Kwanini baadhi ya wazazi hawapendi watoto wao kuoa 'single mother'?

Kwanini baadhi ya wazazi hawapendi watoto wao kuoa 'single mother'?

Mnawaonea hawa single mama bure.
Kama mtu ana tabia yake mbaya anayo tu hata asipokuwa single mama.Kuna wanaojiheshimu na wasiojiheshimu kama ambao hawana watoto.
Shida kubwa ya wazazi ni ile hali ya kuhudumia mtoto asiyekuwa wako
 
Hivi hao single mothers walidondoka Kutoka mbinguni?...

Wanaume ndio mnaowazalisha mabinti kisha kuwatelekeza au kuwasaliti, kisha ninyi ndio mnaongoza kwa kuwananga humu kila uchao...

Wengine mnajisifia kabisa "Nimemzalisha lakini sitomuoa" akaolewe na nani?

Wengine mama zenu ni 'single mothers',wamewalea wenyewe baada ya baba zenu kuwasaliti, na kuna thread humu jamvini mlikuwa mnawapongeza sana mama zenu kwa bidii waliyofanya kuwalea mpaka leo 'mmekuwa watu' lakini mnawasakama mpaka mnawasababishia usumbufu wa kisaikolojia..

Kuweni na staha japo kidogo.
Jaman kwa upande wangu n swali tu nimeuliza nasijapotoka kiasi hicho ninawaheshimu wakinamama nimejaribu kuweka huu Uzi ili tupate kujulishana pia kutenganisha maji na mafuta ni yapi huwexi ukamsakama single mum bila kujua dark side n white or clean side nashukur watu wanafunguka na tunaelewa.
Yote ya yote asilimia 75% ya single mum reason behind is the father na haimaanishi ni wabaya la hasha takwimu xinatueleza hapa kuna watu watakao kejel kuwa hawafai kuna watu wataona ni moja ya watu muhimu sana katika maisha yao ivoo
So usifadhaike mkuu penye mamba hats kenge wapo
 
Mnawaonea hawa single mama bure.
Kama mtu ana tabia yake mbaya anayo tu hata asipokuwa single mama.Kuna wanaojiheshimu na wasiojiheshimu kama ambao hawana watoto.
Shida kubwa ya wazazi ni ile hali ya kuhudumia mtoto asiyekuwa wako
Maneno adhwimu sana feitty
Not all are the same [emoji108][emoji108]
 
Jaman kwa upande wangu n swali tu nimeuliza nasijapotoka kiasi hicho ninawaheshimu wakinamama nimejaribu kuweka huu Uzi ili tupate kujulishana pia kutenganisha maji na mafuta ni yapi huwexi ukamsakama single mum bila kujua dark side n white or clean side nashukur watu wanafunguka na tunaelewa.
Yote ya yote asilimia 75% ya single mum reason behind is the father na haimaanishi ni wabaya la hasha takwimu xinatueleza hapa kuna watu watakao kejel kuwa hawafai kuna watu wataona ni moja ya watu muhimu sana katika maisha yao ivoo
So usifadhaike mkuu penye mamba hats kenge wapo
Pamoja sana mkuu, mimi pia nimecomment generally hususan kwa wale wanao generalize kuwa all single mothers hawafai kuoa.

Be happy mkuu..
 
Hv kati ya gari screpa na mpya ip mtu anayekupenda atakuchagulia.
But sometimes mapenzi ni upofu,ukiacha yatawale maamuzi yako utajikuta umeingia kwenye commitment za ajabu sana.
Single mothers n used n in most cases cheaper.
 
mi nishapiga sana single mom wa kutosha sana usijaribu kuoa nitakupigia tu
 
Hao masingle mother mmewazalisha wenyewe na kuwakimbia, mlitaka waolewe na nani kama si kiumbe anayeitwa mwanaume. Stupid
 
hainaga makombo ,tuwajali na tuwapende tuu wao na watoto wao
 
We ni mwanaume wa ajabu sana unaona noma mwanamke kukaa kwao na kuamua kumpangia chumba wakati wewe unakaa kwenu [emoji108] [emoji108] [emoji108] yaani unabomoa boma lako kwa kwenda kujenga ghorofa la jirani [emoji23] [emoji23] waache vidume walalee atii hahahahaa bora uyo Dada alitambua mapema kuwa ana date na mwanaume anayeishi kwao kwa woga wa kuulizwa amelala wapi usiku "Naiomba serikali irudishe Jando na Unyago" hali za kufikiri kwa wanaume zinapungua kila siku

Hii serikali ya Magu ina kazi kweli kweli, hadi kurudisha unyago?
 
Back
Top Bottom