Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #301
Nakusihi umwambie Mbowe atubu kwa watu wa kanda ya ziwa.Kawahi nafasi ya mbele hapo furahisha kesho, hutojuta kupoteza muda wako kusikiliza madini ya ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakusihi umwambie Mbowe atubu kwa watu wa kanda ya ziwa.Kawahi nafasi ya mbele hapo furahisha kesho, hutojuta kupoteza muda wako kusikiliza madini ya ukweli.
Jijibu mwenyewe kadri nafsi yako itakavyofurahi , maana naona unayo majibu tayari.Kujibu umejibu lakini siyo jawabu. Leta jawabu la swali
Siyo!Huoni kuwa hao ni wafuasi wa CDM?
Kwanini?Siyo!
Wajinga tu wana chuki na wasukuma. Ile 2015 kwenye kampeni wakiwa na lowassa waliizungukia kanda ya ziwa kila kona wakajua wameshawapata wasukuma. Halafu ikatokea jpm akawapiga chini kinoma. Kwa ujinga wao wanafikiri jpm alipewa kura kwa ukabila. Wanashindwa kukubali hawana ubavu mbele ya ccm karibu kote nchini.Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.
Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.
Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni nini sababu ya hawa watu kuwaita watanzania wenzao majina yenye kuashiria kutugawa watanzania? Mpaka leo natafuta kujua hawa CHADEMA wapo na lengo gani na jambo hili?
Maana ukipitia kwenye mitandao ya kijamii taarifa nyingi wanazieneza na kuwatusi watanzania wa kanda ya ziwa. Sujui lengo kubwa ni nini?
View attachment 2486017
Sasa nawaombeni wenzangu humu JF tujadili suala hili tulimalize. Hawa CHADEMA lengo lao ni nini kuanza kuwasakama watu wa kanda ya ziwa?
Kanda ya Ziwa Chadema wamejaa tele.Kwanini?
Hebu niambie nani mtu anayejulikana kanda ya ziwa ni CHADEMAKanda ya Ziwa Chadema wamejaa tele.
Bila wizi wa kura kijani hatutoboi
Hizi ni porojo za ccm tu kwani ungejua hata kanda ya ziwa ilivyochoka na hicho chama chenu ungekaa kimya kabisa.Kwanini msingeita hata Magufuli gang kama mlitambua sio wasukuma wrote waliohusika na hayo.
Lengo lilikuwa kuwatenga wasukuma dhidi ya watanzania wengine.
Na wale mlioshirikiana nao kulitangaza hilo jina kina fatma karume, kigogo na maria sarungi wao wankula maisha nyinyi mnaenda kujifedhehesha huko kanda ya sukuma gang
Tusi liko wapi hapo? Au mimi ndiye sielewi!Ona kila kona vijana wao wa CHADEMA wametumwa kuwatukana kanda ya ziwa. Kwanini mnafanya hivi. Mnatuumiza sana watanzania. Mnataka kutugawa kikanda?
View attachment 2486063
Gang maana yake ni nini?Tusi liko wapi hapo? Au mimi ndiye sielewi!
Ni kweli kwa tume yenu hii feki hawawezi kushinda ila hamuwezi kudhulumu siku zote kwani hata uovu una mwisho hata dikteta Magufuli amenyanyasa wee lkn mwisho ameondoka hivyo hata ccm itaondoka ni swala la muda tu.Kutokupokea ruzuku na kutokuwa na hela ni vitu tofauti, hiyo mikutano huwezi andaa kama huna hela.
Ubunge huwa mnashinda ila uraisi kwa ubaguzi wenu miaka elfu hamtashinda
Mkutano umedoda laana ya Magufuli inawatafunaLeo ndio siku ya watu kutubu.
Hatujaona picha humu.Mkutano umedoda laana ya Magufuli inawatafuna
Tangu waanze kuwaita hilo jina maarufu kabisa la sukuma gang mmeshagawanyika?Kwanini utumie neno au jina la kabila. Kwani hakuna jina lingine? Ndio maana ninauliza kwanini wanawatusi watu wa kanda ya ziwa ambao ni zaidi ya 30% ya population ya Tanzania? Lengo ni kutugawa au lengo ni lipi?