Dogo G
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,052
- 440
First to reply inaitwaHahaha, umeona no replies ikabidi uchombeze mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
First to reply inaitwaHahaha, umeona no replies ikabidi uchombeze mwenyewe.
Unaweza ukawa mjukuu wangu kijana,usichanganywe na avatar na hilo jinaWw bado mdogo halaf unataka kujifanya unajua mambo ya wakubwa
Kabisa yaanYou are right ila pia kuna wale single mothers walioachika na waume zao baada ya jamaa kugundua mkewe huyo amezaa na mtu mwingine. Baada ya muda unakuta litoto linaanza kuwa kibaka kumbe mama yake alichepuka na jambazi kwa ajili ya tamaa ya kuwa na hela. Hivyo ni rahisi sana kukuta a single mother ana hasira akifikiria future ya mtoto aliyezaa na jambazi ama muuza sembe. Matatizo mengi karibia ya 99.9% wanawake wanajitakia wenyewe kwani hawana uvumilivu.
Hakika,ndio maana huwa sishauri sana kuoa single mothersYou are right ila pia kuna wale single mothers walioachika na waume zao baada ya jamaa kugundua mkewe huyo amezaa na mtu mwingine. Baada ya muda unakuta litoto linaanza kuwa kibaka kumbe mama yake alichepuka na jambazi kwa ajili ya tamaa ya kuwa na hela. Hivyo ni rahisi sana kukuta a single mother ana hasira akifikiria future ya mtoto aliyezaa na jambazi ama muuza sembe. Matatizo mengi karibia ya 99.9% wanawake wanajitakia wenyewe kwani hawana uvumilivu.
Aliyesema anadhihaki nan? Acha upimbi weweWengine ni mama zetu,
Unapowatukana wao
Umetutukana sisi sote
Kama ni mama zetu
Basi ni wazazi wetu
Ni wazazi wako pia
Mzazi hakosei
Mtoto hamkosoi mzazi
Acha kuleta mambo ya wazazi mtandaoni
Nnadhani lengo la uzi ni kuwaasa wenye tabia hizo kubadilika.Laiti mngejua magumu ya kulea mtoto peke yako msingekuwa mnawatukana na kuwachambua kila siku ila kuwarekebisha wanapokosea hawa watu wanahitaji upendo sana wamepitia au wanapitia magumu.
NB:MIMI SI SINGLE MOM ILA NAJUA MAGUMU YA KULEA MTOTO PEKE YAKO
Kwa hiyo upo kinadhariaHapana kijana,ni mambo ambayo hua nayaona katika maisga halisi,kwann tupate shida ilhali tunayafuga wenyewe...
Nilikuwa katika mahusiano na Singlemother nilimuonesha njia zote za kumpenda na kumjali yeye pamoja na mwanae, kusema kweli hawa watu hawapendeki na jeuri hawawezi kuonesha upendo kwako. Hawa watu wanakua na matatizo ya kisaikolojia.Laiti mngejua magumu ya kulea mtoto peke yako msingekuwa mnawatukana na kuwachambua kila siku ila kuwarekebisha wanapokosea hawa watu wanahitaji upendo sana wamepitia au wanapitia magumu.
NB:MIMI SI SINGLE MOM ILA NAJUA MAGUMU YA KULEA MTOTO PEKE YAKO