Kwanini Diamond Platnumz amemtenga mwanaye aliyezaa na Hamisa Mobetto?

Kwanini Diamond Platnumz amemtenga mwanaye aliyezaa na Hamisa Mobetto?

Tatizo lipo wapi? Hamisa yupi huyo kila siku ana danga jipya yaani unaweza kuamini mwanamke anayedanga !?


Hamisa za chini kakataa kwenda kupima DNA south Africa ila pesa ya matunzo alienda mahakamani kama sio njaa ni nn?

Umri sio rafiki anachuja hana jipya ila mwenzio ndio kwanza kumekucha anatembea na vitoto wakina Zuchu..
.DNA za bongo ni utapeli na Diamond hawezi kukataa mtoto hata siku moja .
Hamisa kakubali wakafanye DNA popote atakapo Diamond ila TU iwe Public....shida sio diamond,shida ni mama Ake ,alimkataa Zari katu katu dada wa watu alijitoa weee akatafutwa hamisa azae na Mondi Ili Zari apoe,akapoa dada wa watu akaondoka,akaja Tanasha NAE kazalishwa kaachwa kijana wa Kiislamu anazalisha zalisha hovyoo hata kuoa hataki,Akaja Alia,Mara sijui Zuchu NAE hatakiwi anafosi TU
Wema enzi hizoo Yuko na Mondi aliwahu sema hila za yule mama,haoni shida Kuna kugonga saa nane usiku chumbani Kwa mwanawe wakati kalala na mwanamke
Nuksi yule bibi yaani ana roho ya Kiburundi kabisa
 
Diamond hawezi kukataa mtoto sio rahisi kwa matajiri kukataa mtoto hususani Diamond hana ndoa watoto wote kazaa nje ....Yule Hamisa anazaa na matajiri ili apate chochote kile kama alivyozaa na majizzo .

Diamond inasemekana kuna walakini maana DNA za bongo ni utapeli na alitak kwenda south alikataa eti mtoto anadhalilishwa kupimwa DNA...yule mwanamke angekuwa labda ana uhakika wasingepelekana mahakamani
.. Diamond na Hamisa wote vicheche na hakuna mtu anamuamini mwenzie.


Mfumo anatumia kuzaa na matajiri ajiandae tunawajua jamii fulani ambayo kaoa huyo Majizzo watakuja kusumbuana kweny urithi ..
Nakubaliana na wewe.Kama Kweli Hamisa ana Uhakika 100% angeendelea kwenda Mahakamani Kisutu kukazia hukumu ya kesi yake ya kudai matunzo ya mtoto toka kwa dogo wa Tandale! Now madai ni kwenye social media ndo yapo! Why ajarudi tena mahakamani?
 
Nakubaliana na wewe.Kama Kweli Hamisa ana Uhakika 100% angeendelea kwenda Mahakamani Kisutu kukazia hukumu ya kesi yake ya kudai matunzo ya mtoto toka kwa dogo wa Tandale! Now madai ni kwenye social media ndo yapo! Why ajarudi tena mahakamani?
Ana matatizo nae kubambikia mimba wenzie wanamchezea yeye anaona umaaruf .
 
Kuhusu majizo usiwe na shaka labda abadilike baadae ana pre nuptial agreement,Yuko makini mnoo na mwanawe, Fantasy tayari ameshajengewa vya kwake pale alipo ana nyumba yake na Hamisa aliondolewa kwenye nyumba ya Majay baada ya kuruhusu Mondi awe anaenda kulala pale Nadhani ndo Daimond akaenda mpangishia Kule mbweni sijui bahari beach....!!!ila Mohammed Chiza kashahakikisha kajipanga vzr tue Kwa watoto wake aluowapata kabla ya ndoa vzr tu
Kuhusu kukataa Mtoto Daimond na mama wako tayari kufanya lolote Kwa ajili ya maarufu,mfano Aliweza sema Mzee Abdul sio baba yake hadharani leoo hii ht alikataa mtoto hakuna Cha kushangaa na Bado anatumia jina la Mzee Abdul na Mzee alivyo na hekima alikaa kimya akasema tu 'km Mimi sio baba Ake sawa,ila aache kutumia jina langu'kiufupi Bi Sandra ni mfano mbaya wa Single mama ana chuki mnoo na mbinafsi sana (Mungu anisamehe kama mmetuma lugha Kali)ila ndo ukweli,huyo Daimond anaogopa kumuudhi mama yake ndo maana anafata Kila asemacho hata yasiyo sahihi
Kuhusu DNA Hamisa amekubali wafnaye hadharani nchi yoyote Ile Duniani
Diamond na hao wanawake wake wote nu tabiq moja ni wale wale.

Ila kwa kutumia akili haweza kukataa mtoto kabisa.
 
Alifanyiwa nini ambacho yeye hajawahi kuwafanyia wengine. Inshort ile situation ilisaidia kubalance ego yake

By the way watanzania walio obsessed na Zari huwa nawashangaa sana. That woman anawadharau watanzania sana sanaaa, ingekuwa ni hata Kenya, angekuwa cancelled muda sanaaa
Acha uwongo ndugu Zari ana dharau kwa watz bali ana wadharau wale wanao mdhihaki beef ya zari ni kati ya zari na other celebrities teams eg wema au hamisa na zari vs watanzania. Mtu ambaye huwa ana wadharau watz na kuwatusi ni Mange na bado mnamuita dada wa Taifa
 
Alifanyiwa nini ambacho yeye hajawahi kuwafanyia wengine. Inshort ile situation ilisaidia kubalance ego yake

By the way watanzania walio obsessed na Zari huwa nawashangaa sana. That woman anawadharau watanzania sana sanaaa, ingekuwa ni hata Kenya, angekuwa cancelled muda sanaaa
Ww lini uliona zari analipa ma it specialist kuhack na kuzifuta ig account za watu, maana hamisa alifanya hivyo kwa watoto wa zari na Diamond na mengine mengi tu.

Shida ni kuwa tu Zari huwa anakuja in public mwenyewe ila hamisa atamtumia chawa wake Mange alaf in public atasema yy huwa anakaa kimya bila kuongea
 
Ye alivyomfanyia mmewe marehemu na kuja kuolewa na tz kwa benten, na kutuchamba wa bongo masikini, matokeo kaolewa bure tu, Hamisa Hana mpango na msaada wa mond kwa Sasa na kasema anashukuru milango ya riziki inafunguka sio Kama zamani, na kuhusu mtoto analea mwenyewe, sio Kama zamani Mara kulalamika kwa mzee Abdul, Mara mahakamani , ustawi wa jamii wakaenda dna, tupende vya kwetu, Kama kina Samata awajashobokea kuoa wazungu wameoa wa nyumbani Maisha yanakwenda.
Hiyo milango imefunguka baada ya kupata fame kutoka kwa Mond alivyozaa na Majizo mbona hiyo milango haikufunguka?

Diamond bali anambra huyo mtoto kwa mujibu wa babalevo kupitia kipindi cha mgahawa yaani malipo yyte kuhusu mtoto yanakuwa directed sehemu husika na mama hashiki ata tsh kumi maana Mama alikuwa anataka kumfanya Diamond awe mtaji wake na ndio maana ata sbb za kwenda mahakamani awali ni Diamond kupinga kiasi ambacho mama alikuwa akitaka.

Na kuhusu zari ni watz wao wenyewe husasan hao team za wadada walikuwa wakitukana watoto wa Zari ata huyo wema pamoja na Mange so Zari alikuwa sahihi kuwa shambulia pia, lkn huko hujatukanwa ww wametukana teams za watu acha kujibebesha misalabq isiyokuwa yako
 
Ww lini uliona zari analipa ma it specialist kuhack na kuzifuta ig account za watu, maana hamisa alifanya hivyo kwa watoto wa zari na Diamond na mengine mengi tu.

Shida ni kuwa tu Zari huwa anakuja in public mwenyewe ila hamisa atamtumia chawa wake Mange alaf in public atasema yy huwa anakaa kimya bila kuongea
Inaonekana wewe ni insider 😁😁😁 maana unaongea vitu vizito
 
Acha uwongo ndugu Zari ana dharau kwa watz bali ana wadharau wale wanao mdhihaki beef ya zari ni kati ya zari na other celebrities teams eg wema au hamisa na zari vs watanzania. Mtu ambaye huwa ana wadharau watz na kuwatusi ni Mange na bado mnamuita dada wa Taifa

Ahh kumbe naongea na watu wenye team zenu. Mkuu huwa sipo kwa hizo drama, niliongelea kitu kilichotrend kwa kumuingiza president kwenye masuala ya kutojua kiingereza
 
Mtoto wa billnass huyo mondi sio mjinga na hayupo tayari kulea kiumbe kisicho damu yake.

Period thread ifungwe.
Juzi nimecheki kipindi kimoja hivi kina wale jamaa wa shilawadu nahisi kinaitwa chumba cha upasuaji.

Lilivyofika swali kwa nenga kama ni kweli mtoto wa Mobeto ni wake?

Nikaona hata usoni jamaa kabadirika, alikuwa anakataa lakini asilimia kubwa yule mtoto ni wake. Kuanzia komwe macho na pua
 
Kaka umeongea kishabiki hadi sijaamini kama ni wewe. Kwanini umeiita “obsession “ na sio mapenzi? Sisi kama watz haturuhusiwi kumchagua wa kumpenda regardless ni mtz au sio mtz?

Halafu what again? Anawadharau watz ukimaanisha na bibi na babu yangu walioko kitinku? Come on? Sema anawadharau na kuwatukana wanao mtukana. Thats very fair, Zari anajidefend mwenyewe, anawatukana wanaomtukana sababu hawezi nyamaza, our own Hamisa akitukanwa anaenda kumwambia Mange anamsaidia kuchamba/kutukana sababu yeye amesema hawezi gombana ila anaweza kutafuta wa kumsaidia ugomvi! Kwahiyo futa hiyo waTz tunadharauliwa na Zari, sote kwa pamoja? No!!!!

😁😁😁 mbona ugomvi wa ngumi umeleta panga. Calm down binti kiziwi

By the way, 2005 - 2015 kilikuwa ni kipindi ambacho nilikuwa nafuatilia sana showbiz ya Africa nzima kwa hiyo Zari nilianza kumjua kabla ya kudate na mondy, enzi hizo inasemekana ndio richest socialite in East Africa kabla ya Akothee kuja juu

Hadi Zari anafika bongo, alikuwa anakuja kwa muzamili, kitu kama hicho na alikuwa close sana na sintah,

Alipoingia kwenye mahusiano na mondy, alikuwa anambully sana Wema kwa sababu tu ya "kutokuzaa" na kucomment kwenye kila move yake kwa kuonesha she is better than her, kitu ambacho wema alikilalamikia sana. mwanamke gani mwenye decency anaweza kufanya hivyo

She tried the same thing kwa Sharon O na Fabiola, uliona reactions za waganda

Alijaribu kwa Huddah, uliona reactions za wakenya

Alijaribu kwa huyu lady wa Ghana kwenye ile show ya juzi kati hapo, uliona reactions za waghana

Ushawahi ona Waganda wakihangaika nae hata kwenye mass media, social media au hata kwa mastar wenzie wa Uganda

Ila Tanzania akifanya chochote na lolote lile, she gets away with it na anapata support na endorsements juu.. Hiyo ni love au obsession
 
😁😁😁 mbona ugomvi wa ngumi umeleta panga. Calm down binti kiziwi

By the way, 2005 - 2015 kilikuwa ni kipindi ambacho nilikuwa nafuatilia sana showbiz ya Africa nzima kwa hiyo Zari nilianza kumjua kabla ya kudate na mondy, enzi hizo inasemekana ndio richest socialite in East Africa kabla ya Akothee kuja juu

Hadi Zari anafika bongo, alikuwa anakuja kwa muzamili, kitu kama hicho na alikuwa close sana na sintah,

Alipoingia kwenye mahusiano na mondy, alikuwa anambully sana Wema kwa sababu tu ya "kutokuzaa" na kucomment kwenye kila move yake kwa kuonesha she is better than her, kitu ambacho wema alikilalamikia sana. mwanamke gani mwenye decency anaweza kufanya hivyo

She tried the same thing kwa Sharon O na Fabiola, uliona reactions za waganda

Alijaribu kwa Huddah, uliona reactions za wakenya

Alijaribu kwa huyu lady wa Ghana kwenye ile show ya juzi kati hapo, uliona reactions za waghana

Ushawahi ona Waganda wakihangaika nae hata kwenye mass media, social media au hata kwa mastar wenzie wa Uganda

Ila Tanzania akifanya chochote na lolote lile, she gets away with it na anapata support na endorsements juu.. Hiyo ni love au obsession
Well km ni hivyo ni karma kwa wote haichagui ss wapi alisema rais hajui kiingereza maana hakuna sehemu ume highlight hiyo kitu au umsema kwenye app na ww
 
Ni uhuru wa mitandao na sio kwamba alitukanwa. Kwa hiyo Zari alisema president hajui kiingereza?
Nakumbuka kilikuwa ni kipindi cha magufuli, kuna video siikumbuki fresh Ila walikuwa wanacomment kuhusu english ya Tiffah kwa kusema haitokuwa perfect cause watz hawajui english like their president.. Nakumbuka baadae aliomba radhi kwa kusema alinukuliwa vibaya
 
Walau kati ya mabinti wa bongo, Hamisa amejitahidi zingatia alikotokea, no education no career, na ameweza kusogea alipo sogea. Tofauti na wenzio kwanza wenzio hata familia walizotokea zina unafuu ukimuondoa wolper. AmeJitahidi binti wa watu, hana vingi ila ana vitu.
Pata picha angekuwa na sura mbaya na hana shape ungesema hivyo? Hapa mjini ukiwa na shape na sura nzuri huwezi hukafa njaa
 
Amejitahidi kwa mda gani? Hivi trend ya wadada wadangaji wa intagram huzijui, kwani Wema ilikuwaje na yule jamaa waIkulu,mpaka kafunguliwa kampuni ya production then ikawaje......? Wolper na yule dogo muuza Poda........? Anti nae...........?

Issue mimi hapa ninayo zungumzia continuity na discipline ambayo wadangaji hawana,husizuzuke na hiki unacho kiona leo.Kwa kifupi wandangaji maisha yao 99% ni fake na wengi hawana akili ya maisha wala nidhamu ya maisha ,sababu hawana akili ya kutafuta kwa kitumia jasho na akili.

Ukimuona binti katoboa sababu ya kudanga jua danga lilimkuta ktk harakati za udangaji au alikuwa na idea ya biashara ila alikosa mtaji,mfano Ritha na mara nyingi huwaga sio wa kubadilisha madanga mara kwa mara. Kuna mama mmoja wa kinyakyusa ana bonge la shape,alilipata danga kwenye kamgahawa chake,leo hii yule mmama ana kampuni kubwa na mapishi ya chakula na maduka matatu ya jumla ya vinywaji

Hao niliwataja walianzisha biashara ngapi leo zipo wapi? na ndio maana maisha yao wanategemea kubadilisha madanga sababu hawana akili ya maisha,hivi huyo Hamisa duka lake la Mnyamala lipo wapi?

Point yangu wengi huwaga hawaifikiri kesho.
Umeongea point mimi mwenyewe nashangaa wanaosema eti hamisa ana maendeleo?
 
Ukweli tuseme mabeto kajitahidi hata dada wa taifa alimwambia zari ulivyokuwa na umri wa mabeto ulikuwa na Nini? hiyo inaitwa bariki ubarikiwe, anatembelea Nini,? kapanda jet la kukodi kulifata ndinga la haja, Sasa hivi sio yule wa kwenda ustawi wa jamii, Mara kuvuliwa wigi limetupwa kwenye pool, Sasa hivi China , dubai, USA, mtoto mdogo, wazee tupo jf tunamjadili, mungu anaweza kumuinua masikini aliye shushuka live.
Huyo si mdangaji subiri umri uende Ndio utajua ukweli
 
Huyo si mdangaji subiri umri uende Ndio utajua ukweli
Sijakupinga, mdangaji kwakuwa mmatumbi mwenzetu, Ila wale wengine wawili wa nje na hapa wanaopokea Ela za matunzo ya watoto na wao wanakula humohumo, wao sio wadangaji,? wadangaji wengi Ila mwenzetu wanadanga pazuri sio sisi tunadanga kwa choka mbaya.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] mbona ugomvi wa ngumi umeleta panga. Calm down binti kiziwi

By the way, 2005 - 2015 kilikuwa ni kipindi ambacho nilikuwa nafuatilia sana showbiz ya Africa nzima kwa hiyo Zari nilianza kumjua kabla ya kudate na mondy, enzi hizo inasemekana ndio richest socialite in East Africa kabla ya Akothee kuja juu

Hadi Zari anafika bongo, alikuwa anakuja kwa muzamili, kitu kama hicho na alikuwa close sana na sintah,

Alipoingia kwenye mahusiano na mondy, alikuwa anambully sana Wema kwa sababu tu ya "kutokuzaa" na kucomment kwenye kila move yake kwa kuonesha she is better than her, kitu ambacho wema alikilalamikia sana. mwanamke gani mwenye decency anaweza kufanya hivyo

She tried the same thing kwa Sharon O na Fabiola, uliona reactions za waganda

Alijaribu kwa Huddah, uliona reactions za wakenya

Alijaribu kwa huyu lady wa Ghana kwenye ile show ya juzi kati hapo, uliona reactions za waghana

Ushawahi ona Waganda wakihangaika nae hata kwenye mass media, social media au hata kwa mastar wenzie wa Uganda

Ila Tanzania akifanya chochote na lolote lile, she gets away with it na anapata support na endorsements juu.. Hiyo ni love au obsession

100
 
Back
Top Bottom