Kwanini Balozi Mulamula alikuwa anaonekana smart sana na kuheshimika huko Ugenini?

Kwanini Balozi Mulamula alikuwa anaonekana smart sana na kuheshimika huko Ugenini?

mkuu hii kuna uwezekano mkubwa ni kwamba ufupi unavhangiwa na Lishe duni kuna watu nawafahamu ni wafupi na familia wanazotokea najua ni duni
 
Kwa sababu alikua na cheo cha serikali tu
 
Inafurahisha kuona bado Tanzania tuna hazina ya viongozi wenye weledi na wanaoheshimika kama Balozi Mulamula.

Viongozi wengi bora hawana uthubutu wa kufanya siasa chafu za Tanzania. Watu smart wapo kwenye NGOs na Private sectors na wengine ni Diaspora.
Kwa hiyo na wewe ni oil chafu sio?
Maana unafanya siasa hapa!
 
Huyu mama atakuwa ameishatumika sana kama kibaraka wao.
Ni kwamba imefikia mahali sasa ameshitukiwa....hakuna jipya hapo.

Kina MIGA tunao wengi sana nchi hii.
 
Nasubiri picha atakazopiga na Biden na Obama na Trump baada ya leo ili tuone kama alikuwa akiheshimika yeye au cheo chake au Tanzania?

Kwa taarifa yako
Hizo Picha na Obama huyo Mama Mula Mula na familia yake wamepiga kitambo, Hawakupiga Picha kwa sababu ya cheo chake cha uwaziri hatujui amekosea wapi Akatumbuliwa Mh Raisi anafahamu zaidi
Ni Mama muungwana sana hasie na majivuno
Alikua ni balozi wa Tanzania na uhusiano wake ulikua ni mzuri na viongozi wa Marekani
 

Attachments

  • 3B1420AF-1911-45CA-AA0E-831CF3F8C1B2.jpeg
    3B1420AF-1911-45CA-AA0E-831CF3F8C1B2.jpeg
    339.7 KB · Views: 6
Hebu futa takataka yako, unaelewa hata unachoandika? Hebu acheni mafumbo ya kipumbavu, Rais ni Taasisi kubwa, tuipe heshima.
After 9/11 attacks, office ya Rais huko Marekani walikuja kugundua kuwa kuivamia Iraq mwaka 2003 was an Intelligence Failure. Hivyo, hao waliopo huko ofisi ya Rais nao pia ni watu na wanaweza kufanya vema au vibaya.
 
Kuna watu tena Marais huenda kule na kukaa hadi mwezi hawajapata nafasi

Pia wakubwa wengi waliomuwakilisha mkuu hawakupata nafasi hiyo

22 September 2022
Tanzania’s Vice President on Thursday addressed the 77th session of the United Nations General Assembly in New York.

 
Tanzania yatengwa kwa kuwa hakuna demokrasia.

Soma zaidi mwaliko wa Rais Joseph Biden Jr alivyo wanyima mwaliko nchi zenye tawala gandamizi:
Bofya / click hapa :
Biden invited 110 Countries - Summit for Democracy, Tanzania mpya haimo!
09 December 2021 Why is the US President hosting a global summit on democracy? | Inside Story The United States portrays itself as one of the world's greatest democracies. But President Joe Biden says democracy is under siege from authoritarian regimes, so he is holding a virtual summit to...
Dec 10, 2021 Forum: Jukwaa la Siasa
 
Hutaelewa nini na akili hauna!! Utamuelewa kweli mtu mwenye PhD kwa elimu yako ya mang'amung'amu!? Mtu amekuwa balozi wa Tanzania kwenye umoja wa mataifa,amekuwa mwanadiplomasia nchi zaidi ya miaka 30!

Wewe umewahi kuwa nani nchi hii? Zaidi ya kujaza mavi kwenye choo cha nyumbani kwenu,hata kijijini kwenu umeshindwa kujenga choo!utajilinganisha na Mulamula kweli? Mkishiba makande na parachichi mnakuwaga na mbwembwe na confidence za kibwege.
Sawa mkuu ila sio PhD inayoongea ni Mulamula anaongea na kuongea sio moja ya kipaji chake. Yes ana elimu nzuri, exposure na kichwani yupo smart.

Haihitaji PhD kua mzungumzaji mzuri Mbuzi wewe.
 
Kama wazungu walikuwa hawamuelewi Samia kwasababu ya kuwa makamu wa Rais wa Magufuli aliyeharibu uhusiano wetu wa kimataifa, huyu mama alikuwa kiungo mzuri sana.

Kwenye mazingira kama haya kuleta habari za "collective responsibility" ni ujinga mtupu, kwani hiyo "collective responsibility" ndio iliharibu mwanzo ikashindwa kumshauri vizuri yule aliyeharibu, then unamteua anayeaminika huko nje ili akatengeneze, ajabu baadae nae unamuondoa kwasababu ya kukumbatia mawazo ya wale waliofeli!.

Huyu mama alikuwa anatengeneza connection nzuri ya kurudisha imani ya wazungu kwa Samia na serikali yake, lakini kwa kuondolewa kwake, naona Samia ataendelea kupokewa na kina Mange kila akienda US.
Acha ujuha na utumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa yako
Hizo Picha na Obama huyo Mama Mula Mula na familia yake wamepiga kitambo, Hawakupiga Picha kwa sababu ya cheo chake cha uwaziri hatujui amekosea wapi Akatumbuliwa Mh Raisi anafahamu zaidi
Ni Mama muungwana sana hasie na majivuno
Alikua ni balozi wa Tanzania na uhusiano wake ulikua ni mzuri na viongozi wa Marekani
Well, huyo mama simjui na kama ana sifa nzuri tu za kiutendaji na bado akatumbuliwa na mteuzi wake basi naichukulia kwamba huyo mteuzi wake hakuridhika naye aidha kikazi au kibinafsi.

Ila miongoni mwa sifa zake za kuimba hapa haiwezi kuwa eti kwa vile anajulikana na marais wa Marekani. Moja, kuwa na ukaribu sana na Marekani haimaanishi kwamba huko ndio kutetea maslahi ya nchi. Watu wengi walio close na Marekani wengi ni maagents tu wa ubeberu. Pili, picha na viongozi wa marekani inadhihirisha jambo moja tu, opportunism ya kujifanya connected. Ni ujanja ujanja tu wa mjini wa kutafuta fursa za kuonekana upo connected. Connection zinaweza kuwa zimemsaidia huyo mama Mulamula kwenye mambo yake binafsi lakini sisi kama nchi ya Tanzania we dont care anymore about personal glories.
 
mkuu hii kuna uwezekano mkubwa ni kwamba ufupi unavhangiwa na Lishe duni kuna watu nawafahamu ni wafupi na familia wanazotokea najua ni duni

Siyo kweli, Wajapani na Wakorea wote (karibia) ni wafupi na miili midogo, lkn Japan ni nchi ya pili kwa uchumi mkubwa Duniani, isitoshe Mwanamke kuna mfupi ni kawaida, ni biology kwamba Wanawake ni wafupi na wadogo kimaumbo kuliko Wanaume!
 
Back
Top Bottom