Kwanini baadhi ya wazazi hawapendi watoto wao kuoa 'single mother'?

Kwanini baadhi ya wazazi hawapendi watoto wao kuoa 'single mother'?

Hivi hao single mothers walidondoka Kutoka mbinguni?...

Wanaume ndio mnaowazalisha mabinti kisha kuwatelekeza au kuwasaliti, kisha ninyi ndio mnaongoza kwa kuwananga humu kila uchao...

Wengine mnajisifia kabisa "Nimemzalisha lakini sitomuoa" akaolewe na nani?

Wengine mama zenu ni 'single mothers',wamewalea wenyewe baada ya baba zenu kuwasaliti, na kuna thread humu jamvini mlikuwa mnawapongeza sana mama zenu kwa bidii waliyofanya kuwalea mpaka leo 'mmekuwa watu' lakini mnawasakama mpaka mnawasababishia usumbufu wa kisaikolojia..

Kuweni na staha japo kidogo.
Well said dear
 
nakupa mtazamo wa baadhi ya wazazi:
wanahisi kuwa yule mwanamke aliyekuwa na mtoto labda alikuwa hajatulia na karuka ruka na wanaume wengi.. jambo ambalo si kweli

wanahisi baba wa mtoto ataingilia ndoa yenu ambapo itapelekea ya kwako kuwa na migogoro... hapa inabidi mwanaume ajiongeze aidha achukue majukumu ya mtoto au mtoto asiwe anaishi naye..

wengine husema wanawake wote hao umeona huyu aliyezaa lakini mapenzi hayachagui .

lingine limekaa kama lkawivu wivu hivi kwamba kwa nini umuhudumie mtoto wa mwanaume mwenzio .. hii ni kutoka hatuna utamaduni wa kutofahamu na tambua haki za mtoto hata kama wazazi wake hawapo ... zaidi utamaduni wa kulea damu si yako kibongo bongo haupo sana
Umenena vema sana! Zote hizo ni point zinazoleta ukakasi kuoa single mother.
 
wanashindwa kuelewa mtu anaweza kuwa alizaa na mwanaume wake wa 9 sasa sijui hao wa kwanza nao atakuwa anatoka nao ama vipi? na pia kama umetoa mimba 5 una wazazi wenzio 5 sirini mwako hapo sijui inakuwajeeee!
Unajua mtu anapoingia kwenye mahusiano na mtu mwingine huwa tuna assume kuwa hakuwa na mtu japo utamkuta sio bikira na faraja huja pale kama humjui jamaa aliyekuwa akitoka naye na hivyo imani yako ya kuwa hakuwa na mtu inakuwa na nguvu. Pia pengine huwa tuna assume kuwa walishaaachana na yule aliyekuwa naye awali na hivyo atakuwa ameshamsahau completely lakini pale anapokuwa ana mtoto huyo mtoto huwa kama reference ya kuwa lazima amkumbuke tu huyo jamaa yake na hivyo taswira ya jamaa inabaki kichwani mwake siku zote. Kwa mantiki hiyo hata jamaa akija kutokea hatumii nguvu nyingi kumshawishi maana taswira ipo kichwani mda mwingi na sisi wanaume tulivyo wachokozi jamaa anaweza kuja kwa gia ya kumuangalia mwanae kumbe anatafuta kukumbushia hivyo lazima wivu na kutoamini kama wameshaachana iwepo tu.
 
Mtoa post sijui ulidhamilia nn ila nikuombe ufahamu single mothers sio wote ni watu wabaya! Na sio wote hawafai kupewa nafasi ya kuwa mke! Japo wapo wachache wanasababisha kuharibiwa kwa sifa za hawa watu na hii huwa ipo hata katika upande wa wanawake ambao ni non single mothers sio wote wanafaa kuolewa pia!
Kuna sababu nyingi zinapelekea mtu kuwa single mother including kifo cha mwenza,usaliti wa wanaume, kuachwa na wapenz au waume,kupata mimba wakiwa shule n.k kuna wadada wengine nao huamua kwa dhat ya mioyo yao kuamua kuwa hivyo walivyo! Kwaiyo siamini kama single mothers ni watu wabaya kama wengine wanavyojadili hapa! Kikubwa ni kujua Huyo mtu uliyenae ni muaminifu kiasi gani, mvumilivu kiasi gani !!
Tuwapumzishe Single mothers kwa kuwapa shutuma mbaya kwa kila kitu tuwapongeze kwa ujasiri wao wa kulea watoto wao pamoja na changamoto wanazopitia kuna watu wengi tu huoa single mother sio lazima uwe wewe unaeshinda kumkandia humu.
Ila kwa case ya kifo cha mwenza hilo halina pingamizi. Tatizo la wanaume wengi huwa tuna wivu sana na huwa tunaamini kwamba kwa yule aliyezaa naye ni rahisi sana kukumbushia mechi. Pia jamaa aliyezaa naye anaweza kuwa anakuja kwako kwa kigezo cha kumsalimia mwanae hakuna kero kama kujua kuwa huyu naye alikuwa anatembea na mke wangu na sijui na akampiga chini maana yake Mi nakula kombo la yule(sisemi kwamba nataka kuoa bikra la hasha ila ninachomaanisha sitaki kujua nani alitembea na mke wangu) hapa maumivu na wivu huanzia. Ila na wanaume wanaotelekeza wabinti baada ya kuwapa ujauzito sio fair Mungu anawaona.
 
Mkuu most of them inakuwa ni ngumu sana kuachana na mzazi mwenzie moja kwa moja. Mfano mzuri mimi kabla sijaoa kuna binti nilikuwa na uhusiano naye wa kimapenzi lakini yeye alikuwa tayari ana mtoto wa miaka mitatu so wakti nakutana naye alikuwa anaishi kwa wazazi wake.

Nikaona sio vizuri kumuacha aendelee kuishi pale ikabidi nimpangie nyumba sehemu nyingine ila nilikuwa silali maana hata mimi nilikuwa na kwangu na nilikuwa naishi na mama yangu mzazi na wadogo zangu so nilikuwa sipendi maswali ya kujua nililala wapi au kuhisi ndugu yao nitabia hatarishi.

Sasa kuna siku mama na wadogo zangu walienda mkoani kutembea nikabi peke yangu pale home ikabidi nimwambie yule single mum kuwa nahitaji kwenda kulala kule ,akasema siku hiyo wifi zake yaani dada zake na yule mzazi mwenzie wamekuja kumtembelea so haitoleta picha nzuri mbele ya wale wifi zake.

Nikajiuliza kichwani inamaana hao wifi zake wanahisi ile nyumba kaka yao ndio anayelipia kodi au vipi? Nikakosa jibu ila nilikaa kimya wala sikumuhoji zaidi.

Kuna siku tena nikaona ameweka picha kwenye DP yake ya whatsapp ya huyo mzazi mwenzie na akiwa amembeba mtoto halafu mazingira ni ya pale kwenye ile nyumba akaweka na status ''PENDA SANA NYINYI ''. Ila haikudumu sana ile DP akaitoa.

Kengere ya hatari ikalia kichwani kwangu siku hiyo nikwamwambia leo nakuja kulala akasema kuna wadogo zake wapo pale nikamwambi vyumba vipo vya kutosha wao wanalala vyumba vingine na sisi tutalala kwenye chumba chetu akasema subiri nitakupigia baadae halafu ilikuwa jumamosi.

Nikasubiri simu yake mpaka saa tisa hakunipigia ikabidi nimtafute simu yake ikawa haipatikani niakamua kwenda hivyo hivyo sasa nilipofika nikamkuta yule mzazi mwenzie yupo pale amevaa vest na taulo langu. Sikuongea naye nikazama chumbani moja kwa moja jamaa akanifuata . Akaniuliza wewe vipi mbona unaingia chumbani bila mpangilio mzuri ? Nilimuuliza unajua kodi ya hii nyumba ni shilingi ngapi? akataka kupambana na mimi wala siku mkawiza nilipiga ngumi za maeneo ya kichwani tatu na wala watu hawakusikia kama kuna ugomvi maana jamaa alizimia.Nilimwambia yule single mum naomba kesho uhame au la umwambie huyu jamaa yako arudishe kodi yangu iliyosalia.

Kumbe yule jamaa na yule single mum waliachana baada ya jamaa kufulia na hakuwa na kazi hadi siku ile niliyowakuta jamaa hakuwa na maisha so mimi nilikuwa ninawalea yeye ,mke wake na mtoto wao .

Ila siku rudi tena baada ya pale na nikaapa sitopenda tena single mum labda mzazi mwenzie awe ameshafiriki ndio naweza nikamfikiria .
Hiki ndo wengi huwa wanahofia na ukweli wengi huwa hawaachani completely. Pole sana mkuu
 
Mimi nilioa single mum zaidi ya miaka ishirini iliyopita na mbaya zaidi nikaoa bara [mimi ni nina asili ya zbar lkni nimezaliwa kariako] Mila zetu na dini ilikuwa ni tofauti [mimi ni muislam wkti yeye ni mkristu] alisilimu kwa hiari yake [kwenye suala la imani huwa sipendi kumlazimisha mtu]
Uhusiano wangu ulipingwa mama, dada zangu na ndugu karibu wote ila baba yangu tu.
Kwa vile mimi na mwenzangu tulishaamua suala hili[yeye alikuwa jasiri kuliko mimi maana yake kwao kazi ilikuwa ngumu zaidi] tulioana kiislamu[ingawa kwangu hata bomani ingekuwa sawa tu kwa wakati huo]
Katika kipindi chote cha ndoa hadi leo hii, mapenzi ya mke wangu kwangu nami kwake hayajapungua na wale watoto ambao nimewalea ni wakubwa sasa na wananithamini na kunipenda zaidi ya wale ambao tumezaa kwenye ndoa yetu.
Hivi sasa mke wangu ndiye amekuwa kipenzi cha ukoo wetu na watoto wa ndugu zangu wote wakiwa na matatizo kwenye ndoa zao basi mshauri wao mkubwa ni yeye.
Ninachosisitiza hapa ni kwamba tuache kuzungumza kiumjumla mambo nyeti kama haya.
Hongera sana mkuu na huyo mkeo ni kati ya wanawake wachache wanaojielewa na kujua thamani yao kama walezi wa familia
 
Mkuu most of them inakuwa ni ngumu sana kuachana na mzazi mwenzie moja kwa moja. Mfano mzuri mimi kabla sijaoa kuna binti nilikuwa na uhusiano naye wa kimapenzi lakini yeye alikuwa tayari ana mtoto wa miaka mitatu so wakti nakutana naye alikuwa anaishi kwa wazazi wake.

Nikaona sio vizuri kumuacha aendelee kuishi pale ikabidi nimpangie nyumba sehemu nyingine ila nilikuwa silali maana hata mimi nilikuwa na kwangu na nilikuwa naishi na mama yangu mzazi na wadogo zangu so nilikuwa sipendi maswali ya kujua nililala wapi au kuhisi ndugu yao nitabia hatarishi.

Sasa kuna siku mama na wadogo zangu walienda mkoani kutembea nikabi peke yangu pale home ikabidi nimwambie yule single mum kuwa nahitaji kwenda kulala kule ,akasema siku hiyo wifi zake yaani dada zake na yule mzazi mwenzie wamekuja kumtembelea so haitoleta picha nzuri mbele ya wale wifi zake.

Nikajiuliza kichwani inamaana hao wifi zake wanahisi ile nyumba kaka yao ndio anayelipia kodi au vipi? Nikakosa jibu ila nilikaa kimya wala sikumuhoji zaidi.

Kuna siku tena nikaona ameweka picha kwenye DP yake ya whatsapp ya huyo mzazi mwenzie na akiwa amembeba mtoto halafu mazingira ni ya pale kwenye ile nyumba akaweka na status ''PENDA SANA NYINYI ''. Ila haikudumu sana ile DP akaitoa.

Kengere ya hatari ikalia kichwani kwangu siku hiyo nikwamwambia leo nakuja kulala akasema kuna wadogo zake wapo pale nikamwambi vyumba vipo vya kutosha wao wanalala vyumba vingine na sisi tutalala kwenye chumba chetu akasema subiri nitakupigia baadae halafu ilikuwa jumamosi.

Nikasubiri simu yake mpaka saa tisa hakunipigia ikabidi nimtafute simu yake ikawa haipatikani niakamua kwenda hivyo hivyo sasa nilipofika nikamkuta yule mzazi mwenzie yupo pale amevaa vest na taulo langu. Sikuongea naye nikazama chumbani moja kwa moja jamaa akanifuata . Akaniuliza wewe vipi mbona unaingia chumbani bila mpangilio mzuri ? Nilimuuliza unajua kodi ya hii nyumba ni shilingi ngapi? akataka kupambana na mimi wala siku mkawiza nilipiga ngumi za maeneo ya kichwani tatu na wala watu hawakusikia kama kuna ugomvi maana jamaa alizimia.Nilimwambia yule single mum naomba kesho uhame au la umwambie huyu jamaa yako arudishe kodi yangu iliyosalia.

Kumbe yule jamaa na yule single mum waliachana baada ya jamaa kufulia na hakuwa na kazi hadi siku ile niliyowakuta jamaa hakuwa na maisha so mimi nilikuwa ninawalea yeye ,mke wake na mtoto wao .

Ila siku rudi tena baada ya pale na nikaapa sitopenda tena single mum labda mzazi mwenzie awe ameshafiriki ndio naweza nikamfikiria .
pole sana,Ila hili lingetokea hata kwa girlfriend tu asiye na mtoto!
 
Nielewe Mkuu,
Nilikuwa tayari nina nyumba yangu sio kwamba ninaishi kwa wazazi la hasha ila sikuwa napenda kulala nje kwanza isingekuwa mfano mzuri kwa wadogo zangu.
Halafu sikuwa napendelea kwenda lodge kwa sababu zangu binafsi.
Ila kama huo ni ujinga wacha nikubali kuwa mjinga ila nilichunga heshima yangu nyumbani kwangu maana baba ukiwavunjia heshima waliochini yako basi jua hata wao watakuvunjia heshima.
good hata mie nakuunga mkono[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Hivi hao single mothers walidondoka Kutoka mbinguni?...

Wanaume ndio mnaowazalisha mabinti kisha kuwatelekeza au kuwasaliti, kisha ninyi ndio mnaongoza kwa kuwananga humu kila uchao...

Wengine mnajisifia kabisa "Nimemzalisha lakini sitomuoa" akaolewe na nani?

Wengine mama zenu ni 'single mothers',wamewalea wenyewe baada ya baba zenu kuwasaliti, na kuna thread humu jamvini mlikuwa mnawapongeza sana mama zenu kwa bidii waliyofanya kuwalea mpaka leo 'mmekuwa watu' lakini mnawasakama mpaka mnawasababishia usumbufu wa kisaikolojia..

Kuweni na staha japo kidogo.
hawajui maisha hawa...
wanaropoka tu wakati kuna siku wataitwa mababa haya maneno yatawarudia....
 
Hivi hao single mothers walidondoka Kutoka mbinguni?...

Wanaume ndio mnaowazalisha mabinti kisha kuwatelekeza au kuwasaliti, kisha ninyi ndio mnaongoza kwa kuwananga humu kila uchao...

Wengine mnajisifia kabisa "Nimemzalisha lakini sitomuoa" akaolewe na nani?

Wengine mama zenu ni 'single mothers',wamewalea wenyewe baada ya baba zenu kuwasaliti, na kuna thread humu jamvini mlikuwa mnawapongeza sana mama zenu kwa bidii waliyofanya kuwalea mpaka leo 'mmekuwa watu' lakini mnawasakama mpaka mnawasababishia usumbufu wa kisaikolojia..

Kuweni na staha japo kidogo.
Kuwa single mother sio kosa ila inakuwa kosa pale unapokuwa single mother na ukaolewa na mtu mwingine na bado ukawa na mahusiano na yule aliyekusababishia u single mother. Na wala huu Uzi usichukuliwe kuwa ni kwa ajili ya kuwaponda single mother la hasha!
Kila jambo na wakati wake hili nalo kwa yeyote aliye single mother alichukulie kama hoja ya kisiasa kwa maana kuwa linapita tu hii stage itapita na pengine atafurahia maisha ya kimahusiano zaidi ya ambao hawakupitia stage hii. Poleni kama kuna waliowasababishia kwa makusudi hali hii. Japo inasikitisha na kuumiza kuona aliyekusababishia matatizo anakujadili na kukuchambua japo sio wote walisababisha. Wa/Tuvumilieni . Lakini wa/turuhusuni vijana kwa wakubwa wajadili wabadilishane uzoefu na wajifunze changamoto zilizopo ili hata wanapoamua kuingia kwenye majukumu hayo wawe angalau na hints. Binafsi sipendi nije kuwa single father lakini ikitokea nitakubaliana na hali .
 
Habari zenu wadau,

Leo nimejitokeza kidogo kwa Mara ya kwanza nilikuwa na swali ambalo ningependa ku share nanyi na nipate maoni yenu.

Eti ni kwanini wazazi hawapendi mtoto wao (wakiume) waoe mwanamke aliyekwisha kuwa na mtoto (single mother)
[emoji121]
WEKA PICHA FASTA HAPA MKUU.
 
Mkuu most of them inakuwa ni ngumu sana kuachana na mzazi mwenzie moja kwa moja. Mfano mzuri mimi kabla sijaoa kuna binti nilikuwa na uhusiano naye wa kimapenzi lakini yeye alikuwa tayari ana mtoto wa miaka mitatu so wakti nakutana naye alikuwa anaishi kwa wazazi wake.

Nikaona sio vizuri kumuacha aendelee kuishi pale ikabidi nimpangie nyumba sehemu nyingine ila nilikuwa silali maana hata mimi nilikuwa na kwangu na nilikuwa naishi na mama yangu mzazi na wadogo zangu so nilikuwa sipendi maswali ya kujua nililala wapi au kuhisi ndugu yao nitabia hatarishi.

Sasa kuna siku mama na wadogo zangu walienda mkoani kutembea nikabi peke yangu pale home ikabidi nimwambie yule single mum kuwa nahitaji kwenda kulala kule ,akasema siku hiyo wifi zake yaani dada zake na yule mzazi mwenzie wamekuja kumtembelea so haitoleta picha nzuri mbele ya wale wifi zake.

Nikajiuliza kichwani inamaana hao wifi zake wanahisi ile nyumba kaka yao ndio anayelipia kodi au vipi? Nikakosa jibu ila nilikaa kimya wala sikumuhoji zaidi.

Kuna siku tena nikaona ameweka picha kwenye DP yake ya whatsapp ya huyo mzazi mwenzie na akiwa amembeba mtoto halafu mazingira ni ya pale kwenye ile nyumba akaweka na status ''PENDA SANA NYINYI ''. Ila haikudumu sana ile DP akaitoa.

Kengere ya hatari ikalia kichwani kwangu siku hiyo nikwamwambia leo nakuja kulala akasema kuna wadogo zake wapo pale nikamwambi vyumba vipo vya kutosha wao wanalala vyumba vingine na sisi tutalala kwenye chumba chetu akasema subiri nitakupigia baadae halafu ilikuwa jumamosi.

Nikasubiri simu yake mpaka saa tisa hakunipigia ikabidi nimtafute simu yake ikawa haipatikani niakamua kwenda hivyo hivyo sasa nilipofika nikamkuta yule mzazi mwenzie yupo pale amevaa vest na taulo langu. Sikuongea naye nikazama chumbani moja kwa moja jamaa akanifuata . Akaniuliza wewe vipi mbona unaingia chumbani bila mpangilio mzuri ? Nilimuuliza unajua kodi ya hii nyumba ni shilingi ngapi? akataka kupambana na mimi wala siku mkawiza nilipiga ngumi za maeneo ya kichwani tatu na wala watu hawakusikia kama kuna ugomvi maana jamaa alizimia.Nilimwambia yule single mum naomba kesho uhame au la umwambie huyu jamaa yako arudishe kodi yangu iliyosalia.

Kumbe yule jamaa na yule single mum waliachana baada ya jamaa kufulia na hakuwa na kazi hadi siku ile niliyowakuta jamaa hakuwa na maisha so mimi nilikuwa ninawalea yeye ,mke wake na mtoto wao .

Ila siku rudi tena baada ya pale na nikaapa sitopenda tena single mum labda mzazi mwenzie awe ameshafiriki ndio naweza nikamfikiria .
Hii stori inahitaji muvie
 
[emoji17]
 

Attachments

  • 1473712304845.png
    1473712304845.png
    256.9 KB · Views: 39
Hivi hujui kuwa single mom analiwa kirahisi mno na mwanaume aliyemzalisha awali.

Jaribu kuoa single mom ujute.

Hapo bwana wake wa awali atakapokuwa anakuja kumsalimia mwanawena kulala kwenye nyumba yako uwe na kifua cha kuhimili.
Hakuna kitu kama hicho
 
Unajua mtu anapoingia kwenye mahusiano na mtu mwingine huwa tuna assume kuwa hakuwa na mtu japo utamkuta sio bikira na faraja huja pale kama humjui jamaa aliyekuwa akitoka naye na hivyo imani yako ya kuwa hakuwa na mtu inakuwa na nguvu. Pia pengine huwa tuna assume kuwa walishaaachana na yule aliyekuwa naye awali na hivyo atakuwa ameshamsahau completely lakini pale anapokuwa ana mtoto huyo mtoto huwa kama reference ya kuwa lazima amkumbuke tu huyo jamaa yake na hivyo taswira ya jamaa inabaki kichwani mwake siku zote. Kwa mantiki hiyo hata jamaa akija kutokea hatumii nguvu nyingi kumshawishi maana taswira ipo kichwani mda mwingi na sisi wanaume tulivyo wachokozi jamaa anaweza kuja kwa gia ya kumuangalia mwanae kumbe anatafuta kukumbushia hivyo lazima wivu na kutoamini kama wameshaachana iwepo tu.

mwanamke anayeweza kumkubalia mwanaume aliyezaa naye kisa anaangalia mtoto huyo hata ukimuoa bikra bado ni mwepesi kushawishiwa
 
Back
Top Bottom