Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
JWTZ ni mkusanyiko wa:
-Jeshi la kujenga taifa(JKT)
-Jeshi la anga
-Jeshi la nchi kavu
-Jeshi la maji
Hizi kila moja hujulikana kama kamandi, na mkusanyiko wake ndiyo yanaitwa majeshi. Hivyo ueye kuitwa mkuu wa majeshi ni kutokana na hilo.
-Jeshi la kujenga taifa(JKT)
-Jeshi la anga
-Jeshi la nchi kavu
-Jeshi la maji
Hizi kila moja hujulikana kama kamandi, na mkusanyiko wake ndiyo yanaitwa majeshi. Hivyo ueye kuitwa mkuu wa majeshi ni kutokana na hilo.