hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
- Thread starter
-
- #81
Kwahiyo akina sisi sura mbuzi uso gazeti htucheki na mtu , hutupendi!Napenda wakaka wa hivyo๐๐
Nani aliyekwambia nataka kutishwa mimi? Hivi mtu gani hucheki๐? Hatakama ni uanaume.Kwahiyo akina sisi sura mbuzi uso gazeti htucheki na mtu , hutupendi!
Sura za kazi Ila hizo ndio sura za stand up comedy akitumia vizuri muonekano anakusanya maokoto yaan kuna watu sura zao ukimwangalia tu unacheck yaan mtu hajasema chochote ukimwangalia tu sura yake ushacheka sasa aanze kuongea utavunjika mbavu Ila ndio hawapendi kuonekana hivyo yaan ukimcheka anaona km umemdharau kumbe mwonekano wake unachekesha tuHabari wanajf
Kama nawewe ni miongoni basi utakuwa sio mgeni wa maswali kama
"mbona inaonekana upo serious mda wote"
Au "mbona una mawazo sana"
Sasa kuna baadhi ya watu nadhani namimi ni miongoni tunaonekana tuna sura ambazo hazina chembe ya tabasamu.
Yaani kuna mtu ukimtazama kwa haraka unaona kabisa huyu mtu huenda hajawahi cheka.
Japokuwa kuna watu wanaonekana kama wanacheka mda wote.
Kipi haswa kinachangia hali hii ya kudumu kwa baadhi ya watuView attachment 2757335
wee naskia ambao hawatumii ndo rahisi kuwaoshea๐Mwanamke shurti apige mvinyo kidogo bwana wee! Hata kwenye mambo yetu unaendaje kavu na jicho linawaka bwana๐คช
Huogopi kupigwa?Napenda wakaka wa hivyo๐๐
Huwezi kunipiga aisee, nikikuangalia na macho ya huruma na vimachozi unapata wapi nguvu ya kunipiga?Huogopi kupigwa?
Tafuta mmakonde upendane nae,ndani ya mwezi tu utakua serious.Hua natamani niwe serious hivyo walau kwa masaa machache tu..maanake hata kwenye vikao vya watu very sensitive hua naulizwa kitu gani kinakufanya utabasamu na sijui kwanini napenda kucheka๐ฅ๐ฅ
kama mimi, watu wanakuona mpole ila hawakujui tu....Mi kila saa naonekana mpole hata kama nimekasirika, yaani naweka sura ya kukasirika lakini watu wananiambia daah we jamaa ni mpole kinoma.
Hicho ndo kinawaponza Huwa hawajui kama nimemaind hadi Waone namtandika mtu vibao, na nikianza kupiga had nione damu ndo hasira zinaisha
Why??"It is better to be feared than to be loved"
Its better ukiwa na kazi/biahara inayokuingizia hela,,,, vinginevyo n tabu tupu mana watu hawawez hata kukupasia raman za ku make mkwanja!Popote niendapo nachukiwa maana huwa napenda kuwa wa mbuzi, na kwangu naona it's better this way.
Wallahi sintaweza kwanza kwenye maisha yangu sikumbuki kama niliwahi kupiga mwanamke, machalii tu kupigana nao mara ya mwisho nilipigana na boya mmoja nikiwa darasa la 3 aliniibia saa yanguHuwezi kunipiga aisee, nikikuangalia na macho ya huruma na vimachozi unapata wapi nguvu ya kunipiga?
Huwezi kunipiga ๐. Nitakubembeleza weweWallahi sintaweza kwanza kwenye maisha yangu sikumbuki kama niliwahi kupiga mwanamke, mara ya mwisho kupigana nilipigana na rafiki yangu nikiwa darasa la 3 aliniibia saa yangu
Yaani Ukiwa dem wa kikuria lazima wazee wako waniite kijijini waweke kikao cha ukoo kuniuliza kwanini sikupigi? Watanishtaki kwa kosa la kukunyanyasa kwakua sikupigi, maana usipompiga mwanamke wa kikuria wazee wake wanasema unamnyanyasa mtoto wao bora arudi nyumbaniHuwezi kunipiga ๐. Nitakubembeleza wewe
Wala hata mimi sio mkuryaYaani Ukiwa dem wa kikuria lazima wazee wako waniite kijijini waweke kikao cha ukoo kuniuliza kwanini sikupigi? Watanishtaki kwa kosa la kukunyanyasa kwakua sikupigi, maana usipompiga mwanamke wa kikuria wazee wake wanasema unamnyanyasa mtoto wao bora arudi nyumbani
Sijui hata mnaitwaje, ila hamnogi๐คฃ๐คฃKwahiyo tusiokunywa mvinyo tunaitwaje?
Pale ambapo mwenyewe ni mmakonde ila nimeshindwa kua serious ๐๐๐๐Tafuta mmakonde upendane nae,ndani ya mwezi tu utakua serious.
"Jokes"
Ndo inavyokuaga, ila tatizo ni watu wanakua wamekuzoea sana hadi kero sometimes...siku ukijifanya uko serious wanajua kabisa kama unawaigizia๐๐Kabisa asee, japo jamaa nilichokuwa namkubali kumkuta amekasirika ni nadra sana, alikuwa anacheka na kila mtu tu