hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Hujui kuwa kuwa na democracy iliokomaa isiyo na uonevu nayo ni maendeleo ?![emoji174]. Twaweza hawakukosea
Kutokuwa na uonevu ni kuwapa chadema ubunge wa majimbo? Kutokuwa na uonevu ni kuruhusu chadema wakiamua kuingia barabarani waingie? Kutokuwa na uonevu ni kuacha wakina mnyika waongee anything ambacho wao wanaona ni sawa?