Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hao kina Enock hawataki kugombea walazimishwe?Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwa nini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yana mharibia kiongozi wake.
Halafu wote kutoka ZANZIBAR [emoji91]yaani zanzibarizationJina siyo dini
Askofu mkuu wa Anglican church alikuwa anaitwa Ramadhan kutokea Zanzibar
Mkuu waijua ccm lakin, kwanza ni watu wasiojiamini kuanzia mwenyekiti wake mpaka chiniView attachment 2415777
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwa nini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yana mharibia kiongozi wake.
Enzi za Magu kulitawaliwa na wakristo tupu hukuwahi piga kelele. Hii tuachie sisi wewe endelea kulinda kaburi!!View attachment 2415777
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwa nini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yana mharibia kiongozi wake.
CCM INA WENYEWE NAO NI WAISLAMUView attachment 2415777
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwa nini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yana mharibia kiongozi wake.
Kwa hiyo kwako hii ndio njia ya kutatua tatizo?Enzi za Magu kulitawaliwa na wakristo tupu hukuwahi piga kelele. Hii tuachie sisi wewe endelea kulinda kaburi!!
na helicopter itakuwepo ya kupeperusha majina ya washindiUtasikia kesho tutakuwa na tamasha la kumpongeza
Mhna helicopter itakuwepo ya kupeperusha majina ya washindi
Muhimu ni Wanaccm!Halafu wote kutoka ZANZIBAR [emoji91]yaani zanzibarization
Ccm wanamuogopa Sana Mwenyekiti , 😂🤣 Kuna wazee kule ila Sasa ,nani atadhubutu, hakuna Cha BT hapa Wala nini ,View attachment 2415777
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwa nini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yana mharibia kiongozi wake.