saaahv umesaliti tena demand and supply yako au sio!
- uchumi wa dunia hauendi ivo, kitu kinchofanya USD iwe global reserve ni utapeli na un fairness, yaani ukiona nchi inatumia USD sio kwamba wanategemea USA kufanya nao biznez but ni kwa sababu ya utapeli walioukubali mwanzoni,(mfano: nkitaka kutrade na kenya nchi ambayo ni next to me unadhan natumia currency gan kama sio USD? unadhan kenya hawana currency yao? but why USD?) d
- Usa anachofanya ni kuziweka nchi katika mzigo wa unbalancement kwa sbabu in real sense tanzania tayar kuna inflation, mtu yoyote anaweza kukubali usd na anaweza kukubali tsh pia, so kwa hraka haraka tanzania tayar ile amount iliokua inatakiwa kua filled by tsh usd ameshajaza, so tunaprint kwa kiwngo flan then tunatakiwa kuacha space kwa ajili ya usd ili economy iwe balanced
- Kua na sjui unasupply dunia nzima wala hata haihusiana na rights za marekani kuprint 1.3TRLLION kila sku mmoja, ni utapeli tu unaendelea na hakuna kingine, Na kitu usichokijua what makes tsh valueless sio economy ya tanzania bali ni usd ambazo znakua pumped kwa tanzania each now and then, when the fed prints new money they do make sure your money becomes more and more valueless so that tsh iwe non factor, although sio the only factor but its the main factor!
- Ingekua usd ndo the most wanted money on the world ingekua rahisi kutell, angalia wanaexport kiasi gan nje ya nchi yao then utajua uhuhimu wa usd katika kutrade but imeachwa mbali sana na china, na china hawakubali utumie $$ ndan ya nchi yao, sisi ukipewa dola sawa ukipewa tsh sawa!