Kwanini baadhi ya wazazi hawapendi watoto wao kuoa 'single mother'?

Kwanini baadhi ya wazazi hawapendi watoto wao kuoa 'single mother'?

Dogo umeandika 'Upupu'
Kwa taarifa yko tu hakuna wanawake wanaojielewa km Single Mothers. Wengi wanakuwa na akili za kimaisha. Wanajiamini sababu walisha umizwa. Akikupenda kakupenda kweli. Ni watamu balaaa..
Binafsi niko against na kuwasema kuwa wanajifanya kuwapenda watoto wao kwanza .Ni wanaume wa kizungu tu wanatuzidi kwa hilo ila wanaume wa kiafrika ni shida tunakuwa wabinafsi na hasa kama mtoto si wa kwetu ni wivu kwenda mbele
 
Matatizo siyo single mothers tu!
Usiwaonee kabisa!
Wananawake haswa mwafrika, MFUMO DUME umewaathiri vibaya sana!
Wanawake lazima tuamke kwenye fikra!
MWANAMKE ANA UWEZO MKUBWA WA KUMLEA MUME WAKE PAMOJA NA WATOTO WAKE!
TUJIAMINI, UWEZO WA HALI YA JUU TUNAO!
WANAWAKE,WE ARE CREATORS!
Mkuu kama wewe ni ke,basi ni miongoni mwa wachache hapa duniani
 
Wengine ni mama zetu,
Unapowatukana wao
Umetutukana sisi sote

Kama ni mama zetu
Basi ni wazazi wetu
Ni wazazi wako pia

Mzazi hakosei
Mtoto hamkosoi mzazi
Acha kuleta mambo ya wazazi mtandaoni
Kwa hyo unajitambulisha na ww kama ni mtoto wa single mother??
 
Wengine ni mama zetu,
Unapowatukana wao
Umetutukana sisi sote

Kama ni mama zetu
Basi ni wazazi wetu
Ni wazazi wako pia

Mzazi hakosei
Mtoto hamkosoi mzazi
Acha kuleta mambo ya wazazi mtandaoni

tena unaweza kuta hata yeye kalelewa na single mother tuwaheshimu wengine wamepitia mazingira magumu sana na kuna wengine hata hawakuwa wamepanga kwenye maisha yao lkn kumpenda mtu na kumuamini yakatokea hayo
 
Wengine ni mama zetu,
Unapowatukana wao
Umetutukana sisi sote

Kama ni mama zetu
Basi ni wazazi wetu
Ni wazazi wako pia

Mzazi hakosei
Mtoto hamkosoi mzazi
Acha kuleta mambo ya wazazi mtandaoni



100% umenena kwa usahihi
 
Nilikuwa katika mahusiano na Singlemother nilimuonesha njia zote za kumpenda na kumjali yeye pamoja na mwanae, kusema kweli hawa watu hawapendeki na jeuri hawawezi kuonesha upendo kwako. Hawa watu wanakua na matatizo ya kisaikolojia.
Kwaio mkuu ukimpenda mwanamke ni lazma nae akupende kumbuka mapenzi ni hisia so kwavile we umemuonesha kumpenda nae akupende pia no huenda hakua na hisia na wewe.....lazm ifike kipindi tuelewe kama umetokea kumpenda MTU na yeye asikupende usimlaumu nae ni MTU Sio lobot
 
Dogo umeandika 'Upupu'
Kwa taarifa yko tu hakuna wanawake wanaojielewa km Single Mothers. Wengi wanakuwa na akili za kimaisha. Wanajiamini sababu walisha umizwa. Akikupenda kakupenda kweli. Ni watamu balaaa..

Acha kukalili bwana mdogo. Eti wambea. Sjui Wachafu. Aiseee unatia kinyaaa bwana mdogo.utakuwa unawasemea Dada zako nadhani..
Uyu utakuta kakutana na mdada uko yuko ivo Ndo anajumuisha wote....
 
Ni dhahili tabia zao ni mbaya. Kwa sababu msichana mwenye maadili/dini hafanyi mapenzi kabla hajaolewa. Achilia mbali kupata mimba kabisa! Labda kama alibakwa. Hahahaaaaa najua ni ngumu lkn ndo ukweli huo
Mkuu inamana wew hujawah gegeda mwanamke mpka ulipo oa....pia uckalili maisha AO single moms mimba hawajipi wenyew kumbuka.....acha unafki
 
Tatizo ni generalisation ya topic. Huwezi kuwafagia single mothers wote, kuwazoa kwa kizoleo kimoja na wote kuwatupa jalalani.

Sababu ya wao kuwa single mothers ni nyingi, pengine walizaa kabla ya ndoa wakatoswa, waliachana au walifiwa na waume /partners wao, nk.

Kuna single mothers wamekuza watoto ambao sasa wamefanikiwa kimaisha kuliko hata wale waliotunzwa na wazazi wote wawili.

Tujitahidi ku avoid generalisation, kwani mara kwa mara tuki generalize vitu, tunaishia kuwa BIASED.

Cha maana mtoto atunzwe katika mazingira yenye upendo, apewe malazi, chakula na mahitaji yote muhimu. Mtoto huyu apewe pia elimu dunia pamoja na elimu ya kiroho, amche Mungu na ajue kwamba sisi sote tupo safarini hivyo hatuna budi tupendane, ikishindikana kupendana basi tuvumiliane.

Declaration: A happily married man for 25 years now.
 
Mkuu inamana wew hujawah gegeda mwanamke mpka ulipo oa....pia uckalili maisha AO single moms mimba hawajipi wenyew kumbuka.....acha unafki
Mkuu mi nimefanya sana. Kusema flani ana tabia mbaya haina maana kuwa mimi msafi. Hapa tunawazungumzia singo mama. Kama unataka kunisema mimi nifungulie sled ntajisema
 
Kwaio mkuu ukimpenda mwanamke ni lazma nae akupende kumbuka mapenzi ni hisia so kwavile we umemuonesha kumpenda nae akupende pia no huenda hakua na hisia na wewe.....lazm ifike kipindi tuelewe kama umetokea kumpenda MTU na yeye asikupende usimlaumu nae ni MTU Sio lobot
Sasa inakuaje unakua na mtu ambaye hana hisia na wewe ndio maana hata kwenye sex nilikua natumia nguvu nyingi kumfikisha kileleni mpaka nashangaa kumbe alikua hana hisia na mimi. Inaelekea Singlemothers hisia huondoka baada ya waliowazalisha kuondoka (KUFARIKI au KUACHANA) inabidi muishi tu kivyenu haina haja kuingia kwenye mahusiano.
 
Sasa inakuaje unakua na mtu ambaye hana hisia na wewe ndio maana hata kwenye sex nilikua natumia nguvu nyingi kumfikisha kileleni mpaka nashangaa kumbe alikua hana hisia na mimi. Inaelekea Singlemothers hisia huondoka baada ya waliowazalisha kuondoka (KUFARIKI au KUACHANA) inabidi muishi tu kivyenu haina haja kuingia kwenye mahusiano.
Ndomana uyo hakukupenda ...mwanamke akikupenda akakufeel kumfikisha kilelen n rahc sana Ata kwa kidole atakojoa....
 
95% wana matatizo. Mtoa mada hajakosea. Kwa experience yangu nimedate hawa watu nimekutana na yote yaliyoorodheshwa hapo juu. Na wengi ni walalamishi sana na kale kaugonjwa ka "Im always right" kanawasumbua sanaa.
Umeona mkuu,
 
Laiti mngejua magumu ya kulea mtoto peke yako msingekuwa mnawatukana na kuwachambua kila siku ila kuwarekebisha wanapokosea hawa watu wanahitaji upendo sana wamepitia au wanapitia magumu.
NB:MIMI SI SINGLE MOM ILA NAJUA MAGUMU YA KULEA MTOTO PEKE YAKO
Nimekupata madame,lakini umeuelewa uzi wangu kweli? Sijasema ninawadhihaki ila ni tabia hatarishi zinazopelekea waendelee kuwa single[emoji30] [emoji30]
 
Hawa watu wanakua stress sana hasa ukute mtoto anaemlea baba yake hawapendani unakuta muda wote inamjia picha ya lijamaa lake walieachana au unakuta Mimba kaipata bahati mbaya kwa tamaa zake.
Mkuu wewe ni geneous saaaana kwa kweli,Sababu hiyo ndiyo kubwa kabiiisa yaani,hawa wanawaza tu ile action ya kupewa mimba na kuachwa pia kulea mtoto lonely pasipo baba wa mtoto.dah sometimes wanaume katili sana ila yote yatalipwa kwa waliowamwaga mabinti za watu na kuwaachia hustling za kulea.mungu ni mwema.kila tendo litahukumiwa.
 
Ukiachana na origin post ya pili na ya tatu ni yako inamaaana ulikuwa hutaki mtu akae hapo au hujawai shika hizo nafasi tangia wasoma mpaka jf?????
Mkuu mbona huwa sikuelewi,mafumbo mengi sana ww.unamaanishaje?
 
Back
Top Bottom