Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanyakazi kuna vyoo vyao mle ndani.Swali zuri sana.
Pia wao wafanyakazi huwa wanatimiza haja zao wapi kama hizo sehemu za kutimizia haja hazipo?
Vyoo vya wafanyakazi lazima vitakuwepo ila kwa wateja nafikiri hadi uombe na unaweza hata kusachiwa na wanausalama ili wajiridhishe kuwa huwezi kuleta madhara.Swali zuri sana.
Pia wao wafanyakazi huwa wanatimiza haja zao wapi kama hizo sehemu za kutimizia haja hazipo?
AhahahahahaKwani shule unaenda kusoma au kukata gogo ama kukojoa
Wafanyakazi kuna vyoo vyao mle ndani.
Kama wanahofia suala la usalama, ni bora waangalie namna ambayo wataweza kutoa huduma hiyo hata kwa kusachi kabla mtu hujaingia sehemu ya haja.Vyoo vya wafanyakazi lazima vitakuwepo ila kwa wateja nafikiri hadi uombe na unaweza hata kusachiwa na wanausalama ili wajiridhishe kuwa huwezi kuleta madhara.
Ulimuulizaa cha watejaa kilipo?Kuna benki fulani jina nalihifadhi ina choo, niliingia moja nilipotoka meneja akaniambia sio cha wateja!
Wala sikujali, nikibanwa siku ingine naingia.Ulimuulizaa cha watejaa kilipo?
Hujawahi kupata tumbo la kuhara sehemu nyeti kama hizo halafu ukakumbana na ukosefu wa huduma kama hiyo?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hacha niongeze siku za kuishiBank unaenda kuweka/ kuchukua hela au kukata gogo?
Kwani shule unaenda kusoma au kukata gogo ama kukojoa