Kwanini Dubai ni maarufu sana? Kipi cha kuvutia zaidi katika huo mji?

Kwanini Dubai ni maarufu sana? Kipi cha kuvutia zaidi katika huo mji?

Nikipita dubai huuona mji wa kawaida tu, labda kwa vile nimeshapitia miji mingi mikubwa. Ninachoona ni kuwa una majumba yaliyojengwa miaka ya hivi karibuni hivyo architecture yake ni mpya na barabara zake ni pana za kutosha kama ilivyo kwamiji ya China na ya nchi za South East Asia iliyojengwa miaka 30 iliyopita
 
Habibiii come to DUBAI.
Kuna boss mmoja muhindi nilikuwa nafanya naye kazi basi Kila mara akitaka kunielekeza jambo ananiita Habiiibi, Habiiibi! nikaona huyu anataka kuniletea mambo ya upinde siku nikamwambia boss hizo pigo za kuitana hayo majina sio akaacha kuniita baadae nilipowauliza Wana wakaniambia hilo mbona ni neno la kawaida tu nikabaki aah kumbee!!.
 
Wana advertise sana!! hamna maajabu
Sio kweli, Dubai wameweza kushawishi watu kwenda Dubai sio kwa maneno tu bali vitendo. Kitu kikubwa wameifanya Dubai kuwa salama, ni sehemu pekee nenda na family yako tembea usiku na mchana na na usiwe na hofu ya chochote, wamejenga malls kubwa kabisa za kisasa na brand kubwa duniani wapo, hotel za kisasa na viwango. Leo hii Dar unaweza kwenda kulipa Hotel dola 200 standard ya kawaida kwa maana ya quality lakini Dubai ukaa Hotel kama King same price au low.

Wame set quality kwa service zote nenda kale KFC ya Dubai halafu njoo KFC ya Bongo ni mbingu na ardhi. Uber zao order ni Lexus model mpya hawaruhusu gari chini ya 5 years model na ni Lexus mpya huku Tz unaweza kukuta matajiri wachache sana wanamiliki. Kiujumla standard iko juu na hata huko chini kama Deira kwa watu wa chini au wafanya biashara standard iko chini kulinganisha na maeneo mengine ya Dubai lakini bado standard iko juu kulinganisha na Hotel zetu za Dar. Dubai ni wewe mwenyewe utaenda na ukirudi utaenda tena na tena na tena, kwanini? wanakupa unachokitaka wewe na kama sio wewe mke wako na mpaka watoto.
 
Huu mji wa Dubai umaarufu wake umetokana na nini kiasi cha kujizolea umaarufu mkubwa sana kwa celebereties wa dunia, sehemu kubwa ya Afrika, kwa wabongo matajiri na hata wale wa kipato cha kawaida wanaodunduliza fedha za hapa na pale au kupata ufadhili wakiwa kama chawa kutembelea mji huu??

Hapo bongo naona karibia kila mtu maarufu Dar es Salaam aliyejipatia pesa kidogo hakosi picha za Dubai katika mitandao yake ya kijamii.
Kule kuna utalii artificial kaka.
Dubai is known for world's highest skyscrapers.
Pia kuna maeneo yalojengwa kwa kuvutia sana,Yani ukitaka utalii wa majengo nenda Dubai kaka.
 
swali zuri sana. Maana sidhani kama Dubai inauzidi miji ya USA na Western World!
Niulize swali: Kwani starehe za umalaya zipo wazi? Maana watu wengi wanapenda vitu kama hivyo....refer Pataya Beach in Thailand! Red streets usiombe!
Kwa KUJENGEKA HAKUNA MJI WOWOTE WESTERN unaofikia Dubai.
Dubai ina skyscraper ndefu DUNIANI.
Ina barabara bora top 3 duniani ikizidiwa na JAPAN tu.
Dubai ina majengo mengi ya ajabu yenye architecture nzuri kuliko kokote Ulaya.
 
Kwa KUJENGEKA HAKUNA MJI WOWOTW WESTERN unaofikia Dubai.
Dubai ina skyscraper ndefu DUNIANI.
Ina barabara bora top 3 duniani ikizidiwa na JAPAN tu.
Dubai ina majengo mengi ya ajabu yenye architecture nzuri kuliko kokote Ulaya.
niwekee please hizo ulizozitaja nione
 
niwekee please hizo ulizozitaja nione
Waarabu wanajua kutumia pesa mkuu.
Hawa jamaa wanajua vitu vizuri na wanapenda vitu vizuri kaka.
Hiyo ni baadhi tu ya Dubai,sio Dubai yote kaka.
Screenshot_2024-07-19-18-49-33-68_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-07-19-18-50-18-45_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-07-19-18-52-20-41_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-07-19-18-53-33-25_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-07-19-18-53-59-72_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
IMG_20240719_185517.jpg
 
Sio kweli, Dubai wameweza kushawishi watu kwenda Dubai sio kwa maneno tu bali vitendo. Kitu kikubwa wameifanya Dubai kuwa salama, ni sehemu pekee nenda na family yako tembea usiku na mchana na na usiwe na hofu ya chochote, wamejenga malls kubwa kabisa za kisasa na brand kubwa duniani wapo, hotel za kisasa na viwango. Leo hii Dar unaweza kwenda kulipa Hotel dola 200 standard ya kawaida kwa maana ya quality lakini Dubai ukaa Hotel kama King same price au low.

Wame set quality kwa service zote nenda kale KFC ya Dubai halafu njoo KFC ya Bongo ni mbingu na ardhi. Uber zao order ni Lexus model mpya hawaruhusu gari chini ya 5 years model na ni Lexus mpya huku Tz unaweza kukuta matajiri wachache sana wanamiliki. Kiujumla standard iko juu na hata huko chini kama Deira kwa watu wa chini au wafanya biashara standard iko chini kulinganisha na maeneo mengine ya Dubai lakini bado standard iko juu kulinganisha na Hotel zetu za Dar. Dubai ni wewe mwenyewe utaenda na ukirudi utaenda tena na tena na tena, kwanini? wanakupa unachokitaka wewe na kama sio wewe mke wako na mpaka watoto.
Asante kwa Information.
Samahani, hivi lodge za bari ya chini kabisa zipo? Ni sh ngapi?
😀
Ili na sie wengine twende jmn!

Na vipi nauli ya ndege? Shirika Gani ndo lipo chini?
 
andika vizuri, kuna RED LIGHTS? Umewahi kufika Bangkok Thailand? Pataya beach?
Daguro la mashehe na maustadhi ni tofauti na hayo yasiyo ya mashehe na maustadhi ni kama kanisa katoliki kuna watawa unajua wapo kwa sababu gani ...watu wanadinyana kibikira Maria
 
Depal , unazungumzia Dubai kuwa cheap!!!!! Hivi unajua kuwa Dubai nje ni 45 degrees Centigrade wakati ndani ya nyumba au stand ya mabasi ni 10 Degrees Centigrade. Dubai ni ghali, I hate Dubai
it seems wanatumia umeme mwingi sana tena sana. At 45 degrees ambient temperature, you need to use a lot of energy to cool what you intend.
Umeme wanautoa wapi?
 
Back
Top Bottom