Unaweza kuwa na hela na bado ukawa Simp au Dick-Head so haisaidii chochote. Build your frame!We ndo ujifunze kuheshimu watu unawaambia watafute hela huku huwajui, yaan tanzania mtu hakujui lakin ana act kama anakujua
Bro hii ni forum huku hakuna rule ndo uzuri wa jamiiforum shuleni tulazimishwe kutumia rule kuandika research na huku tena hapanaUandishi wako tu unaonenakana wewe ni "Simp". Kwanza sifa ya mwanaume hata ukitoswa na mwanamke hutakiwi kulalamika. Nasisitiza soma nilichoandika uelewe, dont be a Simp and Dick-Driven.
Unajiona jinsi ulivyo hamnazo? unalaumu mtu anayeambiwa atafute hela kisa hajulikani,We ndo ujifunze kuheshimu watu unawaambia watafute hela huku huwajui, yaan tanzania mtu hakujui lakin ana act kama anakujua
Jinga sana wewe yaani unashauri mtu atafute hela ili hiyo hela imsaidie kunasa mademu?Dogo tafuta hela,
Nimesema tafuta hela,
Narudia tena tafuta hela,
Yangu ni hayo tu,wengine watakuja kuongezea yao.
Mkuu mimi siwez kukutukana au kukutolea maneno ya kashfa sababu nikukutana tu nitakua kwenye group lakoUnajiona jinsi ulivyo hamnazo? unalaumu mtu anayeambiwa atafute hela kisa hajulikani,
Wewe unajua mimi nipo wapi? au umekariri kua member wote wa JF wapo bongo?
Mleta mada nimemwambia tafuta hela na amejibu vizuri tu,sijui wewe kimekuwasha nini na kuanza kujipitisha kwangu! tambaa mbele wewe,acha kunishobokea sawa Binti.
Dada mbona makasiriko? au ndio umekuja na ID nyingine? kwenye hiyo comment uliyoniquote,kuna sehemu nimemwambia mleta mada matumizi ya hela atakazotafuta?Jinga sana wewe yaani unashauri mtu atafute hela ili hiyo hela imsaidie kunasa mademu?
Wazazi wako wana hasara sana, na hata wewe Mwenyewe naona akili zako za kupoteza tu
Kuna watu hawana hela na wana mademu wakali sina maana ya watu wasitafute hela ila money is not everything ni kitu ambacho watu wengi hawajuiJinga sana wewe yaani unashauri mtu atafute hela ili hiyo hela imsaidie kunasa mademu?
Wazazi wako wana hasara sana, na hata wewe Mwenyewe naona akili zako za kupoteza tu
Wapi nimekulazimisha? Mbona unajishtukia Mkuu? Kwa hali hii ninayoiona utapigwa sana chini na madem sababu hata hapa inadhihirisha kwamba wewe ni Weak hujiamini. Kujiamini ndio sifa namba moja ya mwanaume aliyekamilika.Bro hii ni forum huku hakuna rule ndo uzuri wa jamiiforum shuleni tulazimishwe kutumia rule kuandika research na huku tena hapana
mbona unatumia weak point kumjudge mtu, mim kwa umri wangu sio wa kubabaishwa na wanawake na ni wapi nimelalamika kuhusu wanawake mbona unanlisha maneno kukuambia tu money is not everything or gurantee ndo unantuhumu nalalamika kuhusu wanawake
Kupigwa chini ndo nin, mkuu mim sio mwoga wa maisha na kamwe siogopi kufail ndo tofauti yangu mim na weweWapi nimekulazimisha? Mbona unajishtukia Mkuu? Kwa hali hii ninayoiona utapigwa sana chini na madem sababu hata hapa inadhihirisha kwamba wewe ni Weak hujiamini. Kujiamini ndio sifa namba moja ya mwanaume aliyekamilika.
Kaa pembeni wewe huna hoja,punguza ukimbelembele.Mkuu mimi siwez kukutukana au kukutolea maneno ya kashfa sababu nikukutana tu nitakua kwenye group lako
Hakuna sehemu mim nimekuambia utafute hela na siwez kukuambia sababu sikujui na hujawahi kuja nililia shida na ninakuheshimu
Ila wewe unanikomalia nitafute hela na unijui, plus umeniita mama, binti ila mim kamwe nitajikita kwenye mada
Tafuta hela7x 70Nitafute shs ngapi The Icebreaker
Hii ni forum huna mamlaka ya kupangia watu cha kufanya aanzisha yako alafu upangie watu cha kufanyaKaa pembeni wewe huna hoja,punguza ukimbelembele.
Hako kajamaa kanababaikia sana watu humu na hakana hoja ya maana zaidi ya kurukaruka hovyo tu kama Kangaroo.Wapi nimekulazimisha? Mbona unajishtukia Mkuu? Kwa hali hii ninayoiona utapigwa sana chini na madem sababu hata hapa inadhihirisha kwamba wewe ni Weak hujiamini. Kujiamini ndio sifa namba moja ya mwanaume aliyekamilika.
Acha kushobokea watu wewe.Hii ni forum huna mamlaka ya kupangia watu cha kufanya aanzisha yako alafu upangie watu cha kufanya
Kama kila anayakupa challenge unamtukana na kumuita majina ya ajabu ajabu kwenye haya maisha utapata sana tabuHako kajamaa kanababaikia sana watu humu na hakana hoja ya maana zaidi ya kurukaruka hovyo tu kama Kangaroo.
Hii ni forum au huoni ukipost reply hapo chini kuna sehemu ya kureply usinilaumu mim laumu aliyeanzisha forumAcha kushobokea watu wewe.
Challenge gani uliyonipa hapa wewe zaidi ya kuandika pumba tu? ndio maana kila mtu anakushangaa kwa hoja zako za hovyo ambazo hazina hata kichwa wala miguu.Kama kila anayakupa challenge unamtukana na kumuita majina ya ajabu ajabu kwenye haya maisha utapata sana tabu
Kwani kila mtu akinishangaa inanipunguzia nin, niogope nawakati kila mtu anatumia majina fake sintakua mwendawazimuChallenge gani uliyonipa hapa wewe zaidi ya kuandika pumba tu? ndio maana kila mtu anakushangaa kwa hoja zako za hovyo ambazo hazina hata kichwa wala miguu.
But women have no love.Ukiwa na hela watakuja wengi...kwasababu ya hiyo hela yako hawatakuwa wanakupenda...
labda umwambie atafute hela akizipata aachane na mambo ya wanawake...ila kama ata deal na wanawak...trust me yaan akiwa na hela ndo atajuta zaidi kuliko mwanzo....kwasababu atafikiria nina kila kitu halafu mbona wanazingua tena
Upunguziwe nini sasa wakati ni empty set.Kwani kila mtu akinishangaa inanipunguzia nin