Kwanini CCM inaruhusu watu wahoji udini?!

Kwanini CCM inaruhusu watu wahoji udini?!

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
victoria.mwanziva~p~Ck6G0hfoCR4~1.jpg


Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!!

CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.
 
Haya mambo naona yanakuwa influenced na dini ya kiongozi aliyepo madarakani, ok huwa wanasema wanatazama sifa hawatazami dini.

Lakini ni kweli kwa hii jamii yetu leo iliyo na wasomi mchanganyiko toka kila upande, wakakosekana wa upande wa pili ili kuleta usawa?
 
Back
Top Bottom