Hahaha!!haya ni majibu mujaraabu kabsaaKwasababu Binadamu ni Mamalia. Ukitaka Atage ni sawa na Tembo nae Atage ushawaza Yai la Tembo litakuwaje na ataliatamiaje kulipa Joto mpaka litotoe?
Pia kumbuka, viumbe wanaotaga hawatagi Yai 1 ni Mayai. Sasa uwe unafikiria cha kuandika humu ndugu.
Hata ya mamba yanatamiwa sidhani kama yatakaa sehemu ya wazi halafu apate vifaranga, anafukia shimoni ndiko kutamia kwenyewe.Siyo mpaka aatamie. Mamba haatamii. Tungekuwa tunataga ile kazi ya kuijaza dunia ingeshakamilika. Ila najiuliza iwapo kuna social animals ambao wanataga, wapo?
hivi dinosaurs wanazaa au wanataga?.Kwa mtazamo
Hapa unapoint. Lakini kulikuwa na ndege wakubwa kama Elephant birds au huyu mbuni. Mayai yao makubwa na magumu kama mawe. Kwangu naona yanaoffer protection nzuri kuliko mjamzito asiyeweza kujilinda wala kukimbia.
Je namna ya kuzaliwa inaathiri bond ya mama na mtoto?
Bila shaka mayai ya kware ukiyachanganya na mayai ya kuku yatahatamiwa na kutotolewa,je kati ya vifaranga wa kware na kuku kutakuwa na social bond?Yeeeh inaathiri,, release ya oxytocin hormone during pregnancy ni muhimu for any social bonding,,
Sio mtazamo hiyo ni explanation ya kisayansi
Mkuu mwisho wa yote hayo mayai yangekaangiwa na chipsi halafu ingeleta hekahekaEti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa! Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
Kufukia siyo kuatamia.Hata ya mamba yanatamiwa sidhani kama yatakaa sehemu ya wazi halafu apate vifaranga, anafukia shimoni ndiko kutamia kwenyewe.
Walikuwa wanataga. Maana inasemwa hawa ndege wa leo ni mabaki ya Dinosaurs.hivi dinosaurs wanazaa au wanataga?.
Kwanini binadamu hawatagi mayai? Zipi faida za kuzaa dhidi ya kutaga?Kinacho tupambanua wanaadamu ni akili tulizopewa, sasa ajabu ni pale mwanaadamu anaposhindwa kuona umbile bora alilopewa na namna bora ya namna anavyopatika.
Na kuanza kuona ni bora angekuwa anapatikana kama wanavyopatikana ndege!! Unamkufuru muumba wako.
Kama hoja ni kuwa kwa kutaga basi mama hatopata taabu kama anazozipata anapo beba mimba na kuzaa basi hujafikiria mara mbili, maana hoja yako ni ya kijinga.
Hahaaaa. Wangeshtakiwa kwa murder.Yangekuwa makubwa sana, kuna mamtu yangekuwa yanachemsha au kuyakaanga kunywea chai
Nini faida ya kuzaa dhidi ya kutaga?Mume wa mtu huyo 🤣🤣🤣🤣
Hapo hakuna kitu rahisi ndg yangu..Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa! Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
Kwa sababu aliyetuumba ndiye amekadiria hivyo.Kwanini binadamu hawatagi mayai? Zipi faida za kuzaa dhidi ya kutaga?