Acha tu mwarabu apigwe. Vile mwarabu alivyoua ndugu zetu pale darfur, mwarabu sio mtu hana huruma acha apigwe sana
Aliyeshika silaha Kuua na kuchoma moto watoto wadogo wa africa ni western au muarabu?Darfur Ni mkakati wa WESTERN POWERS na siyo waarabu .WAZUNGU WANAAKILI SANA ZA FITINA WALITUMIA FOMULA YA DIVIDE AND RULE.YAANI WAGAWE NA UWATAWALE. KISHA WAMEFANIKIWA KUIGAWA SUDANI NA KUMWONDOA BASHIR
Yaani ndugu YANGU amini usiamini hip ndiyo UKWELI watu wanatumika wakipewa fedha KUFANYA hivyoAliyeshika silaha Kuua na kuchoma moto watoto wadogo wa africa ni western au muarabu?
Waafrika mmegomea kujihusisha na yanayotokea Msumbiji mnayawaza ya Uarabuni.. Tabia za kimbea mmezitolea wapi
Toa facts sio porojo. Vyote nilivyoandika ukigoogle au kufuatilia maktaba au popote kwenye documentation ya ancient history utaona sio unabwabwaja kama sio hujui kitu kaa kimyaWee! wakati huo ukoo wako ulikuwa eneo gani?
Unajijua kweli au unajua tu ya wengine?
Tangia lini mkimbizi akakimbilia kwenye nchi vamizi?
Kama waroma waliishambulia Israel ya wakati huo iweje wakimbilie tena huko mashambulizi yanapotokea
Nchi ambayo waisrael walikimbilia wakati wote iwe njaa au vita au magonjwa kwa mujibu wa biblia ni misri
Sasa wewe unaaminishwa na media za kimagharibi huku historia iko wazi juu ya hilo
Jiulize umekosea wapi, chunga Sana mdomo wako unashabikia mauaji ya ambayo hata shetani mwenyewe anayaonea aibu
Ukikataa History inavyosema basi na vitabu vya dini Quran na Holy Bible vipinge piaWee! wakati huo ukoo wako ulikuwa eneo gani?
Unajijua kweli au unajua tu ya wengine?
Tangia lini mkimbizi akakimbilia kwenye nchi vamizi?
Kama waroma waliishambulia Israel ya wakati huo iweje wakimbilie tena huko mashambulizi yanapotokea
Nchi ambayo waisrael walikimbilia wakati wote iwe njaa au vita au magonjwa kwa mujibu wa biblia ni misri
Sasa wewe unaaminishwa na media za kimagharibi huku historia iko wazi juu ya hilo
Jiulize umekosea wapi, chunga Sana mdomo wako unashabikia mauaji ya ambayo hata shetani mwenyewe anayaonea aibu
UN na USA ni hypocriteHabari wadau..!
Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?
Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .
Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?
Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
Ukitaka kujua waarabu si watu wazuri. Biashara ya utumwa waliianza kitambo kabla hata ya wazungu kuja Ila leo ukiulizia population ya watu weusi Uarabuni kama wazawa wa huko ni ndogo Sana na kwenye nchi zingine hakuna. Hapo ndio utakuwa Watumwa wengi waliuliwa huko Uarabuni na hawakuruhusu wazaliane. Acha Israel aendelee kugawa dozi.Aliyeshika silaha Kuua na kuchoma moto watoto wadogo wa africa ni western au muarabu?
Labda waende kwenye nchi yako Ila si Tanzania yangu tutagawa dozi piasuluhisho pekee kati ya Israel na Palestina ni kuungana na kuwa Nchi moja ikishindikana hilo basi palestina wauze ardhi yao kwa palestina wahamie sehemu nyingine hata waje huku Africa tutawapa mapori waanzishe Nchi mbali na hapo sahau hii vita yao itaendelea maisha yao yote mpaka mwisho wa dunia. umoja wa taifa umeshindwa kuleta amani kwenye hizi Nchi zao kwa makusudu maalumu wanayojua wao.
maisha ya Vita yanawapa akili nyingi Israel kwenye ku develop na kufanyia utafiti siraha kali za kujilinda dhidi ya uvamizi hivyo basi mataifa mengine yana benefit na technolojia mpya ndio maana hakuna anayeingilia. wao wanachota ujuzi hawa kila siku ni kubuni siraha mpya wakati mataifa mengine wakiweka utafiti zaidi kwenye maendeleo. ndio maana kuna watu wanasema US anatengeneza siraha zake na wa Israel ni kweli kbs kutokana na nilichokiandika hapo juu.
Jiulize Kwa nini hakukuwa na fujo Trump alipokuwa rais .Habari wadau..!
Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?
Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .
Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?
Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
Sasa mtu unaamuliwa hutaki watu wafanyeJe ?!. Wakati huo huo hadithi ya pale ni ngumu sana na haiwezi kuamuliwa kwa hekima za kinafiki .Habari wadau..!
Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?
Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .
Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?
Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
NenoWajinga wanaona israel inapigana na gaza lakini ukweli ni kwamba intrest groups ndio zinapigana.
Hawa hamasi hawaja wahi kushinda vita na israel, jiulize kwanini kila baada ya miaka 3 au 4 wanawachokoza israel?
Hamasi ni kundi ambalo linajificha kwenye kutetea gaza lakini ndilo kundi ambalo linafaidika sana hasa kwa misaada ya kujenga gaza kila mara ikibomolewa.
Mkuu wa gaza anatembelea ngege kama Rais wa marekani.
Nani mpingaji kati ya Mimi na wewe kwenye haya maandiko ya bibliaUkikataa History inavyosema basi na vitabu vya dini Quran na Holy Bible vipinge pia
Hili Tatizo kuna ugumu kulimaloza!
Sababu wanadamu wanajitahidi kulimaliza Kisiasa wakti ni Tatizo la ki-deen!
Hebu ref hii Kauli ya Allah
[emoji116][emoji116]
لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ
أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ ( 82 )
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi
Tujiulize jee muumini yeyote anaye yafuata na kuyaishi Atakubali Yahudi awe rafiki na Amuasi Allah aende motoni au Amtii Allah Aende peponi![emoji101]
Waganda wao wangeenda wapi?Parestina wanaonewa Sana af anakuja mmasai mmoja anawasifia Israel kuwa ni taifa teule... parestina hawapgan na Israel Bali wanaandamana, wanaopgana na Israel ni gammas na sio parestinaView attachment 1786087hilo enoleo lote kilikuwa la parestina mwaka 1919 now wamekuwa wakimbizi , Hawa wapuuzi Bora wangeletwa Uganda tu Kama ilivokuwa imepangwa
Jamaa (hamas)wanahifadhi silaha kambini,hospitalini na hata misikitini. Sasa Israel wanachofanya kama roketi zimefyatuliwa toka shule au hospital au popote wao wanapiga hapo. Shida ndo inaanzia hapoEight children among 10 killed in Israeli air raid on Gaza camp
Those killed at the Shati refugee camp were family members, Palestinian rescuers and relatives say.www.aljazeera.com
kambi ya wikimbizi hio imepigwa, nao ni magaidi? UNHCR wanaficha magaidi?