Kwanini China nchi ya kidikteta ina maendeleo makubwa kuliko Kenya na Zambia?

Umesah
umesahau pointi moja muhimu sana. Uchumi wa Afrika unasimamiwa na mabepari. Nchi ikienda speed kimaendeleo, itapigwa tukio ili kuipunguza kasi.

Hii ndiyo sababu kubwa ya umaskini wa nchi zetu.
 
Sawa sawa sawa
 
China hawacheki na kima ujue. Mfano, jengo lililoporomoka Kariakoo jana; asubuhi ya leo wananchi wangekuwa wamekusanyika viwanja vya Mnazi Mmoja kushuhudia mass execution ya wote walioshiriki ujenzi ule! Mko tayari au ni siasa za kulindana?
Basi hatari hawana mchezo
 
Nakuelewa
 
Sawa sawa sawa
 
Udikteta (kutoka neno lenye asili ya Kilatini: dictator; pia: imla kutoka Kiarabu) ni mfumo wa utawala wa nchi ambapo mtu mmoja asiyebanwa na sheria wala katiba anashika madaraka ya serikali na ana uwezo wa kuyatumia jinsi anavyoamua mwenyewe.
Sasa mbona China inaendeshwa tofauti kabisa na hiyo definition yako hiyo?
China ukizingua haijalishi ww ni nani una cheo gani utakula kitanzi na mchakato wao wa kula kitanzi huwa sio mrefu ,hukumu ya kitanzi inatoka leo na inaelelezwa ndani ya wiki.
 
Udikteta (kutoka neno lenye asili ya Kilatini: dictator; pia: imla kutoka Kiarabu) ni mfumo wa utawala wa nchi ambapo mtu mmoja asiyebanwa na sheria wala katiba anashika madaraka ya serikali na ana uwezo wa kuyatumia jinsi anavyoamua mwenyewe.
kwa tafsiri hii china sio nchi ya kidikteta......
wana katiba bora, wana sheria bora, wala neno la Xi sio sheria.......

magharibi ndio wameharibu tafsiri ya dikteta kwa kumwita dikteta kila mtu wanae mchukia
 
Sasa mbona China inaendeshwa tofauti kabisa na hiyo definition yako hiyo?
China ukizingua haijalishi ww ni nani una cheo gani utakula kitanzi na mchakato wao wa kula kitanzi huwa sio mrefu ,hukumu ya kitanzi inatoka leo na inaelelezwa ndani ya wiki.
Amekosea kidogo kusema mtu mmoja, kuna
Junta dictatorship,
Party dictatorship,
Theocracy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…