Kwanini Balozi Mulamula alikuwa anaonekana smart sana na kuheshimika huko Ugenini?

Kwanini Balozi Mulamula alikuwa anaonekana smart sana na kuheshimika huko Ugenini?

Kama wazungu walikuwa hawamuelewi Samia kwasababu ya kuwa makamu wa Rais wa Magufuli aliyeharibu uhusiano wetu wa kimataifa, huyu mama alikuwa kiungo mzuri sana.

Kwenye mazingira kama haya kuleta habari za "collective responsibility" ni ujinga mtupu, kwani hiyo "collective responsibility" ndio iliharibu mwanzo ikashindwa kumshauri vizuri yule aliyeharibu, then unamteua anayeaminika huko nje ili akatengeneze, ajabu baadae nae unamuondoa kwasababu ya kukumbatia mawazo ya wale waliofeli!.

Huyu mama alikuwa anatengeneza connection nzuri ya kurudisha imani ya wazungu kwa Samia na serikali yake, lakini kwa kuondolewa kwake, naona Samia ataendelea kupokewa na kina Mange kila akienda US.
Siyo kazi ya watanzania kujipendekeza kwa wazungu
 
Nimeshangaa sana yeye ni kwanini alikuwa anapafa fursa hizi? Jamaa yangu mmoja yupo USA.

Anasema huyu dada alikuwa anaheshimika sana na walikuwa wanamwona very smart hata katika maongezi. Anasema ni nadra sana kwa mtu ambaye haheshimiki kuonana na akina Obama na Biden namna hii.

Kuna watu tena Marais huenda kule na kukaa hadi mwezi hawajapata nafasi hata ya kukutana na Biden kwenye korido katika meetings zake.

na magufuli nae vipi alikuwa anaheshimika ulaya!
 
Nimeshangaa sana yeye ni kwanini alikuwa anapafa fursa hizi? Jamaa yangu mmoja yupo USA.

Anasema huyu dada alikuwa anaheshimika sana na walikuwa wanamwona very smart hata katika maongezi. Anasema ni nadra sana kwa mtu ambaye haheshimiki kuonana na akina Obama na Biden namna hii.

Kuna watu tena Marais huenda kule na kukaa hadi mwezi hawajapata nafasi hata ya kukutana na Biden kwenye korido katika meetings zake.

Ukiona hivyo anauza ramani... marekani hawakupendi bure....
 
Wamrudishe Kalemani aisee, watanzania wanataka umeme wa elfu 27 tena unaopatikana muda wote.
 
Nimeshangaa sana yeye ni kwanini alikuwa anapafa fursa hizi? Jamaa yangu mmoja yupo USA.

Anasema huyu dada alikuwa anaheshimika sana na walikuwa wanamwona very smart hata katika maongezi. Anasema ni nadra sana kwa mtu ambaye haheshimiki kuonana na akina Obama na Biden namna hii.

Kuna watu tena Marais huenda kule na kukaa hadi mwezi hawajapata nafasi hata ya kukutana na Biden kwenye korido katika meetings zake.

Mbona kafupi hivyo?? Hata salama ngale ni tolu kwake...
 
Ila huyu mama binafsi nikimsikiliza akiwa anaongea sielewi anaongea nini yupo smart ila hakua na Karama ya uzungumzaji.
Kwani uwaziri ulitaka awe Smart? Alimshinda Prof Kalamaganda?
 
Nimeshangaa sana yeye ni kwanini alikuwa anapafa fursa hizi? Jamaa yangu mmoja yupo USA.

Anasema huyu dada alikuwa anaheshimika sana na walikuwa wanamwona very smart hata katika maongezi. Anasema ni nadra sana kwa mtu ambaye haheshimiki kuonana na akina Obama na Biden namna hii.

Kuna watu tena Marais huenda kule na kukaa hadi mwezi hawajapata nafasi hata ya kukutana na Biden kwenye korido katika meetings zake.

Balozi Mulamula ni "top Diplomat" na ni mtu muhimu sana na hazina kwa taifa letu.

Ushauri wangu kwake ni kubakia hukohuko US na arudi kufundisha au aandike vitabu zaidi vinavohusu diplomasia ya kimataifa.
 
Hatutaki wanasiasa walio karibu na mabeberu. Nchi hii ni nchi yenye sera ya Ujamaa na tunaongozwa na wana mapinduzi (revolutionaries).
 
Nimeshangaa sana yeye ni kwanini alikuwa anapafa fursa hizi? Jamaa yangu mmoja yupo USA.

Anasema huyu dada alikuwa anaheshimika sana na walikuwa wanamwona very smart hata katika maongezi. Anasema ni nadra sana kwa mtu ambaye haheshimiki kuonana na akina Obama na Biden namna hii.

Kuna watu tena Marais huenda kule na kukaa hadi mwezi hawajapata nafasi hata ya kukutana na Biden kwenye korido katika meetings zake.

Keshaliwa kichwa,mwambie aheshimike na Sasa basi
 
Hatutaki wanasiasa walio karibu na mabeberu. Nchi hii ni nchi yenye sera ya Ujamaa na tunaongozwa na wana mapinduzi (revolutionaries).
Ni ukaribu upi huo?

Mtu kaishi kule na ana connections lukuki na pengine urefu wa kamba yake ni ndogo sana au pengine hana kabisa.

Tatizo ni lipi?
 
Inafurahisha kuona bado Tanzania tuna hazina ya viongozi wenye weledi na wanaoheshimika kama Balozi Mulamula.

Viongozi wengi bora hawana uthubutu wa kufanya siasa chafu za Tanzania. Watu smart wapo kwenye NGOs na Private sectors na wengine ni Diaspora.
Nimejaribu kuitafakari kwa kina hii habari yako ili niielewe vizuri. Bila shaka wasomaji wengi hawataelewa ulichoandika hapa.

Lakini hii "hazina ya viongozi wenye weledi" mbona wanaliangusha taifa lao kiasi hiki? Kwa weledi wao huu, kwa nini wasijitokeze mbele sasa na kusema imetosha kwa taifa letu kufanywa kama dimbwi la walevi?

Huu weledi wao nadhani itafika mahali tuutilie mashaka.

Naomba unielewe vyema. Sikatai kwamba kuna watu 'smart' kabisa ndani ya nchi hii wasiopenda kuyumbishwa na hawa wapuuzi wanaoshika madaraka na kuyatumia visivyo. Ila nadhani kuna umuhimu sasa wa hawa watu 'smart' kusema imetosha; hatuwezi kuendelea kuiacha Tanzania ikitumiwa kama jalala.
 
U
Inafurahisha kuona bado Tanzania tuna hazina ya viongozi wenye weledi na wanaoheshimika kama Balozi Mulamula.

Viongozi wengi bora hawana uthubutu wa kufanya siasa chafu za Tanzania. Watu smart wapo kwenye NGOs na Private sectors na wengine ni Diaspora.
smart unafutwa na kuharibiwa na wizi wa hii mijitu. Nachukia wizi from basement of my heart
 
Back
Top Bottom