The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe LGBTQ umesha enda kubarikiwa? Sasa hivi ni ruksa,Papa amewaruhusu,wahi nafasi.Wewe unatoka kundi gani? Boko haram? Au alshabab? Au Isis? Au alqaida? Au Islamic jihad? Tuanzie hapo kwanza.
Kwa uzoefu wangu ukiona sehemu inakubalika sana ujue kuna ufuskaa wa kila namna huko..Huu mji wa Dubai umaarufu wake umetokana na nini kiasi cha kujizolea umaarufu mkubwa sana kwa celebereties wa dunia, sehemu kubwa ya Afrika, kwa wabongo matajiri na hata wale wa kipato cha kawaida wanaodunduliza fedha za hapa na pale au kupata ufadhili wakiwa kama chawa kutembelea mji huu??
Hapo bongo naona karibia kila mtu maarufu Dar es Salaam aliyejipatia pesa kidogo hakosi picha za Dubai katika mitandao yake ya kijamii.
we gaidi mbona ivoHahaha umeishafika? Hamna kitu watu wanalipa $800 to $1500 per night.
Miafrica ina chuki za kijinga sana.
Wewe shoga kwa hiyo bei ndiyo unaona kubwa? Mwambie Basha wako akupeleke hii hotell Dubai.we gaidi mbona ivo
kwaiyo wakilipa dola 1500 ndo nn?? hiyo si milion 3!!
ushaenda thanda island hapo?? unajua ni sh ngap?
ebu ona bei hizi wewe Hamasi
ndo nilikua nakueleza ww bwabwa unaezani dubai pa maajabuWewe shoga kwa hiyo bei ndiyo unaona kubwa? Mwambie Basha wako akupeleke hii hotell Dubai.
Atlantis, The Royal: The Royal Mansion — an 11,840-square-foot (1,100-square-meter) four-bedroom, split-level suite — at Atlantis, The Royal, is the most expensive hotel room in Dubai, with price-on-request starting from around $100,000 per night.
Wewe shoga watu wanalipa $100,000 per night. Wewe upo Makete unasema dubai pa kawaida hapo kwenu Uloye chumba cha hotel bei gani?ndo nilikua nakueleza ww bwabwa unaezani dubai pa maajabu
Hayo uliyoyasema ni sawa ila kwa malazi, umetia chumvi. Dubai malazi ni ghali sana. Kuhusu vıza ni hela yako tu. Kwa mtanzania unapata hata baada ya masaa 2.Sababu ni hizi;
1. Unafuu wa nauli.
2. Urahisi wa kupata visa.
3. Unafuu wa malazi. Dubai kuna wabongo wana apartments wamezifanya kama hostel unalipa kama Tsh 100 - 150k kwa wiki kulala. Hata hotel upande wa Deira zipo za bei rahisi.
4. Usafiri wa ndani ya Dubai pia rahisi.
Kimsingi Dubai kunaendeka kirahisi sana kuliko China na kwingineko.
Upo sahihi maana mfano umeme uzimike saa moja tu. Hutaitamani Dubai na Maafa yatakuwa mengi.Ndio maana kule juu kaka nikasema Dubai ni baba wa artificial tourism.
Same reason kwanini Singapore, Monaco, Luxembourg na wengineo ni maarufu, Dubai hakuna Kodi ama kuna kodi ndogo sana kutegemea na unafanya nini,Huu mji wa Dubai umaarufu wake umetokana na nini kiasi cha kujizolea umaarufu mkubwa sana kwa celebereties wa dunia, sehemu kubwa ya Afrika, kwa wabongo matajiri na hata wale wa kipato cha kawaida wanaodunduliza fedha za hapa na pale au kupata ufadhili wakiwa kama chawa kutembelea mji huu??
Hapo bongo naona karibia kila mtu maarufu Dar es Salaam aliyejipatia pesa kidogo hakosi picha za Dubai katika mitandao yake ya kijamii.
Mengine futa. Hii ni sawa, hata ulaya hapako hivyo. Huwa hawafungi Milango ya nyumba au gari. Pochi ilidondoka na hela yako utaipata tu. Kinachosaidia ni kuwa wana sheria kali sana. Ukishikwa hakuna msamaha. Hata makosa ya barabarani ni makali mno! Hawana mchezoHakuna vibaka
Kwa sie Africa sawa. Lakini kuna Viwanja kama JFK au Heathrow etcDubai ipo center ina connection kwa ndege zote popote duniani
Binadamu tunapenda starehe...wenzetu wametengeneza mji wa starehe... kula bata..marahaaa! Nani binadamu asiyependa raha..!!?Huu mji wa Dubai umaarufu wake umetokana na nini kiasi cha kujizolea umaarufu mkubwa sana kwa celebereties wa dunia, sehemu kubwa ya Afrika, kwa wabongo matajiri na hata wale wa kipato cha kawaida wanaodunduliza fedha za hapa na pale au kupata ufadhili wakiwa kama chawa kutembelea mji huu??
Hapo bongo naona karibia kila mtu maarufu Dar es Salaam aliyejipatia pesa kidogo hakosi picha za Dubai katika mitandao yake ya kijamii.
Dubai ni kama Zanzibar kuna Msimu ambao upo busy na gharama zipo juu na kuna msimu wageni wachache gharama Zinashuka.Asante kwa Information.
Samahani, hivi lodge za bari ya chini kabisa zipo? Ni sh ngapi?
😀
Ili na sie wengine twende jmn!
Na vipi nauli ya ndege? Shirika Gani ndo lipo chini?
Unauliza Umeme Jangwani? Kila kitu jangwani kinazalisha umeme, Jua kali ukiweka solar twende, upepo mkali ukivuna twende, Mafuta bwerere, Gas ya kutosha etc.it seems wanatumia umeme mwingi sana tena sana. At 45 degrees ambient temperature, you need to use a lot of energy to cool what you intend.
Umeme wanautoa wapi?
🙏 Barikiwa mkuuDubai ni kama Zanzibar kuna Msimu ambao upo busy na gharama zipo juu na kuna msimu wageni wachache gharama Zinashuka.
Off season ya Dubai ni mwezi wa 4 mpaka wa 8 jua kali kule watu wanaondoka, kuna vyumba kibao unapata chini ya Dirham 100 (Chini ya 70,000).
Nauli kuna ndege hadi chini ya dola 300.
Unaweza kwenda Dubai na kurudi Kwa 1M ukijibana, otherwise 2M una enjoy vizuri tu + shopping.