hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
- Thread starter
-
- #61
Huyu naye ni mtu?
Weka mfano halisi ikibidi iwe ya kiongozi wa chama cha siasa chenye nguvu
Achana nao hao walikuwa wanakurusha roho tuNilikuta mahali wanasema hivyo nikabaki nashangaa🙉🙉
Na walinirusha roho kweli sio Uongo 😄😄Achana nao hao walikuwa wanakurusha roho tu
Kama avatar yako ilivyo, hata mimi nilipokuwa school nakumbuka nilikuwa head boy katili mno hata jina langu la utani lilikuwa HitlerPopote niendapo nachukiwa maana huwa napenda kuwa wa mbuzi, na kwangu naona it's better this way.
NAUNGA MKONO HOJA."It is better to be feared than to be loved"
siyo kwamba ni defensive mechanism, unatumia kama silahaHua natamani niwe serious hivyo walau kwa masaa machache tu..maanake hata kwenye vikao vya watu very sensitive hua naulizwa kitu gani kinakufanya utabasamu na sijui kwanini napenda kucheka[emoji26][emoji26]
MmhhHuyu hapa anaitwa Eminem Godzilla, hajawahi kuonekana akicheka tangu amezaliwaView attachment 2757420
Kabisa asee, japo jamaa nilichokuwa namkubali kumkuta amekasirika ni nadra sana, alikuwa anacheka na kila mtu tuAngekua wa kike ni mimi huyu kabisa najiona[emoji26][emoji23][emoji23]
Hivi sasa sifahamu, A Level pia tulisoma nae, ila baada ya hapo sijui alienda wapiYuko wapi huyo mwanakucheka
Hii ni editing
Nilihisi tu utasema hivo how sure are you mkuuHii ni editing
Wala ngada waliambiana hivyo hivyo mwisho magari yakawakaUnakunywa kiduchu tu raha yake utasimulia
🙏"It is better to be feared than to be loved"
Mkuu hata mimi taarifa nilizipata kupitia mitandao tu ya kijamii , sijawahi kusihi nayo, so Sina njia ya kukuhakikishiaNilihisi tu utasema hivo how sure are you mkuu
Kwahiyo tusiokunywa mvinyo tunaitwaje?Mwanamke shurti apige mvinyo kidogo bwana wee! Hata kwenye mambo yetu unaendaje kavu na jicho linawaka bwana🤪
Napenda wakaka wa hivyo😇😌Mi kila saa naonekana mpole hata kama nimekasirika, yaani naweka sura ya kukasirika lakini watu wananiambia daah we jamaa ni mpole kinoma.
Hicho ndo kinawaponza Huwa hawajui kama nimemaind hadi Waone namtandika mtu vibao, na nikianza kupiga had nione damu ndo hasira zinaisha