Kwanini dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea Gaza?

wanapata shida wapalestina wa kawaida ila hawa hamas interest yao ni kupigana tu, kila yakitokea machafuko km hivi wao ndio mda wao mzuri wakutest maroketi yapo kuona wanaweza piga wapi na wapi na israeli wanarespondi vipi, wanakusanya data tu wanazd kujpanga, so haijalishi jumuiya ya kimataifa itareact vp israeli wao wanachukua tu hatua wanazoona zinafaa kwa mslahi yao ya kiusalamam,
 
Ukiachana na dini wao hawakukaribishwa walirejea kwao na uingerea aliyekuwa mkoloni ndie aliyewapa ardhi nenda kasome mitandaoni. Kwanini wasiitake dubai au Iran watake Jerusalem sababu sio wajinga walitaka kwao
jews walikwenda palestina hata kabla ya kuundwa israel na uingereza kufika, ushahidi upo wa kutosha.
hii video ya mwaka 1896 ikionesha jews na wapalestina wengine

wazayuni ndio waliokwenda hio 1940s kwa kupelekwa na waingereza video inayooneshwa wakishushwa
 
Wafuatilie na wale waislam wa Uighur wanaoteswa na China huko China.

Kuna Mambo mengi dunia inayafumbia macho
 
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo(ambae Mungu alimbadirish jina na kumuita ISRAEL).

Kwenye huo msikiti ndipo lilipokuwa lile hekalu alilojenga Suleiman;sasa kila mmoja anapang'ang'ania kama eneo lake takatifu!
Na lazima huo msikiti uondoke na hekalu lile lijengwe tena,hapo ndo mziki ulipo!
Watu wana fikiri vita ya kawaida hii!
 
Alaaniwe akulaaniye, na abarikiwe na Yehova akubarikiye na watu wote waseme amen. Chunga Sana, unapofunua domo lako juu ya taifa hili takatifu.
 
Yehova, Mungu wa Israeli yupo hai. Wabarikiwe na Yehova watoto wa Yakobo. Shalom Israel 🇮🇱
 
Alaaniwe akulaaniye, na abarikiwe na Yehova akubarikiye na watu wote waseme amen. Chunga Sana, unapofunua domo lako juu ya taifa hili takatifu.
Yaaaah kwakuwa wew so mteule Bali wao ndo watauona ufalme wa mungu nawe huna haja lazma uwashabikie hata Kama wanatenda uovu, ...ok nipe fact ku justify uteule wako huenda mm nta weza kushangilia chinja chinja yao
 
In short nchi za Kiarabu vita wamefanya kama sehem ya maisha yao. Bila shaka pia nahis vita ni sehemu ya imani yao. Haiwezkan nchi za kiarabu miaka yote zenywe ziwe na vita tu.
Pia mi nashangaa mkuu..

Hata nchi za kiarabu zilizo mbali kabisa na Israel, vita haijawahi kukoma. Afghanistan, Yemen, Syria, iraq, Somalia nk, mkong'oto unarindima January hadi January miaka yoote🙄
 
Acha tu mwarabu apigwe. Vile mwarabu alivyoua ndugu zetu pale darfur, mwarabu sio mtu hana huruma acha apigwe sana
 
In short nchi za Kiarabu vita wamefanya kama sehem ya maisha yao. Bila shaka pia nahis vita ni sehemu ya imani yao. Haiwezkan nchi za kiarabu miaka yote zenywe ziwe na vita tu.
Wanafitinishwa na mabeberu NDUGU yangu na siyo Imani yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…