Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Mzazi unajiuliza huyu bint ameshachapwa mpaka kuzalishwa huko analadha gani tena iliyosalia atakayofaidi mwanangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una Mtoto? Au Mimi na wewe ndiyo tutafungua dimba?Kachukue soda kwa mangi
Hahaha nakusubiri wewe tufungue dimbaUna Mtoto? Au Mimi na wewe ndiyo tutafungua dimba?
Hujazaa nao hao single mom's?Kuwa uyaone na kuona ndio kuamini.
Mm binafsi simshauri mtu aoe single mother hii ni kutokana na jinsi nilivyowaona niliwahi kuwa na mahusiano na wanawake kama wawili hivi wote single mom dah! Sna hamu kabisa neno hapana kwao ni dhambi kubwa
Ko single mother hawana ladhaa duhMzazi unajiuliza huyu bint ameshachapwa mpaka kuzalishwa huko analadha gani tena iliyosalia atakayofaidi mwanangu?
Sijazaa nao nisingeweza kuwaongezea mzigo tenaHujazaa nao hao single mom's?
Hata ungekuwa umezaa tungefungua dimba. Love you more switiiHahaha nakusubiri wewe tufungue dimba
namkumbukaUshamkumbuka aliekubanjua Awali
C.c geniverosHata ungekuwa umezaa tungefungua dimba. Love you more switii
HS ujue umeshakuwa.
hahahaaha wakati unaanza kuishi nao hukua na malengo ya kuzaa nao mkuu?Sijazaa nao nisingeweza kuwaongezea mzigo tena
mambo single mother[emoji15] [emoji15] [emoji15] ,joke....Kawaulize hao wazazi
Haha haya nimeachaHS ujue umeshakuwa.
Acha mambo hayo
single mother commentWe ni mwanaume wa ajabu sana unaona noma mwanamke kukaa kwao na kuamua kumpangia chumba wakati wewe unakaa kwenu [emoji108] [emoji108] [emoji108] yaani unabomoa boma lako kwa kwenda kujenga ghorofa la jirani [emoji23] [emoji23] waache vidume walalee atii hahahahaa bora uyo Dada alitambua mapema kuwa ana date na mwanaume anayeishi kwao kwa woga wa kuulizwa amelala wapi usiku "Naiomba serikali irudishe Jando na Unyago" hali za kufikiri kwa wanaume zinapungua kila siku
Hahahahahaha wataelewa nimekupenda bure.hata aliyetoa bikra ni awali
inakuumaa au!?single mother comment