Hii vita haiwezi kuisha kwasbabu ni ya Kidini kila mtu anavutia kwake na ni vita ya kihistoria kabla hata ya USA kuanza kuingilia
mkuu kabla ya hapo jews kibao waliokimbia ulaya walikuwa wanaishi palestina, wapalestina hawana tabu na ma jews, ila hawa mazionist si watu wa dini, na kama wana dini basi ni ya shetani.
wapo jews wa kawaida wengi israel ila hawana nguvu na decision za kufanya tofauti na hawa zionist.
hebu angalia hivi wanavyofanya niambie kwako unaona ni dini? nitajaribu kuweka source za kimagharibi zaidi
1. israel sasa hivi ndio paradise ya pedopholia, yaani watu wanaofanya mapenzi na watoto ambao hawaja baleghe, wanashtakiwa nchi nyengine wao wanawapokea na kuwakinga
Jewish Community Watch says 32 paedophiles moved from countries around the world to Israel over past decade
2.wana blackmail viongozi na watu makubwa duniani kingono, wana makampuni ya kusafirisha watoto na wanawake kufanya kazi za umalaya, viongozi wao wanabaka etc
Claim revealed in court filings from celebrity US lawyer Dershowitz, who was accused as well; associates of both men deny the allegation
3. rabbi mkuu, kiongozi wa dini wa israel anawarefer watu weusi wa marekani kama nyani wazi wazi tena
Rabbi Yitzhak Yosef uses pejorative term 'kushi' for African Americans in weekly sermon
4.wanawake wa ki africa ama wachina wanahasiwa wasizae ama kuingia mikataba wasishiriki tendo la ndoa wakiwa kule,
Chinese workers at a company in Israel have been forced to agree not to have sex with or marry Israelis as a condition of getting a job.
5.israel wanataka kuja africa ili tu wa Africa wasiende israel msemo ambao ulimaanisha hawataki watu weusi waende kwao
Israel wants to exploit the benefits of a potential relationship with Africa. But it does not want Africans to come to Israel.
6. baadhi ya watu wanaowaua wanaiba viungo vya mwili
7. walikuwa wanalipua sinagogi za nchi za kiarabu ili jews wakimbie waende israel, wapo tayari kuuwa wenzao sababu ya politics
Yehuda Tager, an Israeli agent who operated in Baghdad, sheds new light on a 55-year-old mystery: Who carried out the bombing of the Masuda Shemtov synagogue.
8.bilionea wao ndie anaehusika na congo, kuiba madini, alifukuzwa USA
Washington β Today, the U.S. Department of the Treasuryβs Office of Foreign Assets Control (OFAC) sanctioned 14 entities pursuant to Executive Order (E.O.) 13818, which targets serious human rights abuse and corruption, for being affiliated with designated Israeli businessman and billionaire Dan...
9.Rabbi Ovadia aliwahi sema hivi
βThere was a tsunami (Hurricane Katrina) and there are terrible natural disasters, because there isnβt enough Torah studyβ¦Black people reside there [New Orleans]. Blacks will study the Torah? [God said] letβs bring a tsunami and drown them...βHundreds of thousands remained homeless. Tens of thousands have been killed. All of this because they have no God.β
10. mlipuko wa juzi juzi hapa beirut uliotokea bandarini na kuua mamia ya watu kiongozi wao wa kisiasa alipost fb kusherehekea
Firebrand activist claims Hezbollah missiles that 'could reach any strategic point in Israel' and allegedly stored in chemical depot created gigantic explosion that flattened large swaths of Lebanese capital
kuna maelfu ya crime wanafanya hawa jamaa na kama unaamini ni vita ya kidini unahitaji kuwajua zaidi.