Nimetanguliza neno sielewi kwamaana hiyo nimeuliza ili mnieleweshe.
Dar kuna bahari ya Hindi imeizunguka sasa inakuaje mkoa huo unakua na shida ya Maji?
Kama maji ya bahari labda yanahitaji kuchakatwa sana kuondolewa chumvi na kama ni ghali sana kununua mitambo hiyo, kwanini tunapoteza hela nyingi kununua mandege yasiyo na faida kwa mtanzania na tukaacha kufanya jambo la msingi kama hilo?
Au basi hizo tirioni kadhaa za kununua mandege yasiyo na tija, tungetoa maji ziwa victoria likahudumia nchi nzima hii
Dar kuna bahari ya Hindi imeizunguka sasa inakuaje mkoa huo unakua na shida ya Maji?
Kama maji ya bahari labda yanahitaji kuchakatwa sana kuondolewa chumvi na kama ni ghali sana kununua mitambo hiyo, kwanini tunapoteza hela nyingi kununua mandege yasiyo na faida kwa mtanzania na tukaacha kufanya jambo la msingi kama hilo?
Au basi hizo tirioni kadhaa za kununua mandege yasiyo na tija, tungetoa maji ziwa victoria likahudumia nchi nzima hii