Kwanini Dubai ni maarufu sana? Kipi cha kuvutia zaidi katika huo mji?

Kwanini Dubai ni maarufu sana? Kipi cha kuvutia zaidi katika huo mji?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huu mji wa Dubai umaarufu wake umetokana na nini kiasi cha kujizolea umaarufu mkubwa sana kwa celebereties wa dunia, sehemu kubwa ya Afrika, kwa wabongo matajiri na hata wale wa kipato cha kawaida wanaodunduliza fedha za hapa na pale au kupata ufadhili wakiwa kama chawa kutembelea mji huu??

Hapo bongo naona karibia kila mtu maarufu Dar es Salaam aliyejipatia pesa kidogo hakosi picha za Dubai katika mitandao yake ya kijamii.
 
Huu mji wa Dubai umaarufu wake umetokana na nini kiasi cha kujizolea umaarufu mkubwa sana kwa celebereties wa dunia, sehemu kubwa ya Afrika, kwa wabongo matajiri na hata wale wa kipato cha kawaida wanaodunduliza fedha za hapa na pale au kupata ufadhili wakiwa kama chawa kutembelea mji huu??

Hapo bongo naona karibia kila mtu maarufu Dar es Salaam aliyejipatia pesa kidogo hakosi picha za Dubai katika mitandao yake ya kijamii.
Wana advertise sana!! hamna maajabu
 
Huu mji wa Dubai umaarufu wake umetokana na nini kiasi cha kujizolea umaarufu mkubwa sana kwa celebereties wa dunia, sehemu kubwa ya Afrika, kwa wabongo matajiri na hata wale wa kipato cha kawaida wanaodunduliza fedha za hapa na pale au kupata ufadhili wakiwa kama chawa kutembelea mji huu??

Hapo bongo naona karibia kila mtu maarufu Dar es Salaam aliyejipatia pesa kidogo hakosi picha za Dubai katika mitandao yake ya kijamii.
dubai ana watu wakujua nini inataka.
uzuri wa dubai karuhusu kuwa kitovu cha kila kitu mpaka upigaji madili yani pale kama umetapeli huku kakimbilie dubai.
 
Huu mji wa Dubai umaarufu wake umetokana na nini kiasi cha kujizolea umaarufu mkubwa sana kwa celebereties wa dunia, sehemu kubwa ya Afrika, kwa wabongo matajiri na hata wale wa kipato cha kawaida wanaodunduliza fedha za hapa na pale au kupata ufadhili wakiwa kama chawa kutembelea mji huu??

Hapo bongo naona karibia kila mtu maarufu Dar es Salaam aliyejipatia pesa kidogo hakosi picha za Dubai katika mitandao yake ya kijamii.
swali zuri sana. Maana sidhani kama Dubai inauzidi miji ya USA na Western World!
Niulize swali: Kwani starehe za umalaya zipo wazi? Maana watu wengi wanapenda vitu kama hivyo....refer Pataya Beach in Thailand! Red streets usiombe!
 
Umaarufu wa dubai pia umechangiwa na uwanja wa ndege wa pale maana hapo unapata ndege ya kukupeleka popote duniani tena direct flight na cheap. Iwe ni indonesia mji wa bali huko mashariki ya mbali au visiwa vya st. Maarteen huko carrebean ,huko kote utafika vizuri ukiwa pale dubai.
 
Huu mji wa Dubai umaarufu wake umetokana na nini kiasi cha kujizolea umaarufu mkubwa sana kwa celebereties wa dunia, sehemu kubwa ya Afrika, kwa wabongo matajiri na hata wale wa kipato cha kawaida wanaodunduliza fedha za hapa na pale au kupata ufadhili wakiwa kama chawa kutembelea mji huu??

Hapo bongo naona karibia kila mtu maarufu Dar es Salaam aliyejipatia pesa kidogo hakosi picha za Dubai katika mitandao yake ya kijamii.
Danguro la mashehe na maustadhi wanadinyania dubai kisha wanakwenda maka kusujudu Mungu ...DUNIA KWA SASA IMEJAA WAISIHARAMU TU HAKUNA MUISLAMU HATA MMOJA
 
Wewe ni mmoja wa members ninaowajua wenye chuki kwa waislamu, na mnaupiga vita uislamu, usipowataja waislamu siku yako hai
Hapana mimi sipendi tu mambo ya boko haram, alshabab,mara sijui Islamic jihad, alqaida. WOTE WANAUWA WATU HUKU WANAIMBA ALLAHU AKBAR SIPENDI KABSA...NA MBAYA ZAIDI NILIWASIKIA HAMAS WANAIMBA HIVYO HIVYO WAKATI WANAMUUWA JOSHUA( AN INNOCENT TANZANIAN)
 
Hapana mimi sipendi tu mambo ya boko haram, alshabab,mara sijui Islamic jihad, alqaida. WOTE WANAUWA WATU HUKU WANAIMBA ALLAHU AKBAR SIPENDI KABSA...NA MBAYA ZAIDI NILIWASIKIA HAMAS WANAIMBA HIVYO HIVYO WAKATI WANAMUUWA JOSHUA( AN INNOCENT TANZANIAN)
ISIS imelipua msikiti oma na kuwamaliza waislamu hayo makundi hayapo kweny uislamu ...Ni wewe tu na uoga wako ...Hata kuhij Meccah walipigwa marufuku washenzi hao .

Kama ni kwli uislamu ungeshakufa kitambo sana.

Zipo video za ngono watu wamevaa misalaba na kupiga kelele ''jesus'' ila hakuna muislamu anahusisha na ukristo ...We ni muoga hayo makundi yapo kinyume na uislamu hao ndio makafir
 
Back
Top Bottom