Popoma kadigrii kako huko sauti hakajakukomboa kbs asee,ndy matatizo ya kusoma HKL haya😅😅 (joking)
Ukweli Ni kwamba
Sierra One Yuko sahihi kabisa Wala hukuwa na haha ya kumbishia
Nikupe mfano;mtu aliye chumbani akafunga madirisha na milango Kisha akalala na jiko la mkaa atakufa taratibu kwa kuvuta hewa ya sumu carbon monoxide na atakufa Kama mtu aliyelala usingizi bila maumivu Wala kelele Wala kinyesi hakitoki,km huamini fanya hivyo usiku wa Leo Kama asubuhi hatujasema RIP Genta popoma na mavi haujakunya Wala nn..Au kesi ya mtu aliyekufa usingizini ghafla hizo stori za kujisaidia huwezi kuta
Source yako Safari hii imekuingiza chaka