Kwanini Bunge linawakumbatia Wabunge wasio na sifa?

Kwanini Bunge linawakumbatia Wabunge wasio na sifa?

Hujui kuwa kuwa na democracy iliokomaa isiyo na uonevu nayo ni maendeleo ?![emoji174]. Twaweza hawakukosea

Kutokuwa na uonevu ni kuwapa chadema ubunge wa majimbo? Kutokuwa na uonevu ni kuruhusu chadema wakiamua kuingia barabarani waingie? Kutokuwa na uonevu ni kuacha wakina mnyika waongee anything ambacho wao wanaona ni sawa?
 
Ww ndio ujui kitu
Ngoja nikueleze dogo. Nchi zilizofanya maendeleo makubwa na endelevu ni zile za ki democracy. Nawala si za ki dictator/ki communist. Angalia pote ulimwenguni utaujua ukweli.
So Tanganyika haiwezi kujificha kwenye u communist/dictator na kudhani tutatoboa. After all haya mambo watu wanaenda nayo wapi ?!. Yuko wapi Maghufuli ?
 
Kutokuwa na uonevu ni kuwapa chadema ubunge wa majimbo? Kutokuwa na uonevu ni kuruhusu chadema wakiamua kuingia barabarani waingie? Kutokuwa na uonevu ni kuacha wakina mnyika waongee anything ambacho wao wanaona ni sawa?
Kwani , ubunge wa majimbo wakishinda kwanini waporwe ubunge wao ?!. Ukiwapora ubunge ndiyo maendeleo ?! .
 
Ila ulinatakiwa wawe na chama. Kama hawawezi wajiunge na chama tawala
Coz sababu za kuwavua uanachama wao sio za msingi,

Hata wakina silinde walilindwa na spika wakati ule mbowe amepiga bia zake anaawambia wabunge wote watoke nje ya bunge kisa kuna corona

Viti maalum ni takwa la kikatiba, na wakina mdee wamefukuzwa just because wametii katiba
 
Siyo kwamba anawakumbatia bali anatafuta legitimacy ya kuhalalisha Matokeo Ya Uchaguzi wa mwaka 2020 , kwa kifupi hao Covid_19 waliofosi kuingia bungeni wanatumika kama kihalalishi cha Uchafuzi wa October 2020.


Sasa Spika ni lazima awatetee kwa gharama yoyote ile kwa maslahi ya Serikali ya CCm
Kweli mkuu hii ipo hivyo
 
Mkuu kifo cha jeipiemu kimewavuruga sana, tune ya mziki imebadirika ghafla...
 
🙏🙏🙏
Hata hao wa ccm nao hawana sifa za kuwemo humo bungeni! Maana waliingia kwa wizi wa kura. Rais wa sasa nae aliingia madarakani na mtangulizi wake kwa matokeo ya mezani (ya tume)

Hivyo msiwahukumu tu hao 19! Kimsingi mfumo wa uchaguzi nchini ni wa hovyo. Tume Huru ya uchaguzi inahitajika haraka, ili kuondokana na hii sintofahamu inayo jirudia mara tu baada ya uchaguzi mkuu kufanyika.
Asante kwa taarifa
 
U communist regime ni hovyo siku zote. Na huwa hazina maendeleo yoyote zaidi ya lugha za uzalendo uchwara . Wamechezea uchàguzi mkuu na bado wanataka kuwachagulia wapinzani wao ni nani wa kuwawakilisha !!. Hovyo kabisa .

Uelewa wa wananchi nao ni tatizo.
🙏🙏🙏
 
Kuna habari kwamba Ndugai alishawaambia wale Covid-19 waende kuiangukia Chama chao cha awali ili waweze kupata baraka za Chama. Vinginevyo yeye hana uwezo tena wa kuwatetea. Hivyo atalitaarifu Bunge kuwa amepokea taarifa rasmi toka Tume ya Uchaguzi kuwa Wabunge wale wamepoteza sifa baada ya kufukuzwa Uwanachama kwenye Chama chao cha Siasa.
Yaani wanasumbua tu ili kulinda bunge
 
Chadema achaneni na HAO wabunge.endeleeni na maisha yenu.
Si mmeshaamua kuwafukuza sio wanachama wenu.
Sasa mbona mnahangaika nao?.
 
Watakaa kwa miaka mitano yote
Kwanini serikali na Ccm iwachagulie CDM nani wa kuwawakilisha bungeni bila kufuata utaratibu ?!. Msukuma mwenzangu aliharibu sana utaratibu wa utawala bora . Lakini yote yana mwisho. Yuko wapi ?
 
Wabunge wote wale mle bungeni wa viti maalum na wa majimboni akiwepo Nape aliyepita bila kupingwa hawana sifa. Kwahiyo kuweka Sawa ni kwamba uchaguzi urudiwe ndio tutapate wabunge wapya
Kweli mkuu japo hata ukiiambia tume wazo hili linafanyiwa kazi 0.00%
 
Back
Top Bottom