Hupigwi boss.Kuumbe mi napigwaga sana! naombwaga pesa ya kunulia pichu natoa mpunga mrefu kumbe pichu ni 1000 tu.
Nimeelewa sasa, kudadekii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yamejitosheleza mkuuhahahaha, we jamaa nimecheka sana kwa sauti. Ni kweli kiuchumi lazima chupi za kike za siku hizi ziwe cheap kwa sababu:-
1. Zinatumia kitambaa kidogo sana, ni nyembamba sana kama kamba fulani tu hata ule mfereji haizibi vizuri;
2. Demand imepungua sana, wanawake wengi hawavai siku hizi kwa sababu ya usumbufu wa kuvua vua mara nyingi. Wanakuja hivyo hivyo unafunua tu unaendelea; na
3. Wengi hawavai tena kwa sababu tight inatosha tu (tight imechukua nafasi ya chupi na ''andasketi''- ile ndefu kama sketi tulikuwa tunaziona kirahisi tukicheza nao shuleni).
ndo mana tunavaa boxer 1 miezi mitatuChupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?
Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.
Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
Kwahiyo moja ni 350 na kwamaana hiyo kiwandani chupi moja ya kike ni Mia mbili (200) dahNiliwahi pita Manzese ilikuwa 2017 nikakuta wanauza chupi tatu za kike Buku
Sent using Jamii Forums mobile app
Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?
Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.
Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
nilijaribu kuvaa sasa kale kamfuko kalitosha pumbuuuuuuu tuKama vipi vaa za kike kwanza nani atakuona?
PointKubadilibadili boxa kila wiki ni umama
ndo mana zinapanda beiKubadilibadili boxa kila wiki ni umama
Ladies freeJiulizeni mnasema chupi tu hata kwenye madisco, clubs wadada free wanaume tunalipia
Sent using Jamii Forums mobile app