Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ni kweli mnawabebesha mzgo maana hii itakuhusu muda si mrefuKawaulize hao wazazi
Hata aliyetoa bikra ni awaliwana msemo wao, awali ni awali tu!
Teh teh teh bado ijanihusu ikinihusu ntakuja kujibuje ni kweli mnawabebesha mzgo maana hii itakuhusu muda si mrefu
Siyo tu waliozaa nao.. Single mum ni rahis sana kugegedwa hata na watu wengine! Ukikataliwa na single mum kaoge maji ya baharini!!Hivi hujui kuwa single mom analiwa kirahisi mno na mwanaume aliyemzalisha awali.
Jaribu kuoa single mom ujute.
Hapo bwana wake wa awali atakapokuwa anakuja kumsalimia mwanawena kulala kwenye nyumba yako uwe na kifua cha kuhimili.
Ni kweli kabisa yani viko vingi sana vya kuchambua kukusu single mom ila itabidi saaa uifungulie thread yake ili uichambue kwa mapana zaidiSiyo tu waliozaa nao.. Single mum ni rahis sana kugegedwa hata na watu wengine! Ukikataliwa na single mum kaoge maji ya baharini!!
inashangaza kuona wanaume mnawaona single mothers kama ni watu wabaya! Wasio na maadili! Na wasiofaa kupewa nafasi ya kuwa mke! Hii hoja yako inaweza kumtokea mtu yeyote except kama uyo mkeo ulimuoa bikra! Watu wengi wana oa au kuolewa wakiwa Tayari wamepitia kwenye First Love, na first Love huwa haifi kirahisi pia! Na hao hao waliiolewa Non single mothers wanawaza kuchepuka na first Lovers wao, hivyo hilo ni jambo Labkuomba Mungu tu akupe couple njema isiyokumbuka mambo ya nyuma ambayo yanaweza kuhatarisha ndoa yenuHivi hujui kuwa single mom analiwa kirahisi mno na mwanaume aliyemzalisha awali.
Jaribu kuoa single mom ujute.
Hapo bwana wake wa awali atakapokuwa anakuja kumsalimia mwanawena kulala kwenye nyumba yako uwe na kifua cha kuhimili.
Pamoja na hayo... Kila mtu abebe msalaba wake!!Hekima na busara za mwanadamu hazipo kwenye kutokukosea bali ni kujifunza kulingana na makosa.....
Katika safari ya maisha ya kimahusiano kujikwaa ni jambo la kawaaida kwani tunaishi katika ulimwengu uliojaa wanafiki, waongo na walaghai...na ni vigumu kuikwepa mitego yao.....
Mara nyingine unaweza ukajikuta upo kwenye mikono ya shetani huku ukizani kuwa ni malaika.....na wakati mwingine ukajikuta upi kwenye mikono ya malaika wewe ukidhani ni shetani........
Kama ilivyo ngumu kuitofautisha ladha ya pepsi na Azam cola....ndivyo ilivyo ngumu kumtambua mnafiki na msema kweli kwani wote wanakuja katika sura na maumbo yaliyofanana......
![]()
![]()
Naona single momo "kisu kimegonga mfupa".inashangaza kuona wanaume mnawaona single mothers kama ni watu wabaya! Wasio na maadili! Na wasiofaa kupewa nafasi ya kuwa mke! Hii hoja yako inaweza kumtokea mtu yeyote except kama uyo mkeo ulimuoa bikra! Watu wengi wana oa au kuolewa wakiwa Tayari wamepitia kwenye First Love, na first Love huwa haifi kirahisi pia! Na hao hao waliiolewa Non single mothers wanawaza kuchepuka na first Lovers wao, hivyo hilo ni jambo Labkuomba Mungu tu akupe couple njema isiyokumbuka mambo ya nyuma ambayo yanaweza kuhatarisha ndoa yenu
Awali ni awali tu!wana msemo wao, awali ni awali tu!
mizigo ya watu wengine............wanamuonea huruma ya kuja kubebeshwa mizigo ya watu wengine