Kwanini baada ya Uhuru, Nyerere aliwatema waliopambana tangu mwanzo

Hio mipaka ya kudiscuss Idea na sio watu nani kaiweka huoni unajipinga mwenyewe kwa kunipangia cha kudiscuss ?
 
Hakuwatema acha porojo na uwongo

Wengi waliendelea kuwa viongozi waandamizi

Waliotemwa wengi walikuwa wasaliti akina kambona,bi titi nk
Una uhakika kambona alikua msaliti kiongozi...????
 
Mimi narudia tena kusema sijawahi na sitakuja kufuatilia maisha ya mtu humu.
Mimi nadiscuss ideas na hoja tu.

Vibonzo navyoweka vinadiscuss hoja fulani wala sio ID fulan...elewa bas. Na huwezi kunipangia cha kupost hapa.
Sawa, mimi sikupangii na wewe usinipangie mchezo umeisha kirahisi simple kabisa kuanzia sasa sitarajii kuona ushauri wako nini nipost na nifanye sawa ?
 
Sawa ,umejuaje kama mimi ni Muislamu wapi nimekuambia ?
Post hapo juu unsema maghayo analeta mfumo kristo...hiyo plus jinsi unavyojenga hoja tu inatosha mtu kujua watu wa aina gani hufikiri hivi....ila Im open to criticism I may be wrong.
 
Post hapo juu unsema maghayo analeta mfumo kristo...hiyo plus jinsi unavyojenga hoja tu inatosha mtu kujua watu wa aina gani hufikiri hivi....ila Im open to criticism I may be wrong.
Hapo inaonyesha jinsi gani ulivyokuwa na uwezo mdogo wa kufikiri inamaana comment ile kwa Maghayo inashiria mimi Muislamu Atheist au mkatoliki hawezi kusema hivyo ? mbona kwenye uzi huo wapo wakatoliki waliowaattack walokole na kuwatag tena kwa ukali na ukinzani zaidi ya mimi nilivyomQuote Maghayo ?

Narudia swala wapi nimesema mimi Muislamu na umetumia kigezo kipi kusema hivyo na una ushahidi gani ?
 
Wengi wao ni waswahili maneno mengi hawakuwa na elimu dunia bali elimu akhera.

Wasingeweza kufaa chochote katika kujenga serikali..mana kuendesha serikali sio maneno bali ni elimu na usomi.

#MaendeleoHayanaChama

Sasa hao wasomi walifanya nini cha maana? Mfumo walioujenga ndiyo huu watu wameshagundua ni mbovu na sasa wanataka katiba mpya. Umasikini umeongezeka, tunaishi kwa kutegemea misaada na mikopo. Hao wasomi nchi imewashinda.
 
Bas fresh mkuu..hope utaimprove kwa hayo tuliyodiscuss...
 
Na hatimae nchi imekuwa ya kikatoliki
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila hapo mnachekeleaaaa
Wadini wakuba nyie
 
Na hatimae nchi imekuwa ya kikatoliki
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila hapo mnachekeleaaaa
Wadini wakuba nyie
Hii nchi niya watanzania wote au ulitaka iwe ya kiislamu ili wakristo wazuiwe kujenga makanisa kama hupo pemba?

Sisi sote watanzania ubaguzi wakiitikadi yoyote utasambazwa na wapumbafu na wajinga let us build our country.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwanini aliwatema watu Kama
Abdulwahid Sykes
Bibi Titi
Na baadhi katika serikali yake

Nawasilisha
There are only two office rules : no.1 - The Boss is always right ! No. 2 - when he or she is wrong follow rule no. 1 ,
 
Wengi wao ni waswahili maneno mengi hawakuwa na elimu dunia bali elimu akhera.

Wasingeweza kufaa chochote katika kujenga serikali..mana kuendesha serikali sio maneno bali ni elimu na usomi.

#MaendeleoHayanaChama
Lakini hao hao waislam ndo walipigania uhuru na kukosa kwao elimu.
 
Wengi wao ni waswahili maneno mengi hawakuwa na elimu dunia bali elimu akhera.

Wasingeweza kufaa chochote katika kujenga serikali..mana kuendesha serikali sio maneno bali ni elimu na usomi.

#MaendeleoHayanaChama
Ama unadhani uhuru ulipoganiwa Maswa ama Ngudu?

Uhuru ulipangwa na kupiganiwa na wazee wa Pwani hasa waislamu.

Wakati huko mikoani mmekaa tu mmezubaa kuna wanaume wa Pwani walikuwa kazini kupambania uhuru wa nchi pamoja na huko kwenu Ngudu.
 
Lakini hao hao waislam ndo walipigania uhuru na kukosa kwao elimu.
Kwenye siasa hata vichaa na wavuta bangi wanahitajika ili kuweza kutimiza lengo..baada ya hapo lazima wapigwe chini.

Ndio kama ilivyotokea kwa hao waswahili.

Kazi yao ilipoisha hawakuhitajika tena kwaajili ya hatua nyingine ya kujenga misingi ya nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ama unadhani uhuru ulipoganiwa Maswa ama Ngudu?

Uhuru ulipangwa na kupiganiwa na wazee wa Pwani hasa waislamu.

Wakati huko mikoani mmekaa tu mmezubaa kuna wanaume wa Pwani walikuwa kazini kupambania uhuru wa nchi pamoja na huko kwenu Ngudu.
Bila JKN nyerere akili kubwa wangeendelea kupigania uhuru mpaka leo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Alikuwa mbinafsi na msaliti kwa wenzake walioshirikiana au waliompa nafasi aingie kwenye Movement waliozianzisha za kudai uhuru,Hakutaka waislamu wawe na nguvu katika nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…