Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

Point! Tatizo ni wabinafsi sana wao kazi wakisha pata faida basi hawaja na haja zetu!
 
Kuna kimoja nienda cha NMB da nilishia nje, ikabidi nijibane kwenye mti nikojoe.
 
Hilo nalo neno Bank zote wasipuuze kuna ukweli ndani yake.
 
Hakuna vyoo wanapiga hivi.

Tukiwaaingiza na choo si watapiga benki nzima.
 
akuna vyoo wanapiga hivi

tukiwaaingiza na choo si watapiga benki nzima

Ni kweli kupigwa inaweza kuwa rahisi kama watu wenye nia mbaya wakiamua kufanya hivyo.

Mtazamo wangu ni kwamba kuweka vyoo inawezekena ila swala la usalama itabidi lipewe kipaumbele. ..Waweke screening machines kukagua wateja ili watu wasiingie na vitu hatarishi kama mabomu nk.
 
Ni kweli kupigwa inaweza kuwa rahisi kama watu wenye nia mbaya wakiamua kufanya hivyo.

Mtazamo wangu ni kwamba kuweka vyoo inawezekena ila swala la usalama itabidi lipewe kipaumbele. Waweke screening machines kukagua wateja ili watu wasiingie na vitu hatarishi kama mabomu nk.

Huyo atakayekuwa anaangalia kwenye screen ni balaa. Kuna baadhi ya bank screen zao zinaonekana yani mtu kaingia toi tuone kazi hazitafanyika mkuu acha kabisa
 
Moja kat ya BOT inspection before bank haijapewa go ahead kuanza operation ni public toilet kwa ajir ya wateja.

Ni kwel baadhi ya majengo zimejificha ila ukiwauliza walinz wanakuonyesha, kuhusu folen NMB CRDB nsha hama cku nyiiingiii bank ka Exim mpango mzima staff vijana wako sharp n smart brand yao nzur sana kwa kwel hamien huku q management system wanazo pia!
 
Bank zote duniani hazina vyoo unataka ukajifiche chooni uibe bank? Hapa nilipo kuna benki kubwa ya HSBC na haina choo ukitaka unaomba msaada wa choo cha staff lakini vya wateja ni hatari kwa benki unataka muende mkawaibie baadae?
 
huyo atakayekuwa anaangalia kwenye screen ni balaa .. kuna baadhi ya bank screen zao zinaonekana yani mtu kaingia toi tuone kazi hazitafanyika mkuu acha kabisa

Ha ha ha ha

Itabidi uwekwe kwenye entrance sio vyooni. Wakifunga camera vyooni mbona itakuwa majanga. ...
 
Ha ha ha ha

Itabidi uwekwe kwenye entrance sio vyooni. ..Wakifunga camera vyooni mbona itakuwa majanga. ...

Kama kuna mkaka nampenda namtega nikiwa chooni wengekoma navaa kama navua navua kama navaa elimradi fujo tu
 
wanasema ukienda benki uwe na hja moja tu ya hela basi nyingine ziache nje.... pia vyoo vinaweza kutumika kufanyia matukio

Kweli kabisa, labda viwe mbali kidogo, nje ya Bank, vikiwa karibu na Bank, wazee wa kazi wataanza kujikoki vizuri humo, wakitoka, patachimbika noma!
 
Moja kat ya BOT inspection b4 bank haijapewa go ahead kuanza operation ni public toilet kwa ajir ya wateja ni kwel baadhi ya majengo zimejificha ila ukiwauliza walinz wanakuonyesha, kuhusu folen NMB CRDB nsha hama cku nyiiingiii bank ka Exim mpango mzima staff vijana wako sharp n smart brand yao nzur sana kwa kwel hamien huku q management system wanazo pia!
Safi sana..karibu Exim mkuu tupo pamoja
 
hata mimi huwa najiuliza kwa nini bank huwa hakuna vyoo
 
Nahisi pale City Bank ya DSM mteja anapata huduma ya choo akihitaji, utamu uko wakati wa kuingia kuna kasheshe la kupekuliwa haswaa.
 
Habari wakuu? Katka matumizi yangu ya benki mbalimbali nmegundua kwamba mabenki hayana vyoo vya wateja na ukizingatia kwamba baadhi ya benki zina foleni znazoweza kumfanya mteja asubiri hata zaidi ya lisaa limoja, je ni 7bu za kiusalama au kimazingira?kuna cku nlimshuhudia dada aliyebanwa na haja benk akikamatwa na polisi kisa ameenda chooni....karibuni kwa hoja.

Kweli hii hoja ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom