Kwanini Balozi Mulamula alikuwa anaonekana smart sana na kuheshimika huko Ugenini?

Kwanini Balozi Mulamula alikuwa anaonekana smart sana na kuheshimika huko Ugenini?

Labda alikuwa loyal KWA jk na sio KWA mama who knows!?

Jk ndio Rais pekee mwenye mvuto KWA US Nadhani kuliko marais wengine wote !!!

Akifanikisha ujio wa Bush,Obama hata Tony Blair mara NYINGI Sana!!

Maoni HURU haya nikichangia uchumi wa Tozo!!!
 
Ile picha ya school bus kwenda public hata mi ningemtimua
 
Kwa hiyo sisi watoa mada na wachangiaji ndo tunayajua mengi sana kuhusu uongozi husika,haya jamani sisi tupo seblen na wengine wapo kibarazani,waliopo jikoni ndo wanajua ya kuwa unga umezidi maji au maji yamezidi unga,chumvi hamna au ipo,na vipi kuhusu viungo vyengine,tutulie tu hapa tulipo tuendelee kuangalia drama na maisha mengine kwa ujumla ya watu kuuana kisa mapenzi,kisha tuletewe chakula hapo hapo tulipokaa tule tuondoke.

Na maanisha ya jikoni tuwaachie wapishi.
Hapana, mm naheshimu mawazo yako lakn sikubaliani na ww hata kdg kuhusu Mheshimiwa Balozi Liberata ,


Huyu Balozi alikua kiungo muhimu sana katika Kujenga Diplomasia ya uchumi wa Tanzania, hasa Mtangamano wa Tanzania na Mataifa makubwa Duniani, Marekani ikiwepo !! MULAMULA Ni Mwanadiplomasia na kiungo muhimu sana kwa nchi changa tena masikini kama Tanzania.
 
Nimejaribu kuitafakari kwa kina hii habari yako ili niielewe vizuri. Bila shaka wasomaji wengi hawataelewa ulichoandika hapa.

Lakini hii "hazina ya viongozi wenye weledi" mbona wanaliangusha taifa lao kiasi hiki? Kwa weledi wao huu, kwa nini wasijitokeze mbele sasa na kusema imetosha kwa taifa letu kufanywa kama dimbwi la walevi?

Huu weledi wao nadhani itafika mahali tuutilie mashaka.

Naomba unielewe vyema. Sikatai kwamba kuna watu 'smart' kabisa ndani ya nchi hii wasiopenda kuyumbishwa na hawa wapuuzi wanaoshika madaraka na kuyatumia visivyo. Ila nadhani kuna umuhimu sasa wa hawa watu 'smart' kusema imetosha; hatuwezi kuendelea kuiacha Tanzania ikitumiwa kama jalala.
Mambo mhimu hata mawili tu yenye masili ya wazi kwa taifa kutoka Mulamula yataje?
 
Pamoja na madhaifu yote ya viongozi wetu ila hata wao kuna point wakifika wanaweka maslahi ya nchi mbele ndo maana hadi leo TZ ni salama kwenye mipaka yake na hakuna shinikizo kubwa toka kwa wageni. Huyu mama inavyoonekana aliegemea kwa mabeberu zaidi. Wazungu ukiwa na maslahi nao hawana noma hata chai utaitwa kunywa nao... hiyo ndo style ya bepari.
kwahiyo ulitaka aegemee kwa waarabu wa dubai
 
Nimeshangaa sana yeye ni kwanini alikuwa anapafa fursa hizi? Jamaa yangu mmoja yupo USA.

Anasema huyu dada alikuwa anaheshimika sana na walikuwa wanamwona very smart hata katika maongezi. Anasema ni nadra sana kwa mtu ambaye haheshimiki kuonana na akina Obama na Biden namna hii.

Kuna watu tena Marais huenda kule na kukaa hadi mwezi hawajapata nafasi hata ya kukutana na Biden kwenye korido katika meetings zake.

Anaweza kuhisiwa ni wakala wa mabeberu
 
Kama wazungu walikuwa hawamuelewi Samia kwasababu ya kuwa makamu wa Rais wa Magufuli aliyeharibu uhusiano wetu wa kimataifa, huyu mama alikuwa kiungo mzuri sana.

Kwenye mazingira kama haya kuleta habari za "collective responsibility" ni ujinga mtupu, kwani hiyo "collective responsibility" ndio iliharibu mwanzo ikashindwa kumshauri vizuri yule aliyeharibu, then unamteua anayeaminika huko nje ili akatengeneze, ajabu baadae nae unamuondoa kwasababu ya kukumbatia mawazo ya wale waliofeli!.

Huyu mama alikuwa anatengeneza connection nzuri ya kurudisha imani ya wazungu kwa Samia na serikali yake, lakini kwa kuondolewa kwake, naona Samia ataendelea kupokewa na kina Mange kila akienda US.
Imani ya wazungu kwa Samia?

Aisee mtu mweusi sijui anakwama wapi. Kwa akili hizi wallahi waafrika hatutoboi. We ndugu yangu wazungu ni watu wa kawaida kama mimi na wewe, Samia haitaji kufanya chochote kurudisha imani au kupoteza imani ya wazungu. Samia anawajibika tu kwa familia yake na kwa watanzania pekee.
 
Kwa hiyo sisi watoa mada na wachangiaji ndo tunayajua mengi sana kuhusu uongozi husika,haya jamani sisi tupo seblen na wengine wapo kibarazani,waliopo jikoni ndo wanajua ya kuwa unga umezidi maji au maji yamezidi unga,chumvi hamna au ipo,na vipi kuhusu viungo vyengine,tutulie tu hapa tulipo tuendelee kuangalia drama na maisha mengine kwa ujumla ya watu kuuana kisa mapenzi,kisha tuletewe chakula hapo hapo tulipokaa tule tuondoke.

Na maanisha ya jikoni tuwaachie wapishi.
Akili za mtanzania mnyonge hizi!
 
Kabisa hata interview zake ukisikiliza huelewi kitu
Hutaelewa nini na akili hauna!! Utamuelewa kweli mtu mwenye PhD kwa elimu yako ya mang'amung'amu!? Mtu amekuwa balozi wa Tanzania kwenye umoja wa mataifa,amekuwa mwanadiplomasia nchi zaidi ya miaka 30!

Wewe umewahi kuwa nani nchi hii? Zaidi ya kujaza mavi kwenye choo cha nyumbani kwenu,hata kijijini kwenu umeshindwa kujenga choo!utajilinganisha na Mulamula kweli? Mkishiba makande na parachichi mnakuwaga na mbwembwe na confidence za kibwege.
 
Back
Top Bottom