Kwanini Dar kuna shida ya maji wakati bahari ipo hapo hapo?

Kwanini Dar kuna shida ya maji wakati bahari ipo hapo hapo?

Wafanya maamuzi ni vilaza, wenye akili Kama wewe wanapigwa vita huko maofisini.

Maradhi, ujinga na umasikini--Mlm JkN-
Mimi naongeza--akili mdogo(IQ) ndogo.

Ikitokea mimi nikapata nafasi ya kufanya maamuzi, cha kwanza Nita restructure utumishi, wata ajiriwa tu wenye high IQ na hao ndo watakuwa watumishi Serikalini.
we mbwigira unajua maana ya IQ? Kile ni kipimo tu ukitaja lazima umalizie ya kiwango gani tena.
Yaani hapo sawa na kusema "nitaongea na watu wenye umri." bila kufafanua umri gani
 
we mbwigira unajua maana ya IQ? Kile ni kipimo tu ukitaja lazima umalizie ya kiwango gani tena.
Yaani hapo sawa na kusema "nitaongea na watu wenye umri." bila kufafanua umri gani

We mbwigira hujui kua IQ kwenye scale Kuna high na low. Numbers hu specify tu.

Nadhani hata wewe shida ni hiyo hiyo, score yako ni below average.

Samahani lakini. Najua hukujiumba.
 
Nafikiri mwaka huu itabidi baadhi ya shughuli zinazotumia maji zithibitiwe, mfano waosha magari wengi wanatumia maji hovyo hovyo. Unakuta maji ambayo yangeosha gari hata thelathini, jamaa anatumia kwenye gari moja.

Wangwekewa masharti ya kutumia vifaa vinavyonyunyiza maji kidogo au mvuke siyo kumwaga mwaga tu maji bila mpangilio.....kule south afrika walipata shida ya maji kutokana na ukame uliodumu muda mrefu ilikuwa patashika, nakumbuka kipindi hicho nilienda huko, hotelini unakutana na tangazo la kutumia maji kwa uangalifu ikiwemo kuoga chini ya dakika tatu na mara moja kwa siku.....

Sasa ni bora wizara ya maji kuanza kuelimisha watu kutumia maji kwa usahihi na pale tu penye uhitaji.​
KILA MTU ANATUMIA ANACHOLIPITIA SIONI KAMA KUNA SHIDA,CHA MUHIMU WATAFUTA VYANZO VINGINE VYA KUPATA MAJI
 
We mbwigira hujui kua IQ kwenye scale Kuna high na low. Numbers hu specify tu.

Nadhani hata wewe shida ni hiyo hiyo, score yako ni below average.

Samahani lakini. Najua hukujiumba.
angalia unavyojizomea sasa unawezaje kusema hii high au low bila namba? mpuuzi wahed
 
mkuu tena hii technologia sio mpya inaitwa water desalination ipo tangu karne ya nne wagiriki waliisha anza kuitumia kwa sasa duniani kuna nchi 120 zinatumia hii technologia mfano Israel, saud arabia, na marekani mfano kule san Diego technologia ya water desalination imefanya bili ya maji kuwa dola tano kwa mwezi kama elfu 12000 hivi za kitanzania kwa nyumba
Tatizo ni huu utawala wa kipuuzi wa CCM, kipaumbele kwao ni ile miradi yenye mirija ya kupiga pesa tu. Hawataki kabisa kumaliza tatizo.
 
Tukitumia ya victoria wamisri wanalalamika, tukiyamaliza ya rufiji zanzibari itakosa mvuto wa watalii maana haitakuwa kisiwa tena maana bahari itakauka...na muungano ndo utakufa
Yaani bahari ya Hindi ikauke😀 acha mzaha
 
Tukitumia ya victoria wamisri wanalalamika, tukiyamaliza ya rufiji zanzibari itakosa mvuto wa watalii maana haitakuwa kisiwa tena maana bahari itakauka...na muungano ndo utakufa
Mmeshaanza bangi, bahari inakaukaje?
 
Nimetanguliza neno sielewi kwamaana hiyo nimeuliza ili mnieleweshe.

Dar kuna bahari ya Hindi imeizunguka sasa inakuaje mkoa huo unakua na shida ya Maji?

Kama maji ya bahari labda yanahitaji kuchakatwa sana kuondolewa chumvi na kama ni ghali sana kununua mitambo hiyo, kwanini tunapoteza hela nyingi kununua mandege yasiyo na faida kwa mtanzania na tukaacha kufanya jambo la msingi kama hilo?

Au basi hizo tirioni kadhaa za kununua mandege yasiyo na tija, tungetoa maji ziwa victoria likahudumia nchi nzima hii
Hayo ya kusema: "ghali sana" huwa naona ni propaganda za wapigaji tu.

Kuna mradi ghali sana kuzidi Sgr?

Nchi karibia nyingi za mashariki ya kati wanagonga maji ya bahari pamwe umwagiliaji.

Ninadhani hatuna nia hiyo katika vipaumbele vya kitaifa na udhaifu wa uona mbali.

Fikiria watu wanashindia kauzu, wakati tumezungukwa na bahari!

Mwaka jana nilisikia kwa mbali kuwa wana mpango wa kujenga meli za uvuvi, lakini kwa mwendo tulio nao sasa, hizo zaweza kubakia kuwa ni ndoto, tena za usiku!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ya kusema: "ghali sana" huwa naona ni propaganda za wapigaji tu.

Kuna mradi ghali sana kuzidi Sgr?

Nchi karibia nyingi za mashariki ya kati wanagonga maji ya bahari pamwe umwagiliaji.

Ninadhani hatuna nia hiyo katika vipaumbele vya kitaifa na udhaifu wa uona mbali.

Fikiria watu wanashindia kauzu, wakati tumezungukwa na bahari!

Mwaka jana nilisikia kwa mbali kuwa wana mpango wa kujenga meli za uvuvi, lakini kwa mwendo tulio nao sasa, hizo zaweza kubakia kuwa ni ndoto, tena za usiku!

Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa mkuu we fikiria watu badala ya kufikilia kumaliza mradi wa bwawa rufiji wao ndio kwanza wanafikilia kuuhujumu sasa kiongozi kama huyo atawaza kuweka plant ya water desalinization alafu eti wanasema ghali izo nchi 120 zinazotumia maji ya bahari kunywa zimefanya muujiza gani
 
Back
Top Bottom