Sasa, hao jamaa mbona kimaendeleo wako mbali sana kinyume kabisa na wengi wanavyoamini kwamba, Demokrasia ndiyo huleta maendeleo?
Wee kilaza tangu lini China iliwahi kuwa na demokrasia?Bila shaka majibu yatapatikana hapa,
Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia
Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?
Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?
Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.
Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.
Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.
Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?
Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.
Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake
Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Watu wa madesa utawajua tu! Nenda uka- Google upate majibu!Ukisema China haina Demokrasia, jibu kwanza hili swali. Demokrasia ni nini?
Samahani sana.mkuu, unadhani usipotumia maneno ya kuudhi hutaeleweka?
Usipotoshe: Uchumi wa Tanzania umeharibika kwa sababu ya CoronaMagufuli amejiidai kuua demokrasia na uchumi umeanguka toka 7% Hadi 4%
Kwao mujibu wa hotuba ya mama samia
Halafu hili linasahaulika sana kwa watu, na hata hivyo, endapo nchi yetu ingewekwa lockdown kipindi kile cha Corona ya awali kabisa, hali ingekuwa ni mbaya kuliko ukilinganisha na tulipo sasaUsipotoshe: Uchumi wa Tanzania umeharibika kwa sababu ya Corona
usilinganishe CHINA na TANZANIA. Wenzetu hata kielimu wapo juu, nchi inaongozwa na sayansi. Sasa bongo elimu haizingatiwi tunajiendea tu no direction.Bila shaka majibu yatapatikana hapa,
Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia
Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?
Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?
Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.
Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.
Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.
Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?
Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.
Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake
Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Acha kusingizia ongea hojaUsipotoshe: Uchumi wa Tanzania umeharibika kwa sababu ya Corona
Nani alikudanganya uongo huo dogo?Bila shaka majibu yatapatikana hapa,
Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia
Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?
Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?
Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.
Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.
Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.
Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?
Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.
Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake
Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
mkuu, kule China kuna demokrasia kweli?
Demokrasia mjomba ndio swali la mshikajiusilinganishe CHINA na TANZANIA. Wenzetu hata kielimu wapo juu, nchi inaongozwa na sayansi. Sasa bongo elimu haizingatiwi tunajiendea tu no direction.
Nadhani ingebaki huko huko Asia...😂😂China ingekua na democrasia unajua ingekua wapi?
Unamaanisha kuwa, Kumbe demokrasia pekee haiwezi kuleta maendeleo?Wee kilaza tangu lini China iliwahi kuwa na demokrasia?
Bila shaka majibu yatapatikana hapa,
Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia
Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?
Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?
Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.
Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.
Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.
Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?
Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.
Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake
Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Kwangu mimi naona China ni mkono mwingine wa marekani.Kifupi, demokrasia ndiyo imeleta maendeleo China.
U aelewa nini maana ya demokrasia?(Bila shaka majibu yatapatikana hapa,
Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia
Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?
Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?
Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.
Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.
Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.
Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?
Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.
Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake
Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Demokrasia imeleta jeuri na ujinga mwingi hasa kwa nchi zetu hizi za watu wasiostarabikaTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana, bila ya kuwaburuza mambo hayaendi...
hapana, iangalie kwa mapana, achana na huyu aliyekua hapa kwetu ule ni ubabe wa kipumbav, lakin ukiangalia china utangundua sio kweli demokrasia ni jibu la kila kitu, vitu ambavyo tumekua tukiaminishwa tangu shuleni tukiwa wadogoStupid thread