Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #121
Vijana wanaeneza ukabila lakini mbowe hawakemei.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu ya ujinga wao!CHADEMA tunawataka mtueleze. Kwanini mnawabagua wasukuma?
Anafurahia kwa kuwafundisha adabu! Wajinga wakubwa nyie!
Taahir.a makubwa...Narudia tena, sukuma gang sio kabila, bali ni kundi haramu liliondesha ukatilili wa wapinzani wao wa kisiasa. Na wengi waliojihusisha na kundi hilo haramu walikuwa ni viongozi toka kanda ya ziwa. Na walishiriki uovu ule ili kujipatia mapato kwa njia haramu na ya vitisho. Labda useme wasukuma wote walishiriki uhayawani alioendesha Magufuli kwenye nchi hii. Isitoshe hata huyo Magufuli hakuwa msukuma, bali alijinasibisha na kabila hilo ili kujipatia mtaji wa kisiasa wa bei rahisi.
Tutaendelea kuwapa makavu mpaka mseme "Po" na mkome kama mlivyoacha kunyonya kwa mama zenu!Tarehe 21, tubuni madhambi yenu.
Usitupangie,na kwa taarifa yako hilo jina limetoka huko huko CCM na waasisi wa jina hili wameshawamaliza kabisa masalia ya marehemu na cha kuwafanya hamna ndiyo maana mnahamisha magoli kupeleka lawama kwa Chadema, chezea Msoga Gang nyie mbuzi wa marehemu!!!Kwanini mnatumia jina la kabila la wasukuma? Kwani hakuna jina lingine?
Yule dhalim aliyeko motoni ambaye ndiye mungu wenu ndiye mwasisi wa ubaguzi huu.Ona unaendeleza ukabila tu. Na kuleta kejeli. Kwahiyo chato haifai kuwepo Tanzania? Kwanini unaleta siasa za kibaguzi? Hivi nyie CHADEMA mtaacha lini ubaguzi? Unataka kuanza kuwabagua watanzania?
Vipi mumeo hakakugonga cha asubuhi leo?Hoja mufil8si za kimalaya hizi,nyumbani kwake ni Chadema-Pro na Bhange za Olkokoraa!
Wewe na chawa wenzako wa yule dhalim ndiyo wajinga. Sisi Wasukuma tuko smart hatujiingizi kwenye siasa zenu hizi za kishambainawaita wasukuma wajinga.
Kwahiyo wasukuma ni wajinga?
Wengi wanoshabikia ubaguzi huu ni wafuasi au wakeleketwa wa CHADEMA. Je, wanataka kutugawa watanzania? .
Ona hapa chini Wote hawa ni wafuasi wa CHADEMA. Hivi ni kwanini?
View attachment 2486046
Swali linabaki pale pale. Kwanini CHADEMA wanawatukana wasukuma?..wakati wa Jpm watu walikuwa wanagombea kuitwa SukumaGang.
..Jpm na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa walikuwa wanahutubia kilugha ktk shughuli za kitaifa.
Swali linabaki pale pale. Kwanini CHADEMA wanawatukana wasukuma?
Moderators please stop this madness !!!!Gang umeeleza mbona sukuma hujaeleza?
Kwanini uwatukane wasukuma?
Kuwaita gang yaani eti wasukuma ni majambazi?..tupe mfano wa matusi dhidi ya Wasukuma.
..sisi wengine hatupendi jamii zikifarakana.