MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,240
Tatizo la watanzania bwana ni moja, Yani unataka wakuhifadhie Fedha yako hadi mavi yako uwaachie tena, haiwezekani, Leta hela tu Ila VIMA peleka stand.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtufikirie na sisi wateja wenu tunaopatwa na tumbo la kuhara bila kutarajiaZipo Ila ni maalmu kwa sisi staff tu.
Hii hoja ni nzuri lakini naona watu wanaifanyia mzaha, sio vizuri usubiri hadi upate tatizo ndio ujue umuhimu wa kituHuyu anaesema unaenda kuweka hela au kutoa na sio kukata gogo anakosea kwani Haja kubwa au ndogo hazina taarifa we vip
Kasome vizuri nilichoandika. Halafu kukusaidia tu kuna Banks ni ndogo kuna glass partition, ningekutajia jina la benki ili ujue ofisi ya meneja ilipo na choo kilipo lakini sidhani kama ni busara.Meneja alikuwa huko chooni badala ya kuwahudumia wateja?
Hiyo itakua benki ya Manzese au VingungutiUlimuulizaa cha watejaa kilipo?
We dada hujielewi ..yeye sio binadamu ?Kwani shule unaenda kusoma au kukata gogo ama kukojoa
Yah..... Sijaona kabisa hiyo kitu kwa ajili ya wateja!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna benki fulani jina nalihifadhi ina choo, niliingia moja nilipotoka meneja akaniambia sio cha wateja!
[emoji23] [emoji23]Kila benki branch ina choo karibu. Ila Finca unakoweka pesa zako nina wasiwasi hakuna vyoo
Hamna bana mbona tra wana huduma ya vyoo kwa eateja wao na ni visafi tuuWewe Bank umeenda kupata huduma ya choo au kutoa na kuweka hela..!??? Na vilee Bank zipo Mjini watuu watakua wanaend tu kujisaidia hata kama hawahitaji huduma za Kibank... na vitakua Vichafu sanaaaa yani sanaa...maana watu ustaarabu zerooo