Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

Ni hilo tu kwa leo...kama unafahamu sababu tuambie ,unaingia mle gogo likibana unasamehe foleni unasepa...kwamba hawawajali wateja? ...ni nini...au haimo kwenye requirements za BOT for one to qualify for a desired facility...
Aisee we ndugu nimekupenda bure!! Swali fikirishi na la msingi ila tunachukulia for granted tu. Kama stendi, kanisani, sokoni, hospitalini, shuleni n.k. kuna vyoo, kwa nini benki hazitujengei vyoo sie wateja wakati tunakaaga humo benki sometimes for hours? Na mie nasubiri majibu aisee...
 
Ni hilo tu kwa leo...kama unafahamu sababu tuambie ,unaingia mle gogo likibana unasamehe foleni unasepa...kwamba hawawajali wateja? ...ni nini...au haimo kwenye requirements za BOT for one to qualify for a desired facility...
Ujambazi utashamiri, watu watakuwa wakijipanga chooni kufanya uharifu
 
Nadhani ni kwa sababu 2,but moja ndiyo ya msingi zaidi
1.usalama
2.mazoea(watu wengi wanaoenda benki toka karne na karne ni walio bize sanaa,ni kufika fasta na kusepa)
 
Benki zote zina vyoo only kwaajili ya staff, vyoo vya customers ni aghalabu sana kuvikuta.
 
hahaaaa
kuna bank moja hapa jina kapuni hapa Kimara mwisho pia kuna office za TRA ktk hilo jengo ...
mbona wana huduma ya choo pia kwa wateja wao
 
Air condition inawatosha mkitaka vyoo nendeni stand za mkoa mkajisaidie ndio mje kwenye bank zetu...


Kwanza vyuma vimekaza tuna mpango wa kuzitoa AC zote tuwafungie feni za Dolphin
 
Mkuu hawaweki vyoo kwa sababu za kiusalama.
nikweli usemacho kabisaa sipingi hoja...ila pale katk lile jengo kuna office tofauti tofaut ..so huwa wanatumia vyoo vya nje nyuma ya jengo..nasio kutumia vyoo vyao vya ndani...nop.
 
Bank unaenda kuweka/ kuchukua hela au kukata gogo?
Kwa maelezo yako mkuu ni kwamba kuna sehemu maalum ya vyoo kwamba watu wanatoka wanakotoka ili kufuata vyoo ambavyo viko sehem maalum
Ila sehemu nyingine kama mashuleni, makanisani misikitini nk hakupaswi kuwa na vyoo kwa kuwa watu hawafuati vyoo huko!!!! au sio???
Jibu lako inabidi liwe ni NDIO!!
Ili tuwe tumekuelewa ulichosema hapo juu
 
Sasa ngoja niwaambie,kila bank ina choo cha wateja na huwa nyuma kabisa ya jengo.Hawaviweki ktk mazingira ya wazi kiviile kwaajili ya usalama.Ukitaka tumia omba askari watakuonesha tu,na utatumia.
Niliwahi banwa CRDB Tabora aisee tumbo ni heshima. Niliomba bila kuogopa nikapelekwa daa visafiiii,Na huwezi jua kuwa ni choo kilipowekwa
 
Back
Top Bottom