Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo akitoa haja kubwa sio mwisho mwema mdauNdo maana tunakumbushwa mara nyingi kuomba mwisho mwema
Aisee kabisaNdo maana tunakumbushwa mara nyingi kuomba mwisho mwema
Duh! Yaani mke kagongewa na pua kazibwa?Fanya Experiment ya kumziba pua mbwa au paka Moja Kwa moja utaona akitoa nnya.Jamaa Fulani alifumania wahuni wakamziba pua mpaka akanya wakamuachia.Akazinduka baada ya nusu saa
...Ndio Nasikia kutoka Kwako kwamba Binadamu akitaka Kufa lazima atoe Haja kubwa! Elimu Haina Mwisho!Nangoja kwa hamu sana kusoma maoni yenu ya kitaalamu enyi wajuvi wa JamiiForums, kwani nimedokezwa tendo la mwanadamu kujisaidia haja kubwa Wazaramo wanasema kuukweka) pale tu akikata roho ni la kisayansi zaidi. Hivyo nitafurahi nikielimishwa juu ya hili.
Kuna Mpuuzi Mmoja anajifanya ni Daktari na Mtu wa Mortuary anabisha kuwa hakuna Binadamu anajisaidia ( anayeukweka ) pale tu akifa wakati ukweli ni kwamba sote tukifa ni lazima tu tutawapa Adhabu watakaotusafisha baada ya Kujisaidia( Kuukweka ) Kwetu.USIOMBE KIFO UTAJISAIDIA
Hii kitu ipo wakuu mtulize tuliofanya meditation za kutoka nje ya mwili tukanusurika kifo kwa kuacha kubwa na ndogo sio unajisaidia punj ya mbuz ni gog la ng'ombe t.
Jiandae Kujisaidia ( Kuukweka ) Ukifa Ok?...Ndio Nasikia kutoka Kwako kwamba Binadamu akitaka Kufa lazima atoe Haja kubwa! Elimu Haina Mwisho!
Unauliza Adhabu Kali MP1 Lugalo Makongo?Kifo co mchezo unajua...ila unataka kuniambia ata mshkaj wetu wa kanda ya ziwa aliacha mzgo hahahaha hautakuwa serious mzee
Kabisa mkuu, na huu ndio ukweli.Kazi yangu inahusika sana na last moments za ndugu nzetu, naomba nikuambie hii haina ukweli wowote.
Inatokeaga ila siyo kweli kwamba kila anayekata roho lazima ajisaidie haja kubwa. Ni 1 kati ya 1000 ndiyo humpata hii scenario.
I'm so happy seeing Nuts supporting each other.Kabisa mkuu, na huu ndio ukweli.
Tofautisha kati ya kujisaidia na kusaidiwa wakati unaoshwa ukiwa maiti..Kuna Mpuuzi Mmoja anajifanya ni Daktari na Mtu wa Mortuary anabisha kuwa hakuna Binadamu anajisaidia ( anayeukweka ) pale tu akifa wakati ukweli ni kwamba sote tukifa ni lazima tu tutawapa Adhabu watakaotusafisha baada ya Kujisaidia( Kuukweka ) Kwetu.
Cc: Sierra One
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] meditation ndiyo ipojeUSIOMBE KIFO UTAJISAIDIA
Hii kitu ipo wakuu mtulize tuliofanya meditation za kutoka nje ya mwili tukanusurika kifo kwa kuacha kubwa na ndogo sio unajisaidia punj ya mbuz ni gog la ng'ombe t.
Ee adhabu ninatoka wap wakat ni mshkaj wangu harafu kanda ya ziwa mbn hakuna sehemu inaitwa lugalo makongo ndo wap hukoUnauliza Adhabu Kali MP1 Lugalo Makongo?
Kwa hiyo na wewe siku ya kuondoka kwako tutegemee mzigo wa kutosha tu!Hakuna Mwanadamu ambaye akikata Roho tu ( akifa ) hajisaidii hata kama ni kidogo au chembe zake.
Naona mnaogopa kujisaidia mkifariki.