Kwanini Askofu Mwamakula, Bagonza, Pengo hawapiganii ukomo wa uongozi kwenye makanisa yao?

Kwanini Askofu Mwamakula, Bagonza, Pengo hawapiganii ukomo wa uongozi kwenye makanisa yao?

Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?

N. B:

Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Wewe bila shaka una uelewa duni.

Ukasisi ni daraja wala siyo cheo cha kiutawala. Daraja haliondoki labda uvunje nadhiri.

Vyeo ndani ya kanisa vinapigiwa kura, na mabadilishano yapo wazi. Unajua Rais wa TEC huongoza kwa muda gani?
 
Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?

N. B:

Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Kila taasisi ina katiba yake na uongozi wa kidini ni tofauti na taasisi zingine za kisiasa na kijamii.
Mtoa hoja haya masuala ya ukomo wa uongozi yaendane ya UKOMO WA KATIBA, katiba ikishafikisha miaka 50 +ni LAZIMA jamii mzima ikae watunge nyingine sababu mambo mengi yanayowahusu yanakuwa yamebadilika.

Kwa hiyo mtoa hoja hii dhana ya ukomo wa uongozi ingeanzia kwenye ukomo wa Katiba baada ya miaka 50+.
 
Wewe bila shaka una akili ndogo na uelewa duni.

Ukasisi ni daraja wala siyo cheo cha kiutawala. Daraja haliondoki labda uvunje nadhiri.

Vyeo ndani ya kanisa vinapigiwa kura, na mabadilishano yapo wazi. Unajua Rais wa TEC huongoza kwa muda gani?
Wafukuzwe, hata Yesu hakukaa muda wote huo
 
Kwa hiyo taasisi ikiwa na mifumo sio kosa
Hivyo siyo vyeo bali ni madaraja. Kwa mfananio, ni sawa kama ilivyo kwa jaji. Ukishafikia hatua ya kuitwa jaji, utabakia hivyo maisha yako yote, labda ukiuke kiapo chako. Ndiyo maana Warioba japo hahukumu kesi yoyote, anaendelea kuwa jaji. Tofauti na jaji ambaye ni msajili wa mahakama. Anaweza kuondolewa kwenye nafasi ya kuwa msajili wa mahakama lakini ataendelea kuwa jaji.

Bishops are responsible for providing pastoral governance for a diocese. They are considered successors to the Apostles and are teachers of doctrine, priests of worship, and ministers of governance.
 
Hivyo siyo vyeo bali ni madaraja. Kwa mfananio, ni sawa kama ilivyo kwa jaji. Ukishafikia hatua ya kuitwa jaji, utabakia hivyo maisha yako yote, labda ukiuke kiapo chako. Ndiyo maana Warioba japo hahukumu kesi yoyote, anaendelea kuwa jaji. Tofauti na jaji ambaye ni msajili wa mahakama. Anaweza kuondolewa kwenye nafasi ya kuwa msajili wa mahakama lakini ataendelea kuwa jaji.

Bishops are responsible for providing pastoral governance for a diocese. They are considered successors to the Apostles and are teachers of doctrine, priests of worship, and ministers of governance.
Bahati nzuri ujinga huwa haujifichi, sasa Jaji anawezaje kuwa Msajili? Warioba sio Jaji, ni utapeli tu, basi niwekee hukumu yake moja hapa
 
Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?
Sijui kwa wengine, lakini katika Roman Catholic, Uaskofu ni daraja, sio cheo cha kukipata kwa kupigiwa kura. Kwa hiyo katika list hiyo nadhani muondoe Cardinal Pengo, maana kwa RC uaskofu ni wa kudumu, anaweza tu akastaafu utendaji kuwa Askofu wa Jimbo
 
Hivi hawa jamaa ni maaskofu wa maisha? Mwamakula japo haijulikani hata uaskofu aliuokotea wapi, lakini kila siku yupo. Hayo makanisa hayana watu wengine?

N. B:

Mwenye clip ya Mwamakula akihubiri injili, nina milioni yake.
Umebanwa haja kubwa Kwa kufakamia misosi ya misibani!!
 
Back
Top Bottom