Kwanini baadhi ya wazazi hawapendi watoto wao kuoa 'single mother'?

Kwanini baadhi ya wazazi hawapendi watoto wao kuoa 'single mother'?

Am not afraid to be a single mom hata siku moja, bora kuwa single mother kuliko kung'ang'ana katika mahusiano yatayokutoa roho bora Ku quit uanze upya hata kama itabidi ukabiliane na watu wenye mawazo hasi kama yenu! Bora kuzaa kuliko kuto kuzaa
NB. Wengi wanaolewa miaka hii lakini wengi pia wanaachika kwaiyo tusiwahukumu Sana'a hawa watu
Ahahahah waambie shougger
 
Am not afraid to be a single mom hata siku moja, bora kuwa single mother kuliko kung'ang'ana katika mahusiano yatayokutoa roho bora Ku quit uanze upya hata kama itabidi ukabiliane na watu wenye mawazo hasi kama yenu! Bora kuzaa kuliko kuto kuzaa
NB. Wengi wanaolewa miaka hii lakini wengi pia wanaachika kwaiyo tusiwahukumu Sana'a hawa watu
Ulichokisema ni sawa kabisa mi nafikiria wengi wa hawa single mum n mateso ambayo wanayapata kutok kwa hao baba mtoto ndio mana wanasema wacha nifanye mwenyewe sometime it's better letting go than holding on on something that keeps on bring you down like everyday
Wise word ladyaj
 
Mkuu most of them inakuwa ni ngumu sana kuachana na mzazi mwenzie moja kwa moja. Mfano mzuri mimi kabla sijaoa kuna binti nilikuwa na uhusiano naye wa kimapenzi lakini yeye alikuwa tayari ana mtoto wa miaka mitatu so wakti nakutana naye alikuwa anaishi kwa wazazi wake.

Nikaona sio vizuri kumuacha aendelee kuishi pale ikabidi nimpangie nyumba sehemu nyingine ila nilikuwa silali maana hata mimi nilikuwa na kwangu na nilikuwa naishi na mama yangu mzazi na wadogo zangu so nilikuwa sipendi maswali ya kujua nililala wapi au kuhisi ndugu yao nitabia hatarishi.

Sasa kuna siku mama na wadogo zangu walienda mkoani kutembea nikabi peke yangu pale home ikabidi nimwambie yule single mum kuwa nahitaji kwenda kulala kule ,akasema siku hiyo wifi zake yaani dada zake na yule mzazi mwenzie wamekuja kumtembelea so haitoleta picha nzuri mbele ya wale wifi zake.

Nikajiuliza kichwani inamaana hao wifi zake wanahisi ile nyumba kaka yao ndio anayelipia kodi au vipi? Nikakosa jibu ila nilikaa kimya wala sikumuhoji zaidi.

Kuna siku tena nikaona ameweka picha kwenye DP yake ya whatsapp ya huyo mzazi mwenzie na akiwa amembeba mtoto halafu mazingira ni ya pale kwenye ile nyumba akaweka na status ''PENDA SANA NYINYI ''. Ila haikudumu sana ile DP akaitoa.

Kengere ya hatari ikalia kichwani kwangu siku hiyo nikwamwambia leo nakuja kulala akasema kuna wadogo zake wapo pale nikamwambi vyumba vipo vya kutosha wao wanalala vyumba vingine na sisi tutalala kwenye chumba chetu akasema subiri nitakupigia baadae halafu ilikuwa jumamosi.

Nikasubiri simu yake mpaka saa tisa hakunipigia ikabidi nimtafute simu yake ikawa haipatikani niakamua kwenda hivyo hivyo sasa nilipofika nikamkuta yule mzazi mwenzie yupo pale amevaa vest na taulo langu. Sikuongea naye nikazama chumbani moja kwa moja jamaa akanifuata . Akaniuliza wewe vipi mbona unaingia chumbani bila mpangilio mzuri ? Nilimuuliza unajua kodi ya hii nyumba ni shilingi ngapi? akataka kupambana na mimi wala siku mkawiza nilipiga ngumi za maeneo ya kichwani tatu na wala watu hawakusikia kama kuna ugomvi maana jamaa alizimia.Nilimwambia yule single mum naomba kesho uhame au la umwambie huyu jamaa yako arudishe kodi yangu iliyosalia.

Kumbe yule jamaa na yule single mum waliachana baada ya jamaa kufulia na hakuwa na kazi hadi siku ile niliyowakuta jamaa hakuwa na maisha so mimi nilikuwa ninawalea yeye ,mke wake na mtoto wao .

Ila siku rudi tena baada ya pale na nikaapa sitopenda tena single mum labda mzazi mwenzie awe ameshafiriki ndio naweza nikamfikiria .
Mimi nilioa single mum zaidi ya miaka ishirini iliyopita na mbaya zaidi nikaoa bara [mimi ni nina asili ya zbar lkni nimezaliwa kariako] Mila zetu na dini ilikuwa ni tofauti [mimi ni muislam wkti yeye ni mkristu] alisilimu kwa hiari yake [kwenye suala la imani huwa sipendi kumlazimisha mtu]
Uhusiano wangu ulipingwa mama, dada zangu na ndugu karibu wote ila baba yangu tu.
Kwa vile mimi na mwenzangu tulishaamua suala hili[yeye alikuwa jasiri kuliko mimi maana yake kwao kazi ilikuwa ngumu zaidi] tulioana kiislamu[ingawa kwangu hata bomani ingekuwa sawa tu kwa wakati huo]
Katika kipindi chote cha ndoa hadi leo hii, mapenzi ya mke wangu kwangu nami kwake hayajapungua na wale watoto ambao nimewalea ni wakubwa sasa na wananithamini na kunipenda zaidi ya wale ambao tumezaa kwenye ndoa yetu.
Hivi sasa mke wangu ndiye amekuwa kipenzi cha ukoo wetu na watoto wa ndugu zangu wote wakiwa na matatizo kwenye ndoa zao basi mshauri wao mkubwa ni yeye.
Ninachosisitiza hapa ni kwamba tuache kuzungumza kiumjumla mambo nyeti kama haya.
 
We ni mwanaume wa ajabu sana unaona noma mwanamke kukaa kwao na kuamua kumpangia chumba wakati wewe unakaa kwenu [emoji108] [emoji108] [emoji108] yaani unabomoa boma lako kwa kwenda kujenga ghorofa la jirani [emoji23] [emoji23] waache vidume walalee atii hahahahaa bora uyo Dada alitambua mapema kuwa ana date na mwanaume anayeishi kwao kwa woga wa kuulizwa amelala wapi usiku "Naiomba serikali irudishe Jando na Unyago" hali za kufikiri kwa wanaume zinapungua kila siku
Nielewe Mkuu,
Nilikuwa tayari nina nyumba yangu sio kwamba ninaishi kwa wazazi la hasha ila sikuwa napenda kulala nje kwanza isingekuwa mfano mzuri kwa wadogo zangu.
Halafu sikuwa napendelea kwenda lodge kwa sababu zangu binafsi.
Ila kama huo ni ujinga wacha nikubali kuwa mjinga ila nilichunga heshima yangu nyumbani kwangu maana baba ukiwavunjia heshima waliochini yako basi jua hata wao watakuvunjia heshima.
 
Mimi nilioa single mum zaidi ya miaka ishirini iliyopita na mbaya zaidi nikaoa bara [mimi ni nina asili ya zbar lkni nimezaliwa kariako] Mila zetu na dini ilikuwa ni tofauti [mimi ni muislam wkti yeye ni mkristu] alisilimu kwa hiari yake [kwenye suala la imani huwa sipendi kumlazimisha mtu]
Uhusiano wangu ulipingwa mama, dada zangu na ndugu karibu wote ila baba yangu tu.
Kwa vile mimi na mwenzangu tulishaamua suala hili[yeye alikuwa jasiri kuliko mimi maana yake kwao kazi ilikuwa ngumu zaidi] tulioana kiislamu[ingawa kwangu hata bomani ingekuwa sawa tu kwa wakati huo]
Katika kipindi chote cha ndoa hadi leo hii, mapenzi ya mke wangu kwangu nami kwake hayajapungua na wale watoto ambao nimewalea ni wakubwa sasa na wananithamini na kunipenda zaidi ya wale ambao tumezaa kwenye ndoa yetu.
Hivi sasa mke wangu ndiye amekuwa kipenzi cha ukoo wetu na watoto wa ndugu zangu wote wakiwa na matatizo kwenye ndoa zao basi mshauri wao mkubwa ni yeye.
Ninachosisitiza hapa ni kwamba tuache kuzungumza kiumjumla mambo nyeti kama haya.
Shukran sana mkuu na hongera kwa hili jambo la kiujasiri zaid na upendo
Napata picha yawezekena n mtu na mtu na sio wrote wenye tabia zile wazazi wanazozifikir heshima kwako mkuu mawazo mazur na yenye hekim
 
Mimi nilioa single mum zaidi ya miaka ishirini iliyopita na mbaya zaidi nikaoa bara [mimi ni nina asili ya zbar lkni nimezaliwa kariako] Mila zetu na dini ilikuwa ni tofauti [mimi ni muislam wkti yeye ni mkristu] alisilimu kwa hiari yake [kwenye suala la imani huwa sipendi kumlazimisha mtu]
Uhusiano wangu ulipingwa mama, dada zangu na ndugu karibu wote ila baba yangu tu.
Kwa vile mimi na mwenzangu tulishaamua suala hili[yeye alikuwa jasiri kuliko mimi maana yake kwao kazi ilikuwa ngumu zaidi] tulioana kiislamu[ingawa kwangu hata bomani ingekuwa sawa tu kwa wakati huo]
Katika kipindi chote cha ndoa hadi leo hii, mapenzi ya mke wangu kwangu nami kwake hayajapungua na wale watoto ambao nimewalea ni wakubwa sasa na wananithamini na kunipenda zaidi ya wale ambao tumezaa kwenye ndoa yetu.
Hivi sasa mke wangu ndiye amekuwa kipenzi cha ukoo wetu na watoto wa ndugu zangu wote wakiwa na matatizo kwenye ndoa zao basi mshauri wao mkubwa ni yeye.
Ninachosisitiza hapa ni kwamba tuache kuzungumza kiumjumla mambo nyeti kama haya.
Abunwasi kama umesoma vizuri hoja yangu sikusema wote bali nimesema wengi wao ndio wenye hizo hulka. Ukibahatika kumpata wa aina hiyo ni vizuri zaidi kwa sababu wengine wanakuwa wameshatendwa na hao wazazi wenzao kwa hiyo wanakuwa na upendo wa dhati hasa ukionesha kumjali yeye na mtoto wake.
Ila kwa upande wangu nilipata bahati mbaya kama hivyo.
 
Abunwasi kama umesoma vizuri hoja yangu sikusema wote bali nimesema wengi wao ndio wenye hizo hulka. Ukibahatika kumpata wa aina hiyo ni vizuri zaidi kwa sababu wengine wanakuwa wameshatendwa na hao wazazi wenzao kwa hiyo wanakuwa na upendo wa dhati hasa ukionesha kumjali yeye na mtoto wake.
Ila kwa upande wangu nilipata bahati mbaya kama hivyo.
Well said mkuu sio wote ila wengi wao wako hivo
 
Kunasababu nyingi za kuachana na mzazi mwenzio.Na hamna anayependa kulea mtoto mwenyew ila inabidi kutokana n mazingira.Nibora kuwa single mother kuliko kuendelea n mateso ndan ya moyo.Tulizaa ndio ila tunashukuru Mungu tumeolewa na maisha yanaendelea
 
Abunwasi kama umesoma vizuri hoja yangu sikusema wote bali nimesema wengi wao ndio wenye hizo hulka. Ukibahatika kumpata wa aina hiyo ni vizuri zaidi kwa sababu wengine wanakuwa wameshatendwa na hao wazazi wenzao kwa hiyo wanakuwa na upendo wa dhati hasa ukionesha kumjali yeye na mtoto wake.
Ila kwa upande wangu nilipata bahati mbaya kama hivyo.
Suala siyo hulka ila how do you click together [this is most important].
 
Hivi hao single mothers walidondoka Kutoka mbinguni?...

Wanaume ndio mnaowazalisha mabinti kisha kuwatelekeza au kuwasaliti, kisha ninyi ndio mnaongoza kwa kuwananga humu kila uchao...

Wengine mnajisifia kabisa "Nimemzalisha lakini sitomuoa" akaolewe na nani?

Wengine mama zenu ni 'single mothers',wamewalea wenyewe baada ya baba zenu kuwasaliti, na kuna thread humu jamvini mlikuwa mnawapongeza sana mama zenu kwa bidii waliyofanya kuwalea mpaka leo 'mmekuwa watu' lakini mnawasakama mpaka mnawasababishia usumbufu wa kisaikolojia..

Kuweni na staha japo kidogo.
 
Hivi hao single mothers walidondoka Kutoka mbinguni?...

Wanaume ndio mnaowazalisha mabinti kisha kuwatelekeza au kuwasaliti, kisha ninyi ndio mnaongoza kwa kuwananga humu kila uchao...

Wengine mnajisifia kabisa "Nimemzalisha lakini sitomuoa" akaolewe na nani?

Wengine mama zenu ni 'single mothers',wamewalea wenyewe baada ya baba zenu kuwasaliti, na kuna thread humu jamvini mlikuwa mnawapongeza sana mama zenu kwa bidii waliyofanya kuwalea mpaka leo 'mmekuwa watu' lakini mnawasakama mpaka mnawasababishia usumbufu wa kisaikolojia..

Kuweni na staha japo kidogo.
Kachukue soda kwa mangi
 
Hekima na busara za mwanadamu hazipo kwenye kutokukosea bali ni kujifunza kulingana na makosa.....

Katika safari ya maisha ya kimahusiano kujikwaa ni jambo la kawaaida kwani tunaishi katika ulimwengu uliojaa wanafiki, waongo na walaghai...na ni vigumu kuikwepa mitego yao.....

Mara nyingine unaweza ukajikuta upo kwenye mikono ya shetani huku ukizani kuwa ni malaika.....na wakati mwingine ukajikuta upi kwenye mikono ya malaika wewe ukidhani ni shetani........

Kama ilivyo ngumu kuitofautisha ladha ya pepsi na Azam cola....ndivyo ilivyo ngumu kumtambua mnafiki na msema kweli kwani wote wanakuja katika sura na maumbo yaliyofanana......

8ca03bfdc43bea738fb81c394bd1813f.jpg
2e082418cd4c1c443f760bc266d2e101.jpg
Asante mzee mwenzangu.
 
Hivi hao single mothers walidondoka Kutoka mbinguni?...

Wanaume ndio mnaowazalisha mabinti kisha kuwatelekeza au kuwasaliti, kisha ninyi ndio mnaongoza kwa kuwananga humu kila uchao...

Wengine mnajisifia kabisa "Nimemzalisha lakini sitomuoa" akaolewe na nani?

Wengine mama zenu ni 'single mothers',wamewalea wenyewe baada ya baba zenu kuwasaliti, na kuna thread humu jamvini mlikuwa mnawapongeza sana mama zenu kwa bidii waliyofanya kuwalea mpaka leo 'mmekuwa watu' lakini mnawasakama mpaka mnawasababishia usumbufu wa kisaikolojia..

Kuweni na staha japo kidogo.
Umenena dada.
 
Back
Top Bottom