Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!Kuna watu tena Marais huenda kule na kukaa hadi mwezi hawajapata nafasi hata ya kukutana na Biden kwenye korido katika meetings zake.
Taasisi kubwa ambayo haijapewa hadhi yake...inajiendea tuHebu futa takataka yako, unaelewa hata unachoandika? Hebu acheni mafumbo ya kipumbavu, Rais ni Taasisi kubwa, tuipe heshima.
Ni ramani gani ambayo haiko uchi kwa USA?Ukiona hivyo anauza ramani... marekani hawakupendi bure....
Kwa hiyo na wewe ni oil chafu sio?Inafurahisha kuona bado Tanzania tuna hazina ya viongozi wenye weledi na wanaoheshimika kama Balozi Mulamula.
Viongozi wengi bora hawana uthubutu wa kufanya siasa chafu za Tanzania. Watu smart wapo kwenye NGOs na Private sectors na wengine ni Diaspora.
Nasubiri picha atakazopiga na Biden na Obama na Trump baada ya leo ili tuone kama alikuwa akiheshimika yeye au cheo chake au Tanzania?
After 9/11 attacks, office ya Rais huko Marekani walikuja kugundua kuwa kuivamia Iraq mwaka 2003 was an Intelligence Failure. Hivyo, hao waliopo huko ofisi ya Rais nao pia ni watu na wanaweza kufanya vema au vibaya.Hebu futa takataka yako, unaelewa hata unachoandika? Hebu acheni mafumbo ya kipumbavu, Rais ni Taasisi kubwa, tuipe heshima.
Kwamba mulamula alienda against first law of power.never outshine your master [emoji16][emoji16]Unaenda mbele kuliko boss
Kuna watu tena Marais huenda kule na kukaa hadi mwezi hawajapata nafasi
Sawa mkuu ila sio PhD inayoongea ni Mulamula anaongea na kuongea sio moja ya kipaji chake. Yes ana elimu nzuri, exposure na kichwani yupo smart.Hutaelewa nini na akili hauna!! Utamuelewa kweli mtu mwenye PhD kwa elimu yako ya mang'amung'amu!? Mtu amekuwa balozi wa Tanzania kwenye umoja wa mataifa,amekuwa mwanadiplomasia nchi zaidi ya miaka 30!
Wewe umewahi kuwa nani nchi hii? Zaidi ya kujaza mavi kwenye choo cha nyumbani kwenu,hata kijijini kwenu umeshindwa kujenga choo!utajilinganisha na Mulamula kweli? Mkishiba makande na parachichi mnakuwaga na mbwembwe na confidence za kibwege.
Acha ujuha na utumwaKama wazungu walikuwa hawamuelewi Samia kwasababu ya kuwa makamu wa Rais wa Magufuli aliyeharibu uhusiano wetu wa kimataifa, huyu mama alikuwa kiungo mzuri sana.
Kwenye mazingira kama haya kuleta habari za "collective responsibility" ni ujinga mtupu, kwani hiyo "collective responsibility" ndio iliharibu mwanzo ikashindwa kumshauri vizuri yule aliyeharibu, then unamteua anayeaminika huko nje ili akatengeneze, ajabu baadae nae unamuondoa kwasababu ya kukumbatia mawazo ya wale waliofeli!.
Huyu mama alikuwa anatengeneza connection nzuri ya kurudisha imani ya wazungu kwa Samia na serikali yake, lakini kwa kuondolewa kwake, naona Samia ataendelea kupokewa na kina Mange kila akienda US.
Well, huyo mama simjui na kama ana sifa nzuri tu za kiutendaji na bado akatumbuliwa na mteuzi wake basi naichukulia kwamba huyo mteuzi wake hakuridhika naye aidha kikazi au kibinafsi.Kwa taarifa yako
Hizo Picha na Obama huyo Mama Mula Mula na familia yake wamepiga kitambo, Hawakupiga Picha kwa sababu ya cheo chake cha uwaziri hatujui amekosea wapi Akatumbuliwa Mh Raisi anafahamu zaidi
Ni Mama muungwana sana hasie na majivuno
Alikua ni balozi wa Tanzania na uhusiano wake ulikua ni mzuri na viongozi wa Marekani
mkuu hii kuna uwezekano mkubwa ni kwamba ufupi unavhangiwa na Lishe duni kuna watu nawafahamu ni wafupi na familia wanazotokea najua ni duni
Uwii kumbe? Nilikua sijamuelewaHebu futa takataka yako, unaelewa hata unachoandika? Hebu acheni mafumbo ya kipumbavu, Rais ni Taasisi kubwa, tuipe heshima.