Kwanini Dar es Salaam kunapambazuka mapema kuliko sehemu nyingine nchini? 05:35hours

Kwanini Dar es Salaam kunapambazuka mapema kuliko sehemu nyingine nchini? 05:35hours


Nimetoka nje muda huu, anga ni jeupe sana. Juzi nilikuwa Dodoma kushuhudia uuzwaji wa bandari zetu. Saa kumi na mbili na nusu ni giza totoro.
Kiuhalisia dar iko East zaidi kuliko mikoa mingine hivyo inatangulia kuona jua na giza linaingia mapema pia kuliko mikoa mingine.
Dar saa 12 na nusu hivi kigiza kishaanza wakati ukiwa mkoa kama kagera bado kabisa kuna jua.
 
Kiuhalisia dar iko East zaidi kuliko mikoa mingine hivyo inatangulia kuona jua na giza linaingia mapema pia kuliko mikoa mingine.
Dar saa 12 na nusu hivi kigiza kishaanza wakati ukiwa mkoa kama kagera bado kabisa kuna jua.
Machangu wanafungua biashara mapema.. the early bird 🐦......
 
Mikoa ya pwani yote ipo hivyo
Zanzibar
Morogoro
Lindi ,Mtwara
DSM

Sunset inaanza 06:30PM na Sunrise 06:00Am wataalamu wa Georgraphy wataelezea vzr the reason behind.
Mwezi Disemba Ukiwa mgeni Mtwara unaweza amka saa 10:30 alfajiri na ukajua ni saa 1 asubuhi, yaani kweupee unaokota hata sindano kwenye mchanga
 
Yani kama kagera na kigoma inatakiwa watumie muda wa Rwanda au Burundi maana mida hii huko ni giza totoro jioni saa moja na robo ndo jua linazama
 

Nimetoka nje muda huu, anga ni jeupe sana. Juzi nilikuwa Dodoma kushuhudia uuzwaji wa bandari zetu. Saa kumi na mbili na nusu ni giza totoro.
Dar es Salaam bandari salama. Hamna usalama kwenye giza. Ili uwe salama ni lazima uwepo nuruni. Dar ina upako na utukufu na baraka tele
 
Yani kama kagera na kigoma inatakiwa watumie muda wa Rwanda au Burundi maana mida hii huko ni giza totoro jioni saa moja na robo ndo jua linazama
Mkuu haya mambo huwa tu ni makubaliano ya kuwa na time zone ianyofanana. Hata Rwanda na Uganda madhani tuko time zone ile ile gmt+3 so masaa yetu yanafanana no matter huku kuna giza huku mwanga.
China ilikuwa na time zones zaidi ya tatu. Yani beijing inakuwa saa fulani sehemu nyingine saa fulani. Serikali ikaona huu ufala, ikasema sehemu zote zitafuata masaa ya beijing. Haijalishi uliko ni giza au mchana, kama beijing ni saa moja asubuhi basi hata huko ni saa moja asubuhi kwisha kazi.
 
Bora giza mkuu ulale wema,
Kuna siku mwenzio nimekurupuka usiku wa manane bila kuangalia saa nikakimbilia mzigoni.
Mlinzi ananishangaa,
Ni kwamba jua limetoka mapema tu usiku,
Mlinzi:
"Boss kuna emergency"?
Najibu
"Nimekuja kazini"
Sa kumi usiku boss??huwa unaingia sa mbili hapa🙆‍♂️,
"Saa iko wapi?"
Kuangalia pale zote ni saa kumi kasoro usiku.
Nikajua nshayakanyaga
Nikaona bora nibaki tu pale tupige story nimsaidie na kazi ya kulinda hadi
kunakucha nikazama
ofisini.
Hiyo ilikua mara ya 3 nimeyakanyaga😁
 

Nimetoka nje muda huu, anga ni jeupe sana. Juzi nilikuwa Dodoma kushuhudia uuzwaji wa bandari zetu. Saa kumi na mbili na nusu ni giza totoro.
Dar

Nimetoka nje muda huu, anga ni jeupe sana. Juzi nilikuwa Dodoma kushuhudia uuzwaji wa bandari zetu. Saa kumi na mbili na nusu
Jibu ambalo ni rahisi kijiografia ni kwa sababu ya
1. Mzunguko wa dunia.
Dunia hujizungusha kutoka magharibi kuelekea mashariki hali inayofanya kuonekana kuwa jua linazunguka kinyume cha mzunguko wa dunia yaani kutoka mashariki kwenda magharibi ( opposite na mzunguko wa dunia) ingawa ni ukweli kuwa jua lipo stationary. Halizunguki. Kama wewe unavyokuwa kwenye gari na Kuona miti inarudi nyuma ukiwa kwenye mwendo wa kwenda mbele.
Hivyo kwa kuwa mji wa dar es salaam upo mashariki husababisha watu wa mashariki kuona jua mapema zaidi kuliko watu wa magharibi linapokwenda kuzama.

Sababu ya pili ni kwa sababu ya umbo la dunia. Ambalo lipo kwenye spherical shape. Kama dunia ingekuwa flat mwanga jua ungeweza kuangaza kote kwa Mara moja ingawa miale ya mwanga huwa na tabia ya kupungua nguvu kadri inavyotembea umbali mrefu. Lakini hali hii isingesababisha watu wa kigoma kuwa na kiza wakati watu wa dar es salaam wameshapata mwanga jua. Lakini kwa sababu ya spherical shape uduara wake...upande unaoface jua hupata mwanga zaidi na kukinga upande mwingine ambao upo nyuzi za penbe kali kutoka kwenye jua.

Sababu ya kukucha mapema katika mwaka ni kwa sababu ya relative position ya dunia na jua kama alivyokueleza GENTAMYCIME hapo juu. Na inclination ya dunia
 
Mkuu haya mambo huwa tu ni makubaliano ya kuwa ni time zone ianyofanana. Hata Rwanda na Uganda madhani tuko time zone ile ile gmt+3 so masaa yetu yanafanana no matter huku kuna giza huku mwanga.
China ilikuwa na time zones zaidi ya tatu. Yani beijing inakuwa saa fulani sehemu nyingine saa fulani. Serikali ikaona huu ufala, ikasema sehemu zote zitafuata masaa ya beijing. Haijalishi uliko ni giza au mchana, kama beijing ni saa moja asubuhi basi hata huko ni saa moja asubuhi kwisha kazi.
Rwanda tunawatangulia lisaa moja,, Uganda ndo tuko nao sawa,

Nasikia nchi moja kuwa masaa tofauti hawaipendelei sana sijui kwanini ila kuna tofauti kubwa sana wa mikoa ya pwani na huko magharibi mwa nchi,
 
January hadi June jua huwa linakuwa Kusini mwa Ikweta hivyo Dar es Salaam jua huwa linachelewa kutoka na hata kuzama pia, ila kuanzia July hadi Desemba Jua huwa linakuwa Kaskazini mwa Ikweta ( kwa Latitude ) hivyo Dar es Salaam Jua huchelewa kutoka ila linawahi Kuzama.
Ni kinyume chake. Jua huwa ikweta mwezi wa tatu na wa tisa. Mwezi wa kumi na mbili huwa kusini kabisa ya ikweta liwezavyo. Mwezi wa sita huwa kaskazini kabisa ya Ikweta liwezavyo.
 
Back
Top Bottom