu tangu milele, kwa utukufu wetu;
⁸ ambayo wenye kuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulibisha Bwana wa utukufu;
naona huyo ndg anataka kuchanganya mambo ya mbinguni na ya duniani. ya duniani yote ni ubatili!
Askofu wa kanisa katoliki hana ukomo, hapigiwi kura.Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
ndio hivyo wengine sio watumishi wa Mungu bali wanatumikia matumbo yao. Akiongea-ongea akionekana ana impact, anatupiwa 150m eidha na Abduli ama mama yake direct, hivyo usiumize sana kichwa na anayejiita askofu, mchungaji, padre, ... waangalie kwa tahadhari sana. Fil 3:19Mbona wenyewe wanachanganya?
Unashinda kwenye jukwaa la siasa kisha unata uone mahuburi ya askofu? Ukitaka picha za mahubiri yake nenda kanisani kwake ukampige picha.Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Yesu alikuwa na kanisa?Hana kanisa huyo
Uache ujinga Clip zipo nyingi sana a ukitaka mafundisho yake nenda kanisaniHivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Na hayo manguo ananunuaga kariakooUache ujinga Clip zipo nyingi sana a ukitaka mafundisho yake nenda kanisani
Ushawahi kuona Askofu ambaye hachungi Kondoo wake?
Speaking of aliupata wapi uchungaji wake, ndio inaonesha ni jinsi gani hufanyi utafiti wako vizuri, utagundua kuwa alisomea kabisa theolojia na kaupata kwa sababu na uwezo sio ndumba na figisu
Kanisa lake ni la Mungu halihitaji usajili kwenye serekali za majizi. Una swali lingine?Nani alikuwa anasajili makanisa wakati huo?
Kuifananisha mifumo ya taasisi za kidini na vyama vya siasa, ni dalili ya wazi kabisa ya ukosefu wa akili ya kufikiri.Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
N. B:
Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Ni dhambi kubwahao wote ni chadema siyo watumishi wa Mungu na sasa wanapata shida maana waliamini chadema nisehemu sahihi wao kupiga helka na sasa chadema imeparanganyika wanaona aibu sana yaani hata ukiwaangalia wanavyoongea sasa hivi yaani mtu anacheka kama anataka kulia fikiria sura inakuwaje hapo kichekeshoa
Umasikini na uvivu wa fikra ni mbaya sanaUsinipangie