Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

mjumbe yk tofauti..!!akari tshng ngp unaweka au kuchukua.mbona mgahawani unatumia pesa kidogo na kuna huduma hiyo?UKWELI KUNA HAJA YA KUWEKA HUDIMA HYO.
 
Bank zamani hazikuhitaji huduma ya vyo kwa wateja, kwa sasa ni lazima. Huduma ndani ya benki zetu siku hizi huchukua muda mrefu, wakati mwingine hata saa 8! NMB, CRDB hapa tabora ni mifano hai ya foleni ndefu kupindukia. Si vyoo tu, kwa foleni hizi hata migahawa na grocery ni mahali pake!
 
mimi ninauliza swali juu ya swali HIVI KWANINI BANKS NYINGI USIKU TAA HAZIZIMWI??? Lazima taa ziwake through out the night nazungumzia zile za ndani.
 
That is the main point. Service should be pretty quick. And why should one que inside the bank when an ATM outside will serve the purpose? A solution should also be found for people depositing school fees especially in January.

withdrawal(amount) limit from ATM`s..our banking systems face challenges across many dimensions.the pace for technological revolution of retail banking is still unconvincing.however the future is promising, following high increase of new commercial banks offering better services at competitive packages...
 
Vyoo vipo ila kwa ajili ya wafanyakazi wa pale tu. Wateja hawaruhusiwi kutumia kwa sababu za ki usalama.
 
Bank zamani hazikuhitaji huduma ya vyo kwa wateja, kwa sasa ni lazima. Huduma ndani ya benki zetu siku hizi huchukua muda mrefu, wakati mwingine hata saa 8! NMB, CRDB hapa tabora ni mifano hai ya foleni ndefu kupindukia. Si vyoo tu, kwa foleni hizi hata migahawa na grocery ni mahali pake!

Kwa kweli ATM ya NMB Tabora ina taabu. Kuna siku nilikuwa huko mpaka saa tano usiku foleni imeshona, ikabidi nihamishe pesa kwa NMB MOBILE ziende MPESA ndio nizitoe
 
Mwingine anaweza kusema benki na mahali pa kuweka/kuchukua fedha na sio kuweka nanii......
 
Habari wakuu? Katika matumizi yangu ya benki mbalimbali, nimegundua kwamba mabenki hayana vyoo vya wateja na ukizingatia kwamba baadhi ya benki zina foleni znazoweza kumfanya mteja asubiri hata zaidi ya lisaa limoja.

Je ni sababu za kiusalama au kimazingira? Kuna siku nilimshuhudia dada aliyebanwa na haja benki akikamatwa na polisi kisa ameenda chooni.

Karibuni kwa hoja.
Benki pesa tu! Kunya kwenu. Tukikuwekea choo then utadai mgahawa na baa.
 
withdrawal(amount) limit from ATM`s..our banking systems face challenges across many dimensions.the pace for technological revolution of retail banking is still unconvincing.however the future is promising, following high increase of new commercial banks offering better services at competitive packages...

I agree with you Tyta but most of withdraws are likely to be less than 1 million! If only those withdrawing more than 1 million went inside, there will be less ques. Things are improving and let us hope people start paying school fees using mpesa/tigopesa/airtel money etc. Another possibility is trying to move from the cash economy to using bank cards especially in big towns at least. Here, there are huge challenges!
 
Unaingia Benki halafu unabanwa na haja, hakuna choo, inabidi usamehe foleni, unasepa..

Kwanini hakuna vyoo? Kwamba hawawajali wateja au haimo kwenye requirements za BOT for one to qualify for a desired facility?

Ni hilo tu kwa leo.. Kama unafahamu sababu tuambie.
 
Kiukweli huduma ya choo ni muhimu pia. Hebu angalia foleni ya NMB au CRDB halafu choo hakuna hawaoni kuwa inaleta usumbufu kwa wateja?
Ila nafikiri walihofia watu watakuwa wanapangaia matukio ya kiharifu chooni kwa kuwa sio jambo la busara kuweka cctv camera maliwatoni.
 
Back
Top Bottom